sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,026
Nikiwa kama muhasibu excel 2007 nimeizoea na wala sijaona ikinikwamisha kwa lolote, Ina size ndogo na haijazi pc na inanifaa, Kuna wenzangu hapa ofisini mbwembwe ibao na excelo hizi za mwaka 2018 ila wananisumbua sana niwafanyie vitu fulani fulani kama formulas, n.k.
Nilichoongezea kwenye excel 2007 ni plugin ya kutools tu mchezo umeisha.
Labda pengine kuna vitu napitwa navyo naombeni tujuzane hapa.