Pagoda Hunter
Senior Member
- Apr 15, 2020
- 138
- 172
ndugu mjumbe hili suala nimeshalifikisha kwenye Kamati ya nidhamu.Mwite haraka kikaoni Mnyatiaji fikisha taarifa kwa m.kiti
ndugu mjumbe hili suala nimeshalifikisha kwenye Kamati ya nidhamu.Mwite haraka kikaoni Mnyatiaji fikisha taarifa kwa m.kiti
Panda la kawe shukia Kwa Nyerere ndo ushafikaNimeambiwa niende Mikocheni kwa Rizwan (Senga Road) near St Florence School. Nikiwa ninatokea kariakoo/ubalozi wa Marekani nishukie kituo gani? Mimi nimeishi saaana Iringa na Tabora hivyo ni mgeni/mshamba wa jiji. Wenyeji wa Dar ninaomba msaada wenu.
Sie watu wa mikoani tunaogopa kuulizia maeneo ambayo hatuyajui. Tunajua kila mtu dar ni mwiziWasiojulikana
Umeshindwa kuwauliza hata wenyeji wako malkia? Uliza hapo hata kkoo
Unatokea Kariakoo/ ubalozi wa Marekani! Mbona havishikani hata kwa ulimbo. Ukitokea Cheyo/ Tukutuku ukamuone Mwinamila mtaa wa Rehani ushukie kituo gani?Nimeambiwa niende Mikocheni kwa Rizwan (Senga Road) near St Florence School. Nikiwa ninatokea kariakoo/ubalozi wa Marekani nishukie kituo gani? Mimi nimeishi saaana Iringa na Tabora hivyo ni mgeni/mshamba wa jiji. Wenyeji wa Dar ninaomba msaada wenu.
Kabisa mkuu mkalimani amehusika hapa 😂 😂😂Unatokea Kariakoo/ ubalozi wa Marekani! Mbona havishikani hata kwa ulimbo. Ukitokea Cheyo/ Tukutuku ukamuone Mwinamila mtaa wa Rehani ushukie kituo gani?
Naona swali lako umelitafsiri toka Kinyamwezi kwenda Kiswahili.
kutembea ni dk tano tu umefikaAsante kaka. Kwa miguu hapaendeki kwa maana pesa ya bodaboda sina. Nipo choka mbaya.
Saafi sana, itisheni kikao mapema sanandugu mjumbe hili suala nimeshalifikisha kwenye Kamati ya nidhamu.
Vijana wa siku hizi mmekuwaje lakini? Haki ya nani Jiwe alitaka kuwaharibu! Mmeshindwa kabisa hata kumsaidia hata elfu 10 huyu binti ili apate hela ya bodaboda hapo mjini? Ila na wewe binti unakujaje mjini bila kujipanga? Naogopa watu wenye nia ovu wasije kujifanya Wasamaria wema wakakufanyia kitu kibaya! Hebu nitafute PM, nikurushie hata ya kunywa maji!Asante kaka. Kwa miguu hapaendeki kwa maana pesa ya bodaboda sina. Nipo choka mbaya.
Panda gari za Masaki shuka NamangaNishukie kituo gani nikiwa ninatokea kariakoo?
Wanajf, mtanisamehe kwani huyu jamaa maelezo yake yanatia mashaka sana, mimi binafsi nimemshitukia huyu ni mkora.Sie watu wa mikoani tunaogopa kuulizia maeneo ambayo hatuyajui. Tunajua kila mtu dar ni mwizi
Drive in bado ipo?Alafu kutwa kusifia jiwe na kutuita sisi tumetumwa na mabeberu kumbe hata drive inn hupajui
Muulize mwenyeji wakoNimeambiwa niende Mikocheni kwa Rizwan (Senga Road) near St Florence School. Nikiwa ninatokea kariakoo/ubalozi wa Marekani nishukie kituo gani? Mimi nimeishi saaana Iringa na Tabora hivyo ni mgeni/mshamba wa jiji. Wenyeji wa Dar ninaomba msaada wenu.
Ha ha ha aseeSie watu wa mikoani tunaogopa kuulizia maeneo ambayo hatuyajui. Tunajua kila mtu dar ni mwizi
PoleAsante kaka. Kwa miguu hapaendeki kwa maana pesa ya bodaboda sina. Nipo choka mbaya.