GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
Leo katika Uzi huu nawaomba wale Mashabiki Mbumbumbu ( Fools ) wa Simba SC ambao kila mara GENTAMYCINE nikianzisha hapa Threads za Kuyasema yanayoitafuna Simba SC yetu ( yangu ) huwa Wananishambulia waje tena na leo waniambie je, yale ambayo Malaika Mimi wa Kizanaki, Kitutsi na Kimakuwa GENTAMYCINE niliyoyasema kuhusiana na Simba SC yanatokea au hayatokei?
Bado siku chache tu Nyote mtakuwa ni Team GENTAMYCINE na mtakuwa mnanipigia Salute kwa Taarifa zangu na Chambuzi zangu za Kina kuhusiana na Mpira ( Soka la Tanzania ) na Masuala Mtambuka ya Taifa letu hili la Tanzania.
Ashukuriwe Mwenyezi Mungu kwa kunifanya GENTAMYCINE niwe 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' hivi.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Bado siku chache tu Nyote mtakuwa ni Team GENTAMYCINE na mtakuwa mnanipigia Salute kwa Taarifa zangu na Chambuzi zangu za Kina kuhusiana na Mpira ( Soka la Tanzania ) na Masuala Mtambuka ya Taifa letu hili la Tanzania.
Ashukuriwe Mwenyezi Mungu kwa kunifanya GENTAMYCINE niwe 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' hivi.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!