BUCHANAGANDE
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,513
- 474
Nimeona niombe Ushauri wenu wa dhati kuhusu hili;
Nina Mpenzi wangu ambaye anajua nampenda sana nami vilevile nampenda sana.
Kisa ni Hiki kifuatacho:-
Siku moja ndani ya Mwezi wa June, Mpenzi wangu alinipigia simu usiku na kwa bahati mbaya sikupokea simu yake kwa sababu nilikuwa nimelala hivyo baada ya muda mfupi akatuma sms iliyokuwa na maswali kibao na magumu ambayo sikuweza kupata majibu ya haraka haraka kama alivyotaka nimjibu na hili ndo limenipelekea kuomba ushauri toka kwenu. Message hiyo ilisomeka kama ifuatavyo:-
Naomba unijibu kwa ufasaha kutoka moyoni mwako
Nawaombeni mnisaidie ili tuondoe kutokuelewana tulikonako.
Nina Mpenzi wangu ambaye anajua nampenda sana nami vilevile nampenda sana.
Kisa ni Hiki kifuatacho:-
Siku moja ndani ya Mwezi wa June, Mpenzi wangu alinipigia simu usiku na kwa bahati mbaya sikupokea simu yake kwa sababu nilikuwa nimelala hivyo baada ya muda mfupi akatuma sms iliyokuwa na maswali kibao na magumu ambayo sikuweza kupata majibu ya haraka haraka kama alivyotaka nimjibu na hili ndo limenipelekea kuomba ushauri toka kwenu. Message hiyo ilisomeka kama ifuatavyo:-
Naomba unijibu kwa ufasaha kutoka moyoni mwako
- Je uko tayari na umeridhika kuwa nami kama mkeo Mtarajiwa?
- Unanipenda kweli?
- Uko tayari kunioa?
- Haunidanganyi?
- Umenipenda jinsi nilivyo pamoja na udhaifu nilio nao? Please naomba majibu
Nawaombeni mnisaidie ili tuondoe kutokuelewana tulikonako.