Nikiwaza sana naona ni halali watu weusi kubaguliwa

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,885
1. Nikifikiria inakuwaje Cuba na NK wanavikwazo vya kiuchumi lakini wanatuzidi maendeleo? Wananchi wake wanahuduma bora za Afya, elimu, maji, umeme nk. si kuna uduni wa akili hapo? Kuna ubaya kujitenga na mtu mwenye akili duni/mpumbavu?

2. Inakuwaje nchi zina maji na ardhi ya kutosha lakini hazijitoshelezi kwa chakula? Si inamaanisha watu wake ni duni kiakili?

3. Weusi wamechukua nchi SA wanachofanya ni kuiba na kuporomosha uchumi, unaweza kuheshimu watu kama hao? Utatamani kuishi nao karibu?

4.Hivi unaweza kuheshimu watu wanaochukia nywele na rangi yao?
mi naona watu weusi tunastahili kabisa kubaguliwa.
 
1. nikifikiria inakuwaje Cuba na NK wanavikwazo vya kiuchumi lakini wanatuzidi maendeleo? wananchi wake wanahuduma bora za Afya, elimu, maji, umeme nk. si kuna uduni wa akili hapo? kuna ubaya kujitenga na mtu mwenye akili duni/mpumbavu?

2. inakuwaje nchi zina maji na ardhi ya kutosha lakini hazijitoshelezi kwa chakula? si inamaanisha watu wake ni duni kiakili?

3. weusi wamechukua nchi SA wanachofanya ni kuiba na kuporomosha uchumi. unaweza kuheshimu watu kama hao? utatamani kuishi nao karibu?

4.hivi unaweza kuheshimu watu wanaochukia nywele na rangi yao?
mi naona watu weusi tunastahili kabisa kubaguliwa.
KOSA KUBWA ALILOLIFANYA MUNGU NI KUUMBA MTU MWEUSI
 
Usisahau Cuba pia kuna watu weusi tii kama sisi, hata makamu wao wa rais ni kama yule jamaa wa zanziba balozi Seif Ali Idd kwa rangi zao wana fanana.
Tatizo liko Afrika, yaan bara hili
Lina dis advantage ya ki historia
Viongozi wa sio na maono ya mbele
Viongozi na wana nchi wabinafsi wana kosa uzalendo.
Afrika kwa kweli ni bara la giza, hasa ki utawala na kidemokrasia
 
Asili ya mtu mweusi ni mtoto wa Nuhu ambaye alichungulia uchi wa babaake, asimfunike. Hapo ndipo laana ilipoanzia.

Soma Kitabu cha MWANZO 9:20-27, utagundua mwanzo wa akili za mtu mweusi kuwa duni.
 
labda hatujui kujiongoza au system tuliochukua haitufai!
kuna uwingi wa ulimbukeni pia bongo bado zimelala mpk huwa nashangaa mambo ya ajabu ajabu tu mpk kero
 
1. nikifikiria inakuwaje Cuba na NK wanavikwazo vya kiuchumi lakini wanatuzidi maendeleo? wananchi wake wanahuduma bora za Afya, elimu, maji, umeme nk. si kuna uduni wa akili hapo? kuna ubaya kujitenga na mtu mwenye akili duni/mpumbavu?

2. inakuwaje nchi zina maji na ardhi ya kutosha lakini hazijitoshelezi kwa chakula? si inamaanisha watu wake ni duni kiakili?

3. weusi wamechukua nchi SA wanachofanya ni kuiba na kuporomosha uchumi. unaweza kuheshimu watu kama hao? utatamani kuishi nao karibu?

4.hivi unaweza kuheshimu watu wanaochukia nywele na rangi yao?
mi naona watu weusi tunastahili kabisa kubaguliwa.
Kweli mkuu yani ngozi nyeusi haina akili
 
Inasikitisha sana ukianza kuangalia mapichapicha ya wakoloni weusi na sisi wananchi yaani hatuna dira wala mwelekeo tufanye yapi kwa wakat sahihi, ukipewa madaraka unataka uwe mungu mtu
 
Usisahau Cuba pia kuna watu weusi tii kama sisi, hata makamu wao wa rais ni kama yule jamaa wa zanziba balozi Seif Ali Idd kwa rangi zao wana fanana.
Tatizo liko Afrika, yaan bara hili
Lina dis advantage ya ki historia
Viongozi wa sio na maono ya mbele
Viongozi na wana nchi wabinafsi wana kosa uzalendo.
Afrika kwa kweli ni bara la giza, hasa ki utawala na kidemokrasia
wapo lakini hawaendeshi nchi kwa kiasi kikubwa. hata Tinidad&Tobago wapo lakini wahindi ndiyo wanarun nchi na ipo vizuri. Dominika nako hawarun mambo na kuko vizuri. wanakorun mambo ni Jamaica na Haiti, maisha ya watu huko ni huruma.
 
Kinacho tukwamisha watu weusi ni ubinafsi na umimi jitu likiingia madarakani linataka kila kitu kiwe chake wabaya wake awakomeshe na tabia ya kuabudu wazungu na kufata kila wasemalo laiti kama wakiamua kuondoka kwenye nchi zetu na kusitisha misaada mbona akili zitafunguka vizuri tu mfano ni sawa na kijana kapata elimu ila hana kazi anamtegemea baba ake akitokea baba yake kafa mbona utamuona anavyo tafuta hela kwa udi na uvumba
 
1. nikifikiria inakuwaje Cuba na NK wanavikwazo vya kiuchumi lakini wanatuzidi maendeleo? wananchi wake wanahuduma bora za Afya, elimu, maji, umeme nk. si kuna uduni wa akili hapo? kuna ubaya kujitenga na mtu mwenye akili duni/mpumbavu?

2. inakuwaje nchi zina maji na ardhi ya kutosha lakini hazijitoshelezi kwa chakula? si inamaanisha watu wake ni duni kiakili?

3. weusi wamechukua nchi SA wanachofanya ni kuiba na kuporomosha uchumi. unaweza kuheshimu watu kama hao? utatamani kuishi nao karibu?

4.hivi unaweza kuheshimu watu wanaochukia nywele na rangi yao?
mi naona watu weusi tunastahili kabisa kubaguliwa.
Acha watubague tukae wenyewe mpaka kieleweke. ...
 
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom