donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,031
- 21,499
Nimeamini wabongo wanajua kutengeneza Kiki. Mwanzoni tuliaminishwa kabisa kwamba Mawenge na Unju wapo kwenye beef Kali kumbe hamna lolote na check sasa wanakuja kukutana kwenye ngoma yao na Wana wengine ya pamoja inayoitwa kikosi kazi kazini ambayo ni diss trick Kwa weusi....