Si uliajiriwa mbezi?Kazi zitoke wapi boss, hata kazi za kuosha masufuria zataka konekshenj at I!
Mkuu, ipo siku Mungu atakufungulia milango ya baraka. Usikate tamaa.kazi zitoke wapi boss, hata kazi za kuosha masufuria zataka konekshenj at I!
Ndugu yangu pole sana. Mungu yupo pamoja na wewe.Yaani nilikuwa nikisikia mtu anasema 'hapa sina hata mia kabisa' , niliona kama utani hivi.
Lakini kumbe hii kitu ipo kabisa wakuu!
Be careful.
Mungu azidi kukupigania mkuumbezi au bagamoyo? ilikuwa shamba la kitimoto. unadhani kitimoto wanafugwa miaka yote?
Hukujiwekea akiba?mbezi au bagamoyo? ilikuwa shamba la kitimoto. unadhani kitimoto wanafugwa miaka yote?
Hakuna jambo lisilo na mwisho hapa duniani. Hata akiba pia huisha.Hukujiwekea akiba?
Hahaha balaaa hii kitu ipoYaani nilikuwa nikisikia mtu anasema 'hapa sina hata mia kabisa' , niliona kama utani hivi.
Lakini kumbe hii kitu ipo kabisa wakuu!
Be careful.