Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,779
- 18,746
athantesafi mtoto mzuri.
nyumba sio kwa ajili ya kulala tuUtalala kwenye chumba kimoja tu
Kila la kheri Mkuu.
hakika, ila hoteli kwani sio nyumba?Nimecheka
Nyumba kama hotel
Ila penye nia pana njia..pambana
nipo machoEndelea kuota na ukiamka utuambie
Hongera kijana.
Basi malizana na daydream zako ukafanye kazi ya ujenzi taifanipo macho
hiyo helokopta huitaki?