Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nina m 9 nataka harrier yenye 2000cc yenye hali nzuri, ninaweza pata au nijipange upya? ntashukuru kwa ushauri wenu
nina m 9 nataka harrier yenye 2000cc yenye hali nzuri, ninaweza pata au nijipange upya? ntashukuru kwa ushauri wenu
nina m 9 nataka harrier yenye 2000cc yenye hali nzuri, ninaweza pata au nijipange upya? ntashukuru kwa ushauri wenu
Only in Tanzania!................. (brand new second hand)
Hamna harrier ya chini ya CC 2200!
Bei yako ya m9 either upate used kwa mtu iliyopata ajali cuz kodi ya kuimport harrier yenyewe inazidi hiyo m9
Wewe kweli kilaza!Zipo nyingi mkuu za 2160, nadhani bado una mawenge wenge ya Igunga.
mkuu..hakuna harrier ya CC 2000, minimum ni cc 2500 kwenda juu na hata kama ingekuwepo si kwa m 9.
kwa ushauri kama ulivyosema, jipange upya man!
Wewe kweli kilaza!
2160 ndio equivalent to 2200!
Kama kuna lenye chini ya hapo nijukishe
Hamna harrier ya chini ya CC 2200!
Bei yako ya m9 either upate used kwa mtu iliyopata ajali cuz kodi ya kuimport harrier yenyewe inazidi hiyo m9
Wewe kweli kilaza!
2160 ndio equivalent to 2200!
Kama kuna lenye chini ya hapo nijukishe
Hujui unachokiandika..naona unajichekesha tu mbele ya wanaume!Red and bolded: Hahahaaaaa! We bado kabisa wewe, si unaona sasa akili inarudi taratibu. Teteteteeee, Adavnced Diploma=Master's degree au Advanced Diploma is equivalent to Master's degree. Bado kidogo akili itarudi tu, Mungu yupo.