Nikiwaambia msioe muwe mnasikia; kwa miezi 4 mwamba kaishi maisha magumu bila mshahara kumbe mkewe ana laki 8 ndani, na usaliti juu kaambulia

Shetani ana watu wangi sana wa kukampenia ili watu wazidi kumwasi MUNGU. Siku zote shetani hapendi watu waishi kufuata mapezi ya MUNGU, kwani ndoa ni mpango wa MUNGU ili watu waache zinaa,kwani imemebeba laana.

Kwa kuwa shetani sio Omni-Present amefanikiwa kupata wafuasi wengi katika kufanya na kukampenia dhambi kwa wengine ndo mana dhambi inaonenaka kama fahari na sifa hasa kwa sisi vijana,watu wapo tayari kujisifia uzinzi na ulevi lakini si ustaarabu na hekima.
Pia usikute hizo ndoa au mahusiano mnayoyaleta humu si tu kwa mapenzi ya MUNGU bali kwa show-off, kutimiza mitazamo ya ndugu na marafiki na umri.

ONYO: Usishabikie usichokijua, na usiwe mwana kampeni wa shetani acha mipango na mapenzi ya MUNGU yawe kwa wamchao.NDOA na iheshimiwe na watu wote.

Kila kazi itapimwa kwa moto kwa sababu MUNGU wetu ni moto ulao.. (Ebrania12:29)
 
Kuna binti alikuja niomba ushauri kuwa anataka kuingia katika ndoa na jamaaa m'moja ambaye yupo vema kimaisha, anampenda na yupo tayari kumuoa hata kesho.

Me nikamuuliza swali unategemea nini kutoka kwa jamaa ndoa ikishafungwa yaani awe na wajibu gani kwako katika maisha yenu pamoja. Akanitajia vitu vya kawaida tu kuwa anitunze, nipatie mahitaji kama mavazi, urembo, pocket money, ahudumie watoto, alipe kodi na tujenge ya kwetu, anisaidie pia wazazi na ndugu zangu pale wanapohitaji msaada wangu,anifungulie biashara yangu, anipende kwa dhati asinisaliti wala kuwa na mwanamke mwingine nje yangu yaani awe mwaminifu.

Nikamkatisha kwa kumwambia sawa kwakifupi awe vema kifedha ili aweze kukupa yote hayo sababu akiwa hana pesa then 90% ya hayo uliyosema hayatafanyika.

Nikamuuliza sasa wewe jamaa anataka kukuoa , ategemee wewe kutimiza majukumu yapi na kuwa na wajibu gani kwake?!

Akasema, nitamzalia na kulea watoto wetu, nitampikia chakula kizuri, nitampa penzi kitandani,nitamfulia nguo na usafi wa nyumba, nitakuwa namfariji wake. Kamaliza.

Nikamuuliza kwahiyo hayo ndio majukumu na wajibu wako?! Akajibu ndio.

Nikamwambia achana na ndoa nenda kaombe kazi ya uhousegirl tu, sababu nimekusikiliza unanitajia majukumu ya house girl na mdangaji kwa asilimia kubwa, sijaona ukinipa majukumu ya MKE WA MTU.
for sure adse
 
Tatizo wanawake ni watu wachoyo sana, walafi mno, wana tamaa sana, roho mbaya, wana chuki, wabinafsi, watu wenye mashindano, wasiotulia, wachawi, wasiowafikiria wengine Na ndoa ni biashara kwao

Halaafu wanaume ni watu wema sana, wapole, wenye kujitoa, watu wanaojali wengine, wenye kujinyima, wacha Mungu na ndoa kwao ni kutoa siyo kupokea.

Hivi vitu havichangamani.
No wonder shetaniana sifa za Mwanamke na Mungu wetu sifa za Mwanaume...

Kumpenda mwanamke ni Biashara isiyo na faida.

Wanawake wanapenda wao wapendwe hahahaaa
Mwanamme anaejipenda kwa Mwanamke ataitwa majina yotee mara mkimbia majukumu.

Nani alizaliwa akutunze wewe... Kwa lipi?
Huo mwili wa nyama una lolote la maana...

Pale wanaume wa sasa watakapodharau chochote cha Mwanamke uhuru unakaribia.

Wazee wetu hawakuwatambua wanawake kama Watu...

Mwanmme lazima awe strict na hawa viumbe...
Usimfanyie mwanamke jambo lolote ambalo linamnufaisha yeye in exchange of upuuzi ( ngono, eti baby, au vikisi)

Walivyo walafi wanakulaga matonge makubwa makubwa
 
Tatizo wanawake ni watu wachoyo sana, walafi mno, wana tamaa sana, roho mbaya, wana chuki, wabinafsi, watu wenye mashindano, wasiotulia, wachawi, wasiowafikiria wengine Na ndoa ni biashara kwao

Halaafu wanaume ni watu wema sana, wapole, wenye kujitoa, watu wanaojali wengine, wenye kujinyima, wacha Mungu na ndoa kwao ni kutoa siyo kupokea.

Hivi vitu havichangamani.
No wonder shetaniana sifa za Mwanamke na Mungu wetu sifa za Mwanaume...

Kumpenda mwanamke ni Biashara isiyo na faida.

Wanawake wanapenda wao wapendwe hahahaaa
Mwanamme anaejipenda kwa Mwanamke ataitwa majina yotee mara mkimbia majukumu.

Nani alizaliwa akutunze wewe... Kwa lipi?
Huo mwili wa nyama una lolote la maana...

Pale wanaume wa sasa watakapodharau chochote cha Mwanamke uhuru unakaribia.

Wazee wetu hawakuwatambua wanawake kama Watu...

Mwanmme lazima awe strict na hawa viumbe...
Usimfanyie mwanamke jambo lolote ambalo linamnufaisha yeye in exchange of upuuzi ( ngono, eti baby, au vikisi)

Walivyo walafi wanakulaga matonge makubwa makubwa
Nimekubali,wanaume tungekuwa na roho mbaya na ubinafsi tungedai ule ubavu wetu kwanza,🤔🤔
 
Vyote hivyo sio Lazma maishani. Kuna kuoa au kuwa single na kuna kuolewa na kuwa single. Kwa maisha ya sasa, when deciding to get married its like deciding to shorten your own life
 
Duka langu nilifunga, biashara Niliacha zote/

Uchumi uliyumba kwa maana nilianza pombe/

Niliumwa, bado kidogo moyo uzime/

Nilimfanya ndoto kumbe naye ana ndoto nyingine/

......HATIA IKO WAPI!!?
 
Tatizo wanawake ni watu wachoyo sana, walafi mno, wana tamaa sana, roho mbaya, wana chuki, wabinafsi, watu wenye mashindano, wasiotulia, wachawi, wasiowafikiria wengine Na ndoa ni biashara kwao

Halaafu wanaume ni watu wema sana, wapole, wenye kujitoa, watu wanaojali wengine, wenye kujinyima, wacha Mungu na ndoa kwao ni kutoa siyo kupokea.

Hivi vitu havichangamani.
No wonder shetaniana sifa za Mwanamke na Mungu wetu sifa za Mwanaume...

Kumpenda mwanamke ni Biashara isiyo na faida.

Wanawake wanapenda wao wapendwe hahahaaa
Mwanamme anaejipenda kwa Mwanamke ataitwa majina yotee mara mkimbia majukumu.

Nani alizaliwa akutunze wewe... Kwa lipi?
Huo mwili wa nyama una lolote la maana...

Pale wanaume wa sasa watakapodharau chochote cha Mwanamke uhuru unakaribia.

Wazee wetu hawakuwatambua wanawake kama Watu...

Mwanmme lazima awe strict na hawa viumbe...
Usimfanyie mwanamke jambo lolote ambalo linamnufaisha yeye in exchange of upuuzi ( ngono, eti baby, au vikisi)

Walivyo walafi wanakulaga matonge makubwa makubwa
Hata ukinunua chakula sahani mbili bado atataka ale kwake na kwako. Afu anajifanya eti anaonesha upendo kumbe n ulafi tu unawasumbua
 
Jamaa yangu mmoja na yeye yamemkuta kama john... Hana hata mia ya kuacha home kila siku hadi aje town aunge unge ndio atume boda apeleke chochote home... Siku nyingine hola wanaishia kula viporo! Kumbe mke ana laki 5 kaficha kwenye begi hadi inakaribia kuoza...
SI Bora hiyo ... Nikiwa form three babaangu alipatia ajali na wakaiba mzigo wote ilikuwa ni magodoro, tajiri akamalizana na bima, mzee akafukuzwa kazi akarud maskan... Dingi alikuwa anakabalance kidgo hashindwi kuacha 5000 kwa siku unga upo mchele tunachota tu, akaanza kuishiwa Zaid anashinda road Mara madereva wenzie wanamtunza Mara deiwaka, Mara Kodi maskan, kadiri muda ulivoenda nlimuona baba akichoka Zaid , akaacha kwenda road tukawa tunashinda wote maskan .. tokea kipind hiko ndipo nilipoamini kuwa sisi wanaume tunaumwa kwa sabab ya ajali na stress zikizid, kidizain heshima ikapungua hata madogo wakaanza kumtake easy mshua, baba aliumwa kwa miez mitat mfululizo na akaisha ilifikia kipind shangaz alikuja kumuuguza na kuanza kutumia pesa zake kwa mahitaji ya pale maskan shangaz nae akaishiwa akapoteza mtaj wa shamban koz pale home ni tulikuwa na team haswa... Amini usiamini yote hayo yanatokea Mimi najua na nna uhakika kuwa mama mdogo ana laki sita ++ kwenye simu na tukawa tunaenda mwez wa nne Hali mbaya shangaz kaushiw mshua hasomek... Huwez aminia maza mdg alikunja....siku baba akapata kazi kampun moja hiv inaitwa hotreef ya dsm mzigo transit huwez aminia alipopata kaz alipona siku hiyo hiyo na siku kaenda dar kapakia mzgo transit nlipomuona makambako afya ilikuwa imetengamaa kabisa Yan...

Mawazo yangu tokea wakati ule ilikuwa mwanaume ukiwa na Hali mbaya hata iweje, hata uhai kutoka ,mwanamke huwa anakata tamaa mapema so movement zao huwa ni kuanza kujifunza kuishi bila mwanaume ko huwa anawaza hela na rasilimali Kama mme akifa wataanzaj maisha badala ya kumpigania mme ainuke, na ndio maana mwanaume usipojenga wao huwa wanasema "Sasa ukifa utaniachia Nini Mimi na mwanao" utazani wameongea na mungu kuwa Nan aanze kufa, na huwa hawajali Tena ndugu akija kuuguza yeye ndo anajivua kbsa , hata vilio vyao misiban ni kuhusu ttaishije na watto, mazee Mimi ni muislam na sijaoa Ila swez kuwa na mke mmoja Kama ntajaaliwa uchumi na nguvu, kwanza starehe binafsi pili inaondoa mvutano baina ya mke na mme Mali ikiwa na mlengwa mmoja ni rahisi kuipoteza Kwan hata ukiumwa mke atawaza Mali Ila wakiwa wengi haya mambo huwa sio rahis....

Nshapoteza Imani na Hawa viumbe, Ila napingana na mleta mada Mimi kuoa lazma....kwann nmepoteza Imani, tiririka chini hapo

Nilipo maliza six nlikuwa na manz huyo jina nahifadh,alinpenda Zaid kwasabab skua na maajab ya kumfanyia Zaid ya penz,vocha, Pedi , chupi na gauni Mara chache nlimnunulia,... Basi bwana yeye anachet Cha form four Mimi Cha form 6... Nkakosa chuo , yeye mzaz wake akajikunjua akampeleka college iringa mm nikabaki na mitaa makambako, mambo yakachange sjui Kama alimpata mwingine chuo , huo mwaka ulikuwa mrefu kwangu nkapata mishe mgahawan japo ulikuwa wa mjomba mm nilibaki kibarua na sio Kama ndgu... Hapo nkaendelea kumhudumia sometimes pocket money , vocha na Pedi , basi buana mwka ukaisha namm nkapata chuo iringa pale pale rucu , kumbe yeye akasoma college ipo ilula na sio mjini Kama nilivowaza , tkapanga kukutana mshindo, huwez amini manz alinikataa pale hospital mshindo, bas nkarud home , nlifikia kwa mjomba pia, mambo yakaenda enda., Nkaanza kushangaa huyu mtu mbna town mwingi na anasoma ilula, basi bwana boom likatema nikaona nimuage mjomba kua naenda kukaa gheto mjomba alinimind japo aliniruhusu... Hapo Nina laki Saba na sijawahi ishika
...nilivomuambia habari ya kupanga ndipo nkaisoma akili yake alifurahi sana na alisimamia Hadi nikapata chumba nkalipia 105000 Kwan chumba ilikuwa ni 35000 kwa mwez ...Sasa nikaanza kuwaza huyu manz anaweza hamia ghetto mazima ,means naoa...kwa mazingira yanayonizunguka plus ndugu na hadhi walionipa kuoa et kisa boom ningeshushwa vyeo na ndugu zangu , yaan boom tu unaoa dah!!!, Japo nna wanangu waneoa kisa boom, bas bwana nkaanza kumkataa kiaina kabla sjahamia, ikabid nitafte mwana wa kushare cost ili kumpiga pini manz, ko mm ndo nikauza chumba , nkaaga kwa mjomba nkapewa godoro na vyombo kimtindo nkahamia kwa mshkaji chumba nlikiuza 80000. Nliona Bora hasara ndogo kuliko kuoa kisa boom , ndugu wanidharau na ningekatiwa baadh ya huduma logically, nlivokataa kuishi nae ndipo dadtar ilipojifunga , tulianza kukosana na kupatana kila siku , nakumbuka Mara ya mwisho kabsa tulikosana kisa Mimi nlikataa kumnunulia bando , Mimi nilitaka atumie halotel Kwan ni gharama naafuu , yeye alitaka voda ko tukazozana had tukaachana mazima, nazan wote mnakumbuka Jin's halotel ilivokua 2019/2020 , basi mm nkaendelea ..pia naomba nikiri wazi kuwa nmepoteza kitu kikubwa sana kumkosa Kwan nilimpenda alinipenda na nlipokua nae hata mamboyangu yalinyooka kiuchumi, muda ukaenda Mimi Sina manz Ila yeye anamtu nilihs...af si unajua Tena sisi vijana tikiwaga shule namba huwa tunakariri so iliniwia vigumu kumsahau Kwan Kuna muda najikuta nmemtext unconditionally, siku akaniambia kuwa ana ujauzito wa mchiz , skuamini japo nilijilazimisha kukubali na ni kitambo sjamuona, kumbe yupo ghto la mchiz mmoja hv yupo vema kiaina ko akamuoa japo hawakupelekana maskan , na Hilo ndo Jambo nlilolikwepa kwake , nilikubali kuishi kwa principles na sio hitaji la moyo ,pia nikajifunza kuwa wanawake wanaolewa na mtu Alie tayar kuoa na sie anaempendA,
Basi muda ukaenda ,Mara kajifungua ,skuamini , siku nkakutana na dadaake ndo nkaamini aisee roho iliniuma sana , dadaake alinisihi niuchune aisee, Mara mda si muda arobaini ikafika , akaja kunisalimia japo alikataa kuja gheto , Kuna muda nlianza kutema lisala akaniwahi kuhamisha maada, baadae mchiz wakapelekana maskan makambako, wamefunga harusi mwezi huu tar 15, huko mtwango njombe na wanamtt mmoja wa kike , Sasa basi ndo nkaanza kukoma na picha za harus ukichek manz nlipanga kumuoa nkiwa tayr, nkatulizana , heh juzi SI kanpigia simu yupo mjin nikampe hai nkaenda nkampa hai na ana pete kidolen mtt mgongoni, kinyonge mazee nkaishia zangu, Leo akaja kumpa hai dadaake huku frelimo akaniambia Kama nna mda niibuke,... Hadi nawaza nibutue mke wa mtu au nilinde karma Kwan namm watanichapia mke wa ndoa, au nibutue tu kuendana na nature , si mnajua sometimes inocents huwa wanahukumiwa for no reason na nature haijaki weakness yako, alisema atakuja kuntembelea japo nimhakikishie sitamfanya hamna, nilimuambia Sina Dem mbka Leo akanipa rafki ake, rafk ale simtaki ana mawenge... Nimejifunza kuwa natakiwa kuoa mke ambae siijui background yake na nisimchukue kwa mtu nikajua maana watu wanarudiana Kama si kupeana , nakiri wazi sikumbikiri Mimi japo alikiri waz hawwz kunisahau na anahardcopy ya picha zangu kwenye album ya ndoa yake kwa kusingizia Mimi ni ndugu yake, ,namhurumia mme wake, Ila nataman kuwa na mke ambaye sikumjua utoton Kwan itanisaidia kutowajua maadui mapema SI unajua adui usimjue , hata Mimi mshkaj hanijui na ana aman tele, ndoa Ina mwezi tu, je watadumu?,
Naomba mungu anilinde niendelee kumheshimu mchiz, roho inaniuma kupoteza mpenz lakni roho inaniuma Zaid kula mke wa mtu, Tena asie na hatia kwangu, nimejifunza pia manz anaweza akawa muaminifu kwa mumewe Ila akishafunga ndoa tu basi anaamini Yu salama na sio rahs kuachana ko free....ni hayo katika upande huo japo yapo mengi zaid
 
Duka langu nilifunga, biashara Niliacha zote/

Uchumi uliyumba kwa maana nilianza pombe/

Niliumwa, bado kidogo moyo uzime/

Nilimfanya ndoto kumbe naye ana ndoto nyingine/

......HATIA IKO WAPI!!?
Alisema anakwenda jiji la miami/
Hakuna alichowaza Zaid ya kuishi kifagari /

Kamtumia picha na mchizi kazikubari/

Na yupo tayari kumlipa gharama za safari/

Aliondoka na kipande kidogo Cha mwili /

Nilikinda nikapata ugonjwa wa akili/

Haikuwai kupitia hata sekunde nsilie/

Nilitaman mbaka ardhi ipaduke niingie/
 
Eeeh bwana ehh ni Mimi Mr. Liverpool Tena.

Weekend hii tumempiga Manure na nyundo Kali sanaa mpaka kapoteana.!!
Sasa jiulize ile ilikua Old Traford, je wakija Anfield..!!!

Turudi kwenye mada ....

HIVI KWANINI HAMSIKII NIKIWAAMBIA MSIOE ??

Sasa Kuna mwenzenu yamemkuta huku ......

Nimemsikitikia sanaaa "Hiii BAGOSHAAAA" (in jiwe's voice)

Mr. Liverpool ni mfanyakazi na mkuu wa idara fulani katika moja ya Halmashauri nchini.

Ana rafiki yake nae ni mkuu wa Idara (kaimu) nyengine (tumuite John).

John kuna jambo alizingua mwezi wa 2 akapigwa SP (Due to Absentees - alisepa kazini wiki bila ruhusa Wala taarifa na aliondoka kiboya hasaa).

John aliishia miezi 4 bila mshahara (akipambana na nisamehe na kumbembeleza HR mpaka wakafungua mshahara, waliufungua mwezi wa 6).

Jana nikaona nipige na John story; "Alitoboa vipi maisha miezi 4 bila MSHAHARA" Tuliongea mambo mengii ila Kuna jambo kanisikitisha sanaaa.

Anasema ........

Kipindi hana mshahara ndio aliijua rangi halisi ya mkewe..!!
Kaishi na mkewe miaka 5 ila hakujua huyu mkewe yuko hivi..!!

Mwezi wa 4 ndio ulikua mwezi mgumu. Hali ilikua ngumu japo kwa nje hakuonyesha.

Alivyoona mambo magumu hasa ilibidi amshirikishe mkewe. Alimueleza kila kitu mkewe japo mkewe ana duka la mahitaji ya nyumbani ambalo alifunguliwa na John ila alimjibu hana kitu.

(John alioa mama wa nyumbani ila aliamua kumfungulia duka ili asiwe wa nyumbani kabisa..!!!)

Ikabidi John anyamaze tu "mtu gani kwenye biashara miaka miwili apati faidi ye kila siku anatangaza hasara?"
John alijiuliza mengi akaona anyamaze alale.

Maisha yalikua taiti, John alikosa hela ya bia na ya manhood (kulinda wallet).
Ye alikua ana hakikisha tu mwanae mmoja wa ndoa anakula na kufurahi.

Kumbe bana John alikua anapitia mengi kwa siri sanaa na hata kula alikua anakula mgahawa wa mbali ili tusimuone yule mzoea makuku ana kula maharage..!!!

Aliogopa aibu na maneno ya walimwengu.

Kuna siku hali ya ugumu ndio ilizidi alirudi home empty (kazini hakupata dili wala kaposho cha kikao).
Kukopa hataki (atalipa nini na hana mshahara?).

Kufika home akamshirikisha mkewe, mkewe akatoa jibu lile lile SINA HELA..!!!

Asubuhi ya siku ifuatayo ilifika aliwazaa akaona leo haendi kazini. Alimwacha mkewe aende dukani, John aliamua kufanya searching nyumba nzima.

Alikuta vifuatavyo:-

1. Kwenye begi la nguo lilikua limechanwa chini.
Alijiuliza begi jipya kuchanika..!! akakuta mule kwenye mchano Kuna vidonge vya uzazi na laki 3 kamili..!!!

2. Akainua godoro, kwa mwisho kwenye kono ya godoro akakuta kuna laki 5.

Akafanya searching kubwaa sanaa kwenye chumba chao cha kulala. Anakwambia alivyovigundua vilimfanya apate hasira hasaa.

Alitoka kwa hasira mpaka dukani kwa mkewe. Akamkuta mkewe anahudumia mteja, kuangalia simu akakuta haijajifunga (mkewe alikua akiangalia kitu YouTube)

John alizuga pale dukani akaiba ile simu akaenda kujificha ili aifanyie upekuzi.

Alivyoviona ........

1. Kumbe mkewe ana bwana ambae alikuaga mwanafunzi mwenzake chuo.

2. Na kwa kusoma sms, inaonyesha huyo jamaa ni X wa mke, na jamaa kapata Kazi mkoa huu huu tuliopo.

3. Mke wa John alimlipia jamaa kodi ya kuanzia maisha kazini na godoro alimnunulia.

3. Mke wa John anavyosemaga anaenda mjini kujumua vitu vya dukani huwa anashukia kwa mwamba ambacho ni chumba cha mke wa John na X..!!

4. Kwenye chatting ya WhatsApp inaonyesha X alimshauri mke wa John waache kutumia P2 ila mke awe anakula vidonge vya majira..!!!

Yaani John Ali screenshot kila chatting akajitumia WhatsApp.
Kwa kuonyesha ukatili hakufuta zile picha ili mkewe ajue kwamba John amejua.

Sasa haya yametokea Kati ya mwezi wa 4 mpaka wa 6.
John anasema anahitaji kuvunja ndoa.

Mke kuona John haitaki tena ndoa kakimbilia kanisani.
Mchungaji alimuita John, John alijibu "Mumewe huyo ni Michael (X)"

Mke akakimbilia kwa wazazi aombewe msamaha.
Wazazi wa mume na mke wamekaa, ila John anasema aliomba ili aelewe cha mtu basi yafanyike mazungumzo mengine na kwenye hayo mazungumzo Michael (X) awepo.

Ila Michael aligoma kabisaa kutimba kwenye usuluhishi na kwa taarifa ya mke pale alipokua anaishi Michael kahama na hajui kahamia wapi na namba za simu hazipatikani tena...!!!

John aligoma kumsikiliza yoyotee kwahiyo wazazi walisepa bila maelewano.

Nilichoshangaa sasa, anasema... Hajawahi kuongea na mtu juu ya hili ila Mimi kumuuliza mambo ya ku survive bila mshahara ndio kumemfanya animwagie yotee kama kushusha mzigo wa fikra..!!!

John haitaki tena ndoa na mpaka tunavyoongea hapa kasha file kesi ya talaka.

Kwake hajafika tokea mwezi wa 6 na nyumba haitaki tena.

John huenda kumchukua mwanae shule akitoka siku za Ijumaa huenda nae gheto lake jipya huku akimtaarifu mkewe "mtoto yupo kwangu".

Mshahara ulivyofunguliwa John kumbe kapanga chumba karibu kabisa na kwangu..!!

Kanunua vitu vichache vya kuanzia maisha.
Kaamua kumuachia mkewe nyumba tu aishi na mwanae.

Ye kaondoka na Shamba la Eka 10 na kiwanja chenye pagala..!! Hati ya nyumba kaacha kwa mkewe ye kaondoka na documents za kiwanja cha pagala na Shamba.

Kabla mahakama haijaamua John kashagawa mali na maisha yanasonga...!!!

Nilichofanya nilienda kupajua kwake alikopanga maana sasa Mimi ndio nimekua jirani yake..!!

Kwenye pagala lake anataka ajitahidi amalizie hata vyumba viwili ahamie maana maisha ya kupanga alishayasahau kabisaa.

TURUDI KWENU WANAUME WABISHI ......!!!!

Na hizi ndio ndoa zenu mnazokimbilia.

Mwamba alijifanya kupenda akamfungulia mpaka biashara kumbe POLE YAKE.

NIKIWAAMBIA MSIOE MUWE MNASIKIA.

Nani kakwambia kuwa wanakupenda?

Braza They love your wallet..!!

Huyu alimpenda John au alipenda pesa za John za kufungulia biashara??

Just hook with them halafu pita hivi kabla wallet haijaisha.

Ila man usisahau kuwezekeza kwenye Mali na akili (financial knowledge).

SECURE YOUR FINANCIAL FUTURE.

When You have ASSETS and FINANCIAL KNOWLEDGE, Then it's ENOUGH..!!!

PESA NDIO KILA KITU, Huoni ZILIVYOMUOKOA RAFIKI YANGU JOHN.

#YNWA
Nami napitia ya hivi hivi na kwasababu zinazofanana

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Jamaa yangu mmoja na yeye yamemkuta kama john... Hana hata mia ya kuacha home kila siku hadi aje town aunge unge ndio atume boda apeleke chochote home... Siku nyingine hola wanaishia kula viporo! Kumbe mke ana laki 5 kaficha kwenye begi hadi inakaribia kuoza...

Mimi binafsi hicho kisa na vingine mfano wake haviwezi kunizuia kuoa , lakini nitavichulia kama funzo kwamba natakiwa nikae kwa password kwenye ndoa lakini father miyeyusho haikwepeki unaweza ukayakimbia kwenye ndoa na ukakutana nayo sehemu nyingine.

Shit will happen even if you do nothing or everything, you just stay alert

Tatizo wanawake ni watu wachoyo sana, walafi mno, wana tamaa sana, roho mbaya, wana chuki, wabinafsi, watu wenye mashindano, wasiotulia, wachawi, wasiowafikiria wengine Na ndoa ni biashara kwao

Halaafu wanaume ni watu wema sana, wapole, wenye kujitoa, watu wanaojali wengine, wenye kujinyima, wacha Mungu na ndoa kwao ni kutoa siyo kupokea.

Hivi vitu havichangamani.
No wonder shetaniana sifa za Mwanamke na Mungu wetu sifa za Mwanaume...

Kumpenda mwanamke ni Biashara isiyo na faida.

Wanawake wanapenda wao wapendwe hahahaaa
Mwanamme anaejipenda kwa Mwanamke ataitwa majina yotee mara mkimbia majukumu.

Nani alizaliwa akutunze wewe... Kwa lipi?
Huo mwili wa nyama una lolote la maana...

Pale wanaume wa sasa watakapodharau chochote cha Mwanamke uhuru unakaribia.

Wazee wetu hawakuwatambua wanawake kama Watu...

Mwanmme lazima awe strict na hawa viumbe...
Usimfanyie mwanamke jambo lolote ambalo linamnufaisha yeye in exchange of upuuzi ( ngono, eti baby, au vikisi)

Walivyo walafi wanakulaga matonge makubwa makubwa

Duka langu nilifunga, biashara Niliacha zote/

Uchumi uliyumba kwa maana nilianza pombe/

Niliumwa, bado kidogo moyo uzime/

Nilimfanya ndoto kumbe naye ana ndoto nyingine/

......HATIA IKO WAPI!!?

SI Bora hiyo ... Nikiwa form three babaangu alipatia ajali na wakaiba mzigo wote ilikuwa ni magodoro, tajiri akamalizana na bima, mzee akafukuzwa kazi akarud maskan... Dingi alikuwa anakabalance kidgo hashindwi kuacha 5000 kwa siku unga upo mchele tunachota tu, akaanza kuishiwa Zaid anashinda road Mara madereva wenzie wanamtunza Mara deiwaka, Mara Kodi maskan, kadiri muda ulivoenda nlimuona baba akichoka Zaid , akaacha kwenda road tukawa tunashinda wote maskan .. tokea kipind hiko ndipo nilipoamini kuwa sisi wanaume tunaumwa kwa sabab ya ajali na stress zikizid, kidizain heshima ikapungua hata madogo wakaanza kumtake easy mshua, baba aliumwa kwa miez mitat mfululizo na akaisha ilifikia kipind shangaz alikuja kumuuguza na kuanza kutumia pesa zake kwa mahitaji ya pale maskan shangaz nae akaishiwa akapoteza mtaj wa shamban koz pale home ni tulikuwa na team haswa... Amini usiamini yote hayo yanatokea Mimi najua na nna uhakika kuwa mama mdogo ana laki sita ++ kwenye simu na tukawa tunaenda mwez wa nne Hali mbaya shangaz kaushiw mshua hasomek... Huwez aminia maza mdg alikunja....siku baba akapata kazi kampun moja hiv inaitwa hotreef ya dsm mzigo transit huwez aminia alipopata kaz alipona siku hiyo hiyo na siku kaenda dar kapakia mzgo transit nlipomuona makambako afya ilikuwa imetengamaa kabisa Yan...

Mawazo yangu tokea wakati ule ilikuwa mwanaume ukiwa na Hali mbaya hata iweje, hata uhai kutoka ,mwanamke huwa anakata tamaa mapema so movement zao huwa ni kuanza kujifunza kuishi bila mwanaume ko huwa anawaza hela na rasilimali Kama mme akifa wataanzaj maisha badala ya kumpigania mme ainuke, na ndio maana mwanaume usipojenga wao huwa wanasema "Sasa ukifa utaniachia Nini Mimi na mwanao" utazani wameongea na mungu kuwa Nan aanze kufa, na huwa hawajali Tena ndugu akija kuuguza yeye ndo anajivua kbsa , hata vilio vyao misiban ni kuhusu ttaishije na watto, mazee Mimi ni muislam na sijaoa Ila swez kuwa na mke mmoja Kama ntajaaliwa uchumi na nguvu, kwanza starehe binafsi pili inaondoa mvutano baina ya mke na mme Mali ikiwa na mlengwa mmoja ni rahisi kuipoteza Kwan hata ukiumwa mke atawaza Mali Ila wakiwa wengi haya mambo huwa sio rahis....

Nshapoteza Imani na Hawa viumbe, Ila napingana na mleta mada Mimi kuoa lazma....kwann nmepoteza Imani, tiririka chini hapo

Nilipo maliza six nlikuwa na manz huyo jina nahifadh,alinpenda Zaid kwasabab skua na maajab ya kumfanyia Zaid ya penz,vocha, Pedi , chupi na gauni Mara chache nlimnunulia,... Basi bwana yeye anachet Cha form four Mimi Cha form 6... Nkakosa chuo , yeye mzaz wake akajikunjua akampeleka college iringa mm nikabaki na mitaa makambako, mambo yakachange sjui Kama alimpata mwingine chuo , huo mwaka ulikuwa mrefu kwangu nkapata mishe mgahawan japo ulikuwa wa mjomba mm nilibaki kibarua na sio Kama ndgu... Hapo nkaendelea kumhudumia sometimes pocket money , vocha na Pedi , basi buana mwka ukaisha namm nkapata chuo iringa pale pale rucu , kumbe yeye akasoma college ipo ilula na sio mjini Kama nilivowaza , tkapanga kukutana mshindo, huwez amini manz alinikataa pale hospital mshindo, bas nkarud home , nlifikia kwa mjomba pia, mambo yakaenda enda., Nkaanza kushangaa huyu mtu mbna town mwingi na anasoma ilula, basi bwana boom likatema nikaona nimuage mjomba kua naenda kukaa gheto mjomba alinimind japo aliniruhusu... Hapo Nina laki Saba na sijawahi ishika
...nilivomuambia habari ya kupanga ndipo nkaisoma akili yake alifurahi sana na alisimamia Hadi nikapata chumba nkalipia 105000 Kwan chumba ilikuwa ni 35000 kwa mwez ...Sasa nikaanza kuwaza huyu manz anaweza hamia ghetto mazima ,means naoa...kwa mazingira yanayonizunguka plus ndugu na hadhi walionipa kuoa et kisa boom ningeshushwa vyeo na ndugu zangu , yaan boom tu unaoa dah!!!, Japo nna wanangu waneoa kisa boom, bas bwana nkaanza kumkataa kiaina kabla sjahamia, ikabid nitafte mwana wa kushare cost ili kumpiga pini manz, ko mm ndo nikauza chumba , nkaaga kwa mjomba nkapewa godoro na vyombo kimtindo nkahamia kwa mshkaji chumba nlikiuza 80000. Nliona Bora hasara ndogo kuliko kuoa kisa boom , ndugu wanidharau na ningekatiwa baadh ya huduma logically, nlivokataa kuishi nae ndipo dadtar ilipojifunga , tulianza kukosana na kupatana kila siku , nakumbuka Mara ya mwisho kabsa tulikosana kisa Mimi nlikataa kumnunulia bando , Mimi nilitaka atumie halotel Kwan ni gharama naafuu , yeye alitaka voda ko tukazozana had tukaachana mazima, nazan wote mnakumbuka Jin's halotel ilivokua 2019/2020 , basi mm nkaendelea ..pia naomba nikiri wazi kuwa nmepoteza kitu kikubwa sana kumkosa Kwan nilimpenda alinipenda na nlipokua nae hata mamboyangu yalinyooka kiuchumi, muda ukaenda Mimi Sina manz Ila yeye anamtu nilihs...af si unajua Tena sisi vijana tikiwaga shule namba huwa tunakariri so iliniwia vigumu kumsahau Kwan Kuna muda najikuta nmemtext unconditionally, siku akaniambia kuwa ana ujauzito wa mchiz , skuamini japo nilijilazimisha kukubali na ni kitambo sjamuona, kumbe yupo ghto la mchiz mmoja hv yupo vema kiaina ko akamuoa japo hawakupelekana maskan , na Hilo ndo Jambo nlilolikwepa kwake , nilikubali kuishi kwa principles na sio hitaji la moyo ,pia nikajifunza kuwa wanawake wanaolewa na mtu Alie tayar kuoa na sie anaempendA,
Basi muda ukaenda ,Mara kajifungua ,skuamini , siku nkakutana na dadaake ndo nkaamini aisee roho iliniuma sana , dadaake alinisihi niuchune aisee, Mara mda si muda arobaini ikafika , akaja kunisalimia japo alikataa kuja gheto , Kuna muda nlianza kutema lisala akaniwahi kuhamisha maada, baadae mchiz wakapelekana maskan makambako, wamefunga harusi mwezi huu tar 15, huko mtwango njombe na wanamtt mmoja wa kike , Sasa basi ndo nkaanza kukoma na picha za harus ukichek manz nlipanga kumuoa nkiwa tayr, nkatulizana , heh juzi SI kanpigia simu yupo mjin nikampe hai nkaenda nkampa hai na ana pete kidolen mtt mgongoni, kinyonge mazee nkaishia zangu, Leo akaja kumpa hai dadaake huku frelimo akaniambia Kama nna mda niibuke,... Hadi nawaza nibutue mke wa mtu au nilinde karma Kwan namm watanichapia mke wa ndoa, au nibutue tu kuendana na nature , si mnajua sometimes inocents huwa wanahukumiwa for no reason na nature haijaki weakness yako, alisema atakuja kuntembelea japo nimhakikishie sitamfanya hamna, nilimuambia Sina Dem mbka Leo akanipa rafki ake, rafk ale simtaki ana mawenge... Nimejifunza kuwa natakiwa kuoa mke ambae siijui background yake na nisimchukue kwa mtu nikajua maana watu wanarudiana Kama si kupeana , nakiri wazi sikumbikiri Mimi japo alikiri waz hawwz kunisahau na anahardcopy ya picha zangu kwenye album ya ndoa yake kwa kusingizia Mimi ni ndugu yake, ,namhurumia mme wake, Ila nataman kuwa na mke ambaye sikumjua utoton Kwan itanisaidia kutowajua maadui mapema SI unajua adui usimjue , hata Mimi mshkaj hanijui na ana aman tele, ndoa Ina mwezi tu, je watadumu?,
Naomba mungu anilinde niendelee kumheshimu mchiz, roho inaniuma kupoteza mpenz lakni roho inaniuma Zaid kula mke wa mtu, Tena asie na hatia kwangu, nimejifunza pia manz anaweza akawa muaminifu kwa mumewe Ila akishafunga ndoa tu basi anaamini Yu salama na sio rahs kuachana ko free....ni hayo katika upande huo japo yapo mengi zaid

Alisema anakwenda jiji la miami/
Hakuna alichowaza Zaid ya kuishi kifagari /

Kamtumia picha na mchizi kazikubari/

Na yupo tayari kumlipa gharama za safari/

Aliondoka na kipande kidogo Cha mwili /

Nilikinda nikapata ugonjwa wa akili/

Haikuwai kupitia hata sekunde nsilie/

Nilitaman mbaka ardhi ipaduke niingie/

Nami napitia ya hivi hivi na kwasababu zinazofanana

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app

miss pablo

Soma hivyo VISANGA.

#YNWA
 
Kwamba unafikiri tunaishi kwa kufata mkumbo ama? Hivi chapters za maisha zinafanana kumbe? Kisa umesoma humu basi? Halafu humu kuna some arrogant boys. Not even men. Mawashangaaga kweli. Ndo akili zenu hizi. Pole sana

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Madam acha raia wateme ya moyoni ili wapone.

Raia wanapitia magumu sanaa na ndoa zao humu.

#YNWA
 
Back
Top Bottom