Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Niko ful,nimejiandaa,niko tayari kwa mapambano. Silaha ya mnyonge imepatikana,sio nyingine bali ni ile ya kupigia kura. Mimi naiita jambia,lazima mtu aumie awamu hii lazima achinjwe mtu awamu hii. Si mwingine,chama cha kijani lazima kife,ndo silaha yangu hii..
Nendeni mkajiandikisheee..
Nendeni mkajiandikisheee..