He he he he!
Sawa member!
cha ajabu watanzania wananunua...nyumbani TV.., kwenye gari TV.., baa TV.., simu TV....ha haaaa kazi kweli kweli...wachina wao wanauza tu
He he he he!
Sawa member!
Ni vzuri...kwa kua inawapa taarifa mbali mbali pia burudani.cha ajabu watanzania wananunua...nyumbani TV.., kwenye gari TV.., baa TV.., simu TV....ha haaaa kazi kweli kweli...wachina wao wanauza tu
kwa sababu bei ya sim card sio gharama pekee iliyopo katika kumiliki line nyingi. Itabidi ubebe misimu mingi mifukoni, au uwe na simu moja yenye line nyingi, ambazo nyingi ni magumashi ya kichina.lakini ukizingati line ni chini ya 1000/= kwanini asiwe nazo zote?
Tumia TTCL mkubwa hapa bongo ndo ulko full
Njoo na desktop na inverter umemem wa tabu... 12hrs outage.. :roll:
cha ajabu ni nini? ina maana ukiwa na TV nyumbani usiwe na ya kwenye gari au ofisini au ya kwenye simu? kama una mawe (hela) unaweka TV popote unapotaka hata chooni au stoo unaweza kuweka hela yako tu mbona nje watu wana TV kwenye kila chumba na kwenye gari na kila sehemu hatusemicha ajabu watanzania wananunua...nyumbani TV.., kwenye gari TV.., baa TV.., simu TV....ha haaaa kazi kweli kweli...wachina wao wanauza tu
Kweli kila mtu na mawazo yake humu!cha ajabu ni nini? ina maana ukiwa na TV nyumbani usiwe na ya kwenye gari au ofisini au ya kwenye simu? kama una mawe (hela) unaweka TV popote unapotaka hata chooni au stoo unaweza kuweka hela yako tu mbona nje watu wana TV kwenye kila chumba na kwenye gari na kila sehemu hatusemi
sijasema hivyo kwa ubaya lakini kama una pesa kwa nn usifanye kitu roho inapenda? kama mtu anagoma ili haongezewe BOOM ni tatizo litakalosababisha mimi nisiweke TV kila chumba kwenye nyumba yangu? siku zote MUNGU ameumba watu tofauti kimapato na kimaisha shida za jirani yangu haziwezi kuninyima usingizi hata usiku mmoja kama akaunti yangu inasoma salio la kutosha na deal zangu zinaingiza helaKweli kila mtu na mawazo yake humu!
Maisha haya ni magumu.
Kuwa na mawe(pesa) haikatazwi lakini imekua gape kati yenu wenye nazo na wasio kua nazo...wenye nazo ndio wanaowachukulia wasio nazo!
Hizo Tv kila sehem za nini? Wanachuo wanaumia huko na migomo hawasikizwi...wewe unasema kuna ubaya gani wakati unayo mawe(peso)!
Jamani mtuonee huruma!
Hapa umenichanganya kidogo, nini mahusiano kati ya mke kubakia huko,massage bongo,dawa za nyumbani na viagra....please fafanua ili tukupe msaada unaotakiwa......Usinielewe vibaya haya ni mazoea yangu tangu huko Bongo. Hata wazazi na marafiki,walimu na ww...wanajua nlipenda kuomba ushauri wa kila jambo!
Mke atabakia huku...kwani nkiwa huko huduma ya massage hakuna?
Itansaidia kwa muda wote nkiwa huko. Pia nina hilo tatizo nasikia dawa za nyumbani zinasaidia zaidi hii shida /kaugonjwa.(nataka viagr*).
ila topiki zako Ndevu mbili zimekaa kihaya kihaya, anyway kaibu sana Bongo maana unaonekana fikra zako kuhusu Bongo ni kama unaenda jehanamu lol.
Habari zenu wana JF!
Poleni na matatizo ya hapo nyumbani!
Tutaijenga nji yetu japo itatuchukua miaka mingi...naamini itatukuka!
Hivi huku nimezoeea mawasiliano bila kero...
Je nkiwa huko Tz nitumie mawasiliano kupitia kampyni gani ya simu?
Nawaombeni waungwana mniwasilishie.
Mniju.....
Nimeambiwa nijiunge na Ttcl/airtel pamoja na hii vodacom...b'se of it's coverage.Naomba usijiunge na VODACOM kwa kuwa umtamtajirisha mtu anaye tuibia ROST HAM
Mwenzangu bado atabaki huku huku Canada. Japo ninalo hilo tatizo....mbali na tendo lenyewe ntapenda kua na mtu wa karibu zaidi kubadilisha mawazo n.kHapa umenichanganya kidogo, nini mahusiano kati ya mke kubakia huko,massage bongo,dawa za nyumbani na viagra....please fafanua ili tukupe msaada unaotakiwa......
All in all karibu kwenye Joto, Mgawo wa umeme, vumbi,wadudu,majungu,mafisadi,wezi,RA,JK,Richmond aka Dowans nk
Simu ya kichina ikoje yenye Line 3,4?
Mkuu Roaming acha kabisa utakuwa charged hata kupokea simu., yaani jamaa zake wa Canada wakimpigie hata kupokea tu yeye mwenyewe ndio analipa, solution ni very simple hata kama anayo handset moja anaweza akawa na Sim cards zote atakuwa anaswap pale anapopigia watu..., Hivyo ndio bongo tunavyoishiMimi nakushauri utumie simu na namba yako kama kawaida ila ukiwa tanzania tumia huduma ya roaming. Hiyo itakuwezesha ku hook kwenye network yoyote huko Bongo na kuendelea na mawasiliano kama kawaida.
Hiyo itakusaidia sana huko canada watakupata kwa simu na Bongo utawapigia simu watu kama kawaida.
tatizo jamaa wa Bongo watashindwa kukupigia sababu ya gharama ila wewe hakuna shida bei ile ile ya bongo.