Tigga Mumba
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 746
- 473
Rostam, JK, Manji, EL, Riziwan, Makinda, vijisenti, na kuna vijamaa vingine majina yananitoka maana povu la hasira linanitoka
Huyu Riz1 wakati anasoma kule kusin A level usingeamini kama angeingia kwenye list ya mafisadi yaani alikuwa mpole mshamba na "mwema" baada ya hapo ni balaa!
Rostam, JK, Manji, EL, Riziwan, Makinda, vijisenti, na kuna vijamaa vingine majina yananitoka maana povu la hasira linanitoka
Je, husipokua rais utawafanyaje hao wanyonyaji?
Naona kiswahili kinaendelea kuharibiwa siku hadi siku. Ndugu yangu hakuna kitu kinachoitwa 'husipokua' bali ni 'usipokuwa'. Inawezekana wewe ni 'nshomile' sikulaumu sana.
Back to the point: wengine ni salma kikwete, peter selukamba, januari makamba, kalamagi, dr. msabaha, wiliam ngereja. Orodha ni ndefu sana. Nitaendelea baadaye.
Huyu Riz1 wakati anasoma kule kusin A level usingeamini kama angeingia kwenye list ya mafisadi yaani alikuwa mpole mshamba na "mwema" baada ya hapo ni balaa!
IF WISHES WERE HORSES THEN BEGGARS WOULD RIDE.
Ila mkuu thread yako imekosa mashiko ya ki great thinkers, maana hii unataka wewe ni retarliation ambayo kwa mtazamo wangu ndiyo inafanya viongozi kuwa wang'ang'anizi kwa kuogopa kulipiziwa kisasi. Nafikiri cha muhimu ni kuthibitisha tuhuma dhidi yao then unawashitaki na kuwafilisi kwa mujibu wa sheria, then unazuia uporaji usifanyike tena.