EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Unafika ni karibu tu nikajua una harakaAsante kaka. Kwa miguu hapaendeki kwa maana pesa ya bodaboda sina. Nipo choka mbaya.
Unafika ni karibu tu nikajua una harakaAsante kaka. Kwa miguu hapaendeki kwa maana pesa ya bodaboda sina. Nipo choka mbaya.
Ha ha ha acha basiNitumie namba yako nikuelekeze nije kukuchukua hapo kituoni. Au nimwambie dereva aje kukuchukua toka home. Umezoea mitaa ya kanyenye,bachu na isevya?
Alafu kutwa kusifia jiwe na kutuita sisi tumetumwa na mabeberu kumbe hata drive inn hupajui
Msimnyanyase. Mimi ntamtuma Dereva akamchukue amzungushe popote atakapo enda na kumrudisha nyumbani.ukimuelekeza kutumia google map utaishiwa damu mkuu? amepost anaomba msaada
No no no...usiumize miguu. Aisee.... Miguu ya mwanamke si ya kutembelea. Ni ya kupendezesha tu mwili. Utanitumia namba yako private dereva atakuzungusha kokote utakapo.Asante kaka. Kwa miguu hapaendeki kwa maana pesa ya bodaboda sina. Nipo choka mbaya.
Ubarikiwe sana Komeo LachumaMsimnyanyase. Mimi ntamtuma Dereva akamchukue amzungushe popote atakapo enda na kumrudisha nyumbani.
Unataka ufanye matumizi mabaya na uhujumu uchumi wewe.. Unavunja miiko na taratibu za Chama chetu UWABATA...Ngoja mwenyekiti aone hiki kama hajakuvua uanachamaNo no no...usiumize miguu. Aisee.... Miguu ya mwanamke si ya kutembelea. Ni ya kupendezesha tu mwili. Utanitumia namba yako private dereva atakuzungusha kokote utakapo.
Shuka namanga tembea tu kutokea hapo na hali hii yakubana vifua tembea tuAsante kaka. Kwa miguu hapaendeki kwa maana pesa ya bodaboda sina. Nipo choka mbaya.
Dah...nipigie nikuelekeze asaliNimeambiwa niende Mikocheni kwa Rizwan (Senga Road) near St Florence School. Nikiwa ninatokea kariakoo/ubalozi wa Marekani nishukie kituo gani? Mimi nimeishi saaana Iringa na Tabora hivyo ni mgeni/mshamba wa jiji. Wenyeji wa Dar ninaomba msaada wenu.
Kwa mguu ukishuka morocco ni rahis zaid hata hapo namanga pia panafikika kirahis sanaa...Almost 3 to 5 minutesAsante kaka. Kwa miguu hapaendeki kwa maana pesa ya bodaboda sina. Nipo choka mbaya.
Hapana aisee.. Kutoka Morocco mpaka kwa Ridhwani kwa mguu ni ishu mzee.. Njia rahisi ya kufika kwa mguu ni kushuka kituo cha Mwalimu kule kisha anakuja na Road ya Rose Garden mpaka mtaa wa SENGA ROAD hapo anakuwa amefika tayariKwa mguu ukishuka morocco ni rahis zaid hata hapo namanga pia panafikika kirahis sanaa...Almost 3 to 5 minutes
Mwite haraka kikaoni Mnyatiaji fikisha taarifa kwa m.kitiUnataka ufanye matumizi mabaya na uhujumu uchumi wewe.. Unavunja miiko na taratibu za Chama chetu UWABATA...Ngoja mwenyekiti aone hiki kama hajakuvua uanachama
Morocco au msasaniNishukie kituo gani nikiwa ninatokea kariakoo?
Uko right pia mkuu.Hapana aisee.. Kutoka Morocco mpaka kwa Ridhwani kwa mguu ni ishu mzee.. Njia rahisi ya kufika kwa mguu ni kushuka kituo cha Mwalimu kule kisha anakuja na Road ya Rose Garden mpaka mtaa wa SENGA ROAD hapo anakuwa amefika tayari
At least mtu ashukie VICTORIA pale angalau.. Kisha aje mpaka KAIRUKI HOSPITAL kisha aulizie mtaa wa SENGA hapo watamulekeza maana kutoka KAIRUKI hospitali mpaka kwa Ridhwani Kikwete sio mbali kabisaUko right pia mkuu.
Mi nimezoea hiyo zaid dats y
AsanteAt least mtu ashukie VICTORIA pale angalau.. Kisha aje mpaka KAIRUKI HOSPITAL kisha aulizie mtaa wa SENGA hapo watamulekeza maana kutoka KAIRUKI hospitali mpaka kwa Ridhwani Kikwete sio mbali kabisa
Kama nimepanda gari za Kawe?Kama umepanda gar za kkoo-tegeta hapo shuka hata morocco then chukua boda.
Kama umepanda gar ya kkoo-masaki shuka namanga chukua boda
Kama huna wazo si usome ya wengine badala ya kupoteza muda?Nimeambiwa niende Mikocheni kwa Rizwan (Senga Road) near St Florence School. Nikiwa ninatokea kariakoo/ubalozi wa Marekani nishukie kituo gani? Mimi nimeishi saaana Iringa na Tabora hivyo ni mgeni/mshamba wa jiji. Wenyeji wa Dar ninaomba msaada wenu.
Kituo kinaitwa ubalozi wanakushusha ubaloz unauona uleeKama nimepanda gari za Kawe?