Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mazingira yapi ya kutakiwa kusimama unaongelea hapa?Naomba mnifahamishe nikiwa kwenye gear namba 5 au 4 alafu natakiwa nisimame umbali ambao sitaweza kupangua gear hadi kufika namba moja je nitafanyaje?
Msaada wenu tafadhali
Gari yako ikitoka gear namba 5 ma mwendo usiokuwa chini ya 50kph ukaruka na kuingia 1 nayo ikakubali kuingia, hiyo gari ina matatizo yake....Huna haja ya kuweka free, ukishasimama toa 5 weka 1, japokuwa wanashauri utoke 5 uende 3 kisha 1.
Kupangua gia ni vizuri kwa sababu inasaidia kupunguza mzunguko wa Engine yaani Revolution.
Unapokuwa namba 5 engine huwa ipo kwenye mzunguko mkubwa, sasa ukitoka tano na kuruka kwenda 1 ni kama ule mzunguko unakuwa umeisimamisha ghafla, ndio maana nikakwambia piston inaweza kutokea mbavuni.
Sawa.kazi za brek ni kusimamisha gari no matter what, labda kama gari limepaaa!
Maana yangu je hakuna madhara yeyote ya kutoka gia kubwa na kurudi moja kwa moja kwenye gia namba moja
Maana yangu je hakuna madhara yeyote ya kutoka gia kubwa na kurudi moja kwa moja kwenye gia namba moja
Ni mazingira yapi ya kutakiwa kusimama unaongelea hapa?
Upo vizuri maelekezo yamenyookaMadhara yapo, piston inaweza kuchomokea mbavuni kama utaruka kutoka namba 5 hadi namba 1.
Kama mdau wa mwanzo alivyokwambia, kama kuna Emergency mbele, kanyaga Clutch kisha brake, hapo gari itasimama bila kuzimika vile vile Kama utakanyaga brake tupu bila clutch gari pia itasimama lakini engine itazimika hakutakuwa na madhara yoyote utapiga stata na kuendelea tena, nji hii ni kwa magari madogo.
Umeuliza kuhusu tuta. Inategeme na nguvu ya engine ya gari yako. Gari yangu mimi mfano niko namba 5 na nakaribia tuta, huwa natoka 5>4>3 napanda tuta na namba 3, kisha narudi 4>5 na kuendelea. Gari zingine zinapanda na namba 2 kama engine inaanza kuchoka.
Magari makubwa system yake ya kusimama kwenye emergence ni tofauti kidogo.
Yeah,ukitaka kuondoka ndo unaanza na moja au mbili tena
Naelekea kupata muafaka
Kilichokuwa kinanitatiza ni kwamba niko kwenye namba 5 then nikakanyaga clutch na brake nikasimama alafu nikaweka free nikarudi namba 1 je kuna madhara yeyote?
Na je nikitaka kupaki gari nikiwa kwenye gear 3 4 au 5 ni lazima nianze kupangua gear nakurudi namba 1?
Kiongozi umechemka sanaa, mleta uzi hajauliza swali la kutaka majibu hayaUnaanza kwa kukanyaga brake kidogo ili upunguze mwendo kwanza kama ulikuwa na mwendo kazi wa zaidi ya 50kph, then ikishapungua unakanyaga clutch. Gari haliwezi kuzima ukiwahi kukanyaga clutch.
Unashauriwa kupunguza mwendo kwanza gari likiwa kwenye mwendo, hata kama ni gia ndogo kama 4, 5 au 6. Maana ukikanyaga clutch unaondoa kitu wanaita engine braking. So mzigo wote unabaki kwenye brakes pekee. Kama ni gari kubwa kusimama inaweza ikawa ishu.
YaniUnafahamu kuendesha gari kweli?
Kama upo mamba tano, shuka weka mamba 4, 3, 2, then 1. Gari itakuwa inapunguza mwendo.
Huwezi kutoka 5 ukarukia 3 au 3 ukaenda 1.
Pia huwezi toka moja ukaenda 3.
Halafu udereva raha yake ufundishwe na anayejua na uwepo ndani ya gari na ufanye anavyokuelekeza.
Gari ni rahisi sana kuliko pikipiki na baiskeli
Unajua kuendesha gari?
Maswali gani haya..duh
Soma michango ya wataalamu na kulikeTunao float gears tunacomment wapi?
Hiyo sio sababu ya kufunga brakes ghafla kwani gari lina gia ya kurudi nyuma, pia kwenye barabara kuna u-turn, na njia panda ambapo waweza kugeuza gari. Labda kama kuna hatari ya kufumaniwa!Labda mtu kakushtukiza nishushe hapa na ulikuwa kwenye namba tano
Nahisi Hujaelewa nilichosema.Soma michango ya wataalamu na kulike
Acha tusuburi maoni ya mtoa mada.Kiongozi umechemka sanaa, mleta uzi hajauliza swali la kutaka majibu haya
Fanya vitendo hivi: (unaweza jikaririsha kwa kusema "break , clutch + break" )Naomba mnifahamishe nikiwa kwenye gear namba 5 au 4 alafu natakiwa nisimame umbali ambao sitaweza kupangua gear hadi kufika namba moja je nitafanyaje?
Msaada wenu tafadhali
Utaua gari usijaribu kifanya hvo niliwahi shihudia mtu akiua gari kwa mtindo huoMaana yangu je hakuna madhara yeyote ya kutoka gia kubwa na kurudi moja kwa moja kwenye gia namba moja
Ni kweli kabisa, ila umeniacha hoi hapo kwenye za cement! Kwahiyo wabeba cement wajue wanaendesha mikwecheGari kubwa ukikanyaga brake na clutch haisimami hapo hapo. Labda iwe tupu. Wanashauri ukanyage brake ikiwa kwenye gia ili ile gia ikusaidie kama brake pia.
Kifupi gari kubwa ni ya kwenda mwendo mdogo mdogo tu hususan mijini. Hainaga brake ya papo kwa papo labda iwe mpya, lakink hizi za kubeba cement ni shida.