Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 13,603
- 20,063
Shetani ana watu wangi sana wa kukampenia ili watu wazidi kumwasi MUNGU. Siku zote shetani hapendi watu waishi kufuata mapezi ya MUNGU, kwani ndoa ni mpango wa MUNGU ili watu waache zinaa,kwani imemebeba laana.
Kwa kuwa shetani sio Omni-Present amefanikiwa kupata wafuasi wengi katika kufanya na kukampenia dhambi kwa wengine ndo mana dhambi inaonenaka kama fahari na sifa hasa kwa sisi vijana,watu wapo tayari kujisifia uzinzi na ulevi lakini si ustaarabu na hekima.
Pia usikute hizo ndoa au mahusiano mnayoyaleta humu si tu kwa mapenzi ya MUNGU bali kwa show-off, kutimiza mitazamo ya ndugu na marafiki na umri.
ONYO: Usishabikie usichokijua, na usiwe mwana kampeni wa shetani acha mipango na mapenzi ya MUNGU yawe kwa wamchao.NDOA na iheshimiwe na watu wote.
Kila kazi itapimwa kwa moto kwa sababu MUNGU wetu ni moto ulao.. (Ebrania12:29)