Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,000
- 9,862
Kwa washabiki wa HipHop watakuwa wanaijua ile ngoma inaitwa Futi Sita aliyotoa P the Mc kumdiss Nikki Mbishi, baada ya Nikki kuanza chokochoko kwenye ngoma yake ya Welcome to Gambosh
Ngoma ya P the Mc imekonga nyoyo za wapenda HipHop na imefanya kuwa na kitu kama ‘teams’ hivi, yaani wanaomkubali Nikki Mbishi na wanaomkubali P the MC
Watu wengi wamezungumza kuhusu ngoma ile wengine wakimuambia Nikki asijibu ile ngoma ili isije ikatokea akakosea akajishushia huku wengine wakisubiri kwa hamu majibu ya Nikki Mbishi. Hivi karibuni Nikki alisema kuwa ile Ngoma haikumdiss bali imemuelezea tu kwa hiyo hana cha kujibu
Tukumbuke Nikki Mbishi ni mmoja kati ya wasanii wanaopenda kudiss watu haswa, ila wasipomjibu huamia kwingine, na kwa hivi karibuni wengi wakawa hawamjibu kabisa au wanamjibu kwa lugha ya kujificha sana, aidha aliyejibizana naye alikuwa Wakazi
Kwa kuwa mambo ya kudiss ni kawaida kwenye ulimwengu wa HipHop hivi kweli niki atajibu futi sita au atakubali kuzikwa. Unadhani akija kujibu anaweza kuifunika Futi sita?
Nikki Mbishi ni mmoja kati ya wasanii wanaodiss watu kwenye nyimbo zao. Kwa muda mrefu Nikki Mbishi hakupata mpinzani halisi wa kujibu ‘diss tracks’. Kwa wanaofuatilia Hiphop nchini watatambua alipoanza kumdiss Nikki wa Pili, ila hakujibiwa
Nikki Mbishi alimdiss Bonta kwenye wimbo wa Undisputed, aliwavamia Weusi kwa ujumla, alijibiwa na Lord Eyez kwa mstari mdogo baadae wote wakawa kimya. Mchezo wa kudiss ulienda kwa kina Nehi wa Mitego, Babu Tale hao wote hawakujibu ngoma hizo za Nikki Mbishi
Kati ya watu wa mwanzo kutoa ngoma kumjibu Nikki ni Wakazi ambaye kwenye wimbo wa Contorvesial alizungumza kidogo, na Nikki alijibu ile ngoma kwenye ‘where is my crown at’
Hivi karibuni Nikki Mbishi alitoa ngoma ya Welcome to Gamboshi ambayo alitoa mstari wa kukera kwa kijana wa Kiwalani, P the Mc,
Ngoma ya P the Mc imekonga nyoyo za wapenda HipHop na imefanya kuwa na kitu kama ‘teams’ hivi, yaani wanaomkubali Nikki Mbishi na wanaomkubali P the MC
Watu wengi wamezungumza kuhusu ngoma ile wengine wakimuambia Nikki asijibu ile ngoma ili isije ikatokea akakosea akajishushia huku wengine wakisubiri kwa hamu majibu ya Nikki Mbishi. Hivi karibuni Nikki alisema kuwa ile Ngoma haikumdiss bali imemuelezea tu kwa hiyo hana cha kujibu
Tukumbuke Nikki Mbishi ni mmoja kati ya wasanii wanaopenda kudiss watu haswa, ila wasipomjibu huamia kwingine, na kwa hivi karibuni wengi wakawa hawamjibu kabisa au wanamjibu kwa lugha ya kujificha sana, aidha aliyejibizana naye alikuwa Wakazi
Kwa kuwa mambo ya kudiss ni kawaida kwenye ulimwengu wa HipHop hivi kweli niki atajibu futi sita au atakubali kuzikwa. Unadhani akija kujibu anaweza kuifunika Futi sita?
Nikki Mbishi ni mmoja kati ya wasanii wanaodiss watu kwenye nyimbo zao. Kwa muda mrefu Nikki Mbishi hakupata mpinzani halisi wa kujibu ‘diss tracks’. Kwa wanaofuatilia Hiphop nchini watatambua alipoanza kumdiss Nikki wa Pili, ila hakujibiwa
Nikki Mbishi alimdiss Bonta kwenye wimbo wa Undisputed, aliwavamia Weusi kwa ujumla, alijibiwa na Lord Eyez kwa mstari mdogo baadae wote wakawa kimya. Mchezo wa kudiss ulienda kwa kina Nehi wa Mitego, Babu Tale hao wote hawakujibu ngoma hizo za Nikki Mbishi
Kati ya watu wa mwanzo kutoa ngoma kumjibu Nikki ni Wakazi ambaye kwenye wimbo wa Contorvesial alizungumza kidogo, na Nikki alijibu ile ngoma kwenye ‘where is my crown at’
Hivi karibuni Nikki Mbishi alitoa ngoma ya Welcome to Gamboshi ambayo alitoa mstari wa kukera kwa kijana wa Kiwalani, P the Mc,