Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,885
1. Nikifikiria inakuwaje Cuba na NK wanavikwazo vya kiuchumi lakini wanatuzidi maendeleo? Wananchi wake wanahuduma bora za Afya, elimu, maji, umeme nk. si kuna uduni wa akili hapo? Kuna ubaya kujitenga na mtu mwenye akili duni/mpumbavu?
2. Inakuwaje nchi zina maji na ardhi ya kutosha lakini hazijitoshelezi kwa chakula? Si inamaanisha watu wake ni duni kiakili?
3. Weusi wamechukua nchi SA wanachofanya ni kuiba na kuporomosha uchumi, unaweza kuheshimu watu kama hao? Utatamani kuishi nao karibu?
4.Hivi unaweza kuheshimu watu wanaochukia nywele na rangi yao?
mi naona watu weusi tunastahili kabisa kubaguliwa.
2. Inakuwaje nchi zina maji na ardhi ya kutosha lakini hazijitoshelezi kwa chakula? Si inamaanisha watu wake ni duni kiakili?
3. Weusi wamechukua nchi SA wanachofanya ni kuiba na kuporomosha uchumi, unaweza kuheshimu watu kama hao? Utatamani kuishi nao karibu?
4.Hivi unaweza kuheshimu watu wanaochukia nywele na rangi yao?
mi naona watu weusi tunastahili kabisa kubaguliwa.