Nikiwa kama kijana ninasikitika na kuumia kwa kutokuwa na kipato cha kutosha kuendesha maisha. Nahisi kudharaulika na kila mtu

Kudharauliwa ni vita ndogo kwenye maisha ukikubali wanao kudharauliwa wakushinde hautaweza vita kubwa za maisha.
Dharau ndo zinaleta hasira ya mafanikio usipo dharauliwa huwez kuwa na hasira na maisha

Hama mtaa kafanyie Kaz sehem usipo julikna ukikaa mtaani kwenu kutoboa ni ngumu
 
Jipe moyo na uskate tamaa utakuja kufanikiwa.
Wanao kudharau leo, kesho watakusalimia kwa heshima.
 
Ulichokosea ni kurudi mkoa ulio zaliwa au ulipokulia ni vema ukahama mkoa uende mkoa mwingine tafuta pesa kidogo ufanye survey then kajipange uishi uko kwanza itakupa ujasiri wa kupambana na maisha maana hakuna anayekujuana atakama yupo ni mmojammoja sana ile hofu na aibu itakutoka machoni pako embu jitaidi kopa ata ndugu zako ukaanze maisha mbele ya safari omba kazi pale zikitokea usijipe stress sana Kwa elimu uliyokuwa nayo Ila angalia unataka nn maishani bidaboda kama ukitulia inaweza kukupa pesa ya kuishi na kukukutanisha na michongo Mingi sana.
Zingatio usiamie mkoa wa jirani nenda mbali na mkoa wako vuka ata mikoa mi3 mbele au nyuma
 
Mimi ni graduate katika moja ya chuo maarufu hapa Tanzania mwaka huu, Nina miaka 24, nimesomea bachelor of Accounting and Finance

Kutokana na changamoto kadhaa ya ugumu wa ajira na maisha kiujumla nimeamua niwe dereva bodaboda, nilinunua used kutoka kwa hela niliyoipata kwa kusave nikiwa chuo (boom) niliamua kuisafirisha Hadi nyumbani Kanda ya Kati ili niweze kusukuma maisha, ninakaa kwa wazazi baba yangu mzazi na mama yangu wa kambo, kwani mama mzazi alishafariki.

Leo nimeonana na rafiki zangu tuliosoma pamoja, nmekua nikiogopa Hata kufanya kazi hii kwani wengi wanafahamu Mimi nilikua Nina uwezo mkubwa Sana darasani wengine wamekua wakinikejeli kwa mafumbo na misemo ya hovyo mfano "kweli kusoma sio kupata kazi" kila nikikutana na wazee barabarani wananiuliza "umepangiwa wapi," "siku hizi unakazi gani" yaani wanaamimini kwa vyovyote vile nitakua nimepata kazi tu, dah

Kazi hii ya bodaboda inaanza kuwa ngumu Sana kwangu, mfano Leo Kuna wadada wamenikuta kijiweni nimepaki , wanabaki kushangaa tu, "yule si Fulani" Yani unaamua kuzuga na kuondoka unaekt Kuna sehem unawahi.

Juzi Kuna abiria kaja ana dharau kweli, we "boda nimesema huku" Hata anavyonielekeza kwake anaelekeza kwa dharau, ukimuuliza wapi anakaa kimya mdada ana nyodo hatari

Kingine kinachoniumiza kichwa ni Hali ya hapa nyumbani, maisha yamekua ni magumu Sana, sometimes najitegemea kwa chakula kwa kula mgahawani, naogopa Hata kumwambia yule mama Kama Kuna msosi alipika, naweza kaa na njaa tu kisa kuogopa kuuliza, Mana sipendi Sana.

Nilinunua kitanda na godoro nilipokua chuo na kuvisafirisha Hadi home ili nije nipange lakini Bei ya pango ni kubwa mno sh 40 kwa mwezi nimeshindwa kulipa kwa miezi 3 120k Kwan hela nayopata inaishia kwenye chakula tu.

Rafiki zangu tuliosoma nao wakafeli Wana maisha mazuri wengi wameoa na wamejenga,m wapo mbali kimaendeleo sana
Nafikiria kivipi nitaweza pata hela nipambane na haya maisha ya mtaani

Kwa yeyote mwenye connection ya kazi yoyote halali mkoa wowote naomba anisaidie, nitaifanya kwa uaminifu na upendo kwani huku napokaa jamii inashindwa kunielewa.
Mkuu kwanza nikupongeze kwa kusave Pesa za boom na kununua Boda.

Pili unatakiwa kutambua kuwa unasoma ili kuondoa ujinga. Husomi ili uajiriwe. Ajira huwa inakufata wewe ukishajua thamani ya elimu yako.

Mkuu kama umefanikiwa kununua bodaboda utashindwaje kutumia hiyo bado kukuingizia kipato

Kama umeshindwa kuthamini na kuzarau kazi ambayo ikilitumia vizuri unapata Pesa. Je kazi ya mtu utaipenda.

Thamini kwanza kile ulichonacho hayo makubwa yatakuja tu. Pia kama unaona hapo nyumbani kuna kikwazo hamia Mkoa mwingine.

La mwisho. Unapofanya shughuli nyumbani inakuwa ngumu kuchanganyikana na watu. Na kupata kazi inakuwa ngumu pia.
Ushauri wangu. Hama hapo nenda sehemu nyingine au Mkoa mwingine kapige kazi mkuu.
 
Mimi ni graduate katika moja ya chuo maarufu hapa Tanzania mwaka huu, Nina miaka 24, nimesomea bachelor of Accounting and Finance

Kutokana na changamoto kadhaa ya ugumu wa ajira na maisha kiujumla nimeamua niwe dereva bodaboda, nilinunua used kutoka kwa hela niliyoipata kwa kusave nikiwa chuo (boom) niliamua kuisafirisha Hadi nyumbani Kanda ya Kati ili niweze kusukuma maisha, ninakaa kwa wazazi baba yangu mzazi na mama yangu wa kambo, kwani mama mzazi alishafariki.

Leo nimeonana na rafiki zangu tuliosoma pamoja, nmekua nikiogopa Hata kufanya kazi hii kwani wengi wanafahamu Mimi nilikua Nina uwezo mkubwa Sana darasani wengine wamekua wakinikejeli kwa mafumbo na misemo ya hovyo mfano "kweli kusoma sio kupata kazi" kila nikikutana na wazee barabarani wananiuliza "umepangiwa wapi," "siku hizi unakazi gani" yaani wanaamimini kwa vyovyote vile nitakua nimepata kazi tu, dah

Kazi hii ya bodaboda inaanza kuwa ngumu Sana kwangu, mfano Leo Kuna wadada wamenikuta kijiweni nimepaki , wanabaki kushangaa tu, "yule si Fulani" Yani unaamua kuzuga na kuondoka unaekt Kuna sehem unawahi.

Juzi Kuna abiria kaja ana dharau kweli, we "boda nimesema huku" Hata anavyonielekeza kwake anaelekeza kwa dharau, ukimuuliza wapi anakaa kimya mdada ana nyodo hatari

Kingine kinachoniumiza kichwa ni Hali ya hapa nyumbani, maisha yamekua ni magumu Sana, sometimes najitegemea kwa chakula kwa kula mgahawani, naogopa Hata kumwambia yule mama Kama Kuna msosi alipika, naweza kaa na njaa tu kisa kuogopa kuuliza, Mana sipendi Sana.

Nilinunua kitanda na godoro nilipokua chuo na kuvisafirisha Hadi home ili nije nipange lakini Bei ya pango ni kubwa mno sh 40 kwa mwezi nimeshindwa kulipa kwa miezi 3 120k Kwan hela nayopata inaishia kwenye chakula tu.

Rafiki zangu tuliosoma nao wakafeli Wana maisha mazuri wengi wameoa na wamejenga,m wapo mbali kimaendeleo sana
Nafikiria kivipi nitaweza pata hela nipambane na haya maisha ya mtaani

Kwa yeyote mwenye connection ya kazi yoyote halali mkoa wowote naomba anisaidie, nitaifanya kwa uaminifu na upendo kwani huku napokaa jamii inashindwa kunielewa.
Nenda shule yoyote ya private hasa za Dar kama wewe ni kipanga kweli na una first class degree watakuchuwa. Ili mradi uwe unaweza kuwapa wanafunzi ujuzi ulio nao kichwani kwa sababu unaweza kuta wewe ni domo zege hata kuongea huwezi. Wanafunzi wakikuelewa unaweza kuwa unafundisha hata shule tatu kwa mwezi ukichukuwa hata laki 5 tuu kila shule ni 1.5m net na hicho ni kiwango cha chini kabisa. Kama huna pa kufikia Dar nitafute nikupe hifadhi ya mwezi 1. Baada ya hapo utakuwa unanilipa 150,000.kwa mwezi chumba chenye kitanda na godoro na meza ya kusomea na kiti. Umeme na maji utajilipia. Wewe umemaliza chuo ukarudi kijijini kwani ulipokuwa chuo ulishindwa nini kutafuta marafiki wanaokaa mjini ukaenda kujibanza kwao utafute chanel huko mjini. Shida nyingine mnazipanda wenyewe na kuziwekea mbolea zistawi halafu mnakuja hapa jukwaani kulalamika.
 
Law degree,graduated same year as you, mama wa kambo as you, unemployed, nmejitolea sana kwny firms nmeambulia chakula tu, Baba yangu mzazi sasa na sio mama wa kambo, Baba mzazi tu yeye ndio kaanza kunidharau na kuonyesha nje nje, sio mimi tu bali hadi hako ka degree kangu ka sheria, nmemaliza degree ya sheria miaka mi4 kwa mkopo so probably unaweza ona probability ya mimi kwenda law school kulipa 1.7 M kwa mkupuo mmoja sina tena, na Biashara yangu ya kiosk cha vinywaji nliofungua kwa kudunduiza Boom inaelekea kufa this month.. Bro tupambane, nafkri tunapitia magumu kwa sabab maalumu.. tutashinda
 
Law degree,graduated same year as you, mama wa kambo as you, unemployed, nmejitolea sana kwny firms nmeambulia chakula tu, Baba yangu mzazi sasa na sio mama wa kambo, Baba mzazi tu yeye ndio kaanza kunidharau na kuonyesha nje nje, sio mimi tu bali hadi hako ka degree kangu ka sheria, nmemaliza degree ya sheria miaka mi4 kwa mkopo so probably unaweza ona probability ya mimi kwenda law school kulipa 1.7 M kwa mkupuo mmoja sina tena, na Biashara yangu ya kiosk cha vinywaji nliofungua kwa kudunduiza Boom inaelekea kufa this month.. Bro tupambane, nafkri tunapitia magumu kwa sabab maalumu.. tutashinda
Never give up....
 
Mimi ni graduate katika moja ya chuo maarufu hapa Tanzania mwaka huu, Nina miaka 24, nimesomea bachelor of Accounting and Finance

Kutokana na changamoto kadhaa ya ugumu wa ajira na maisha kiujumla nimeamua niwe dereva bodaboda, nilinunua used kutoka kwa hela niliyoipata kwa kusave nikiwa chuo (boom) niliamua kuisafirisha Hadi nyumbani Kanda ya Kati ili niweze kusukuma maisha, ninakaa kwa wazazi baba yangu mzazi na mama yangu wa kambo, kwani mama mzazi alishafariki.

Leo nimeonana na rafiki zangu tuliosoma pamoja, nmekua nikiogopa Hata kufanya kazi hii kwani wengi wanafahamu Mimi nilikua Nina uwezo mkubwa Sana darasani wengine wamekua wakinikejeli kwa mafumbo na misemo ya hovyo mfano "kweli kusoma sio kupata kazi" kila nikikutana na wazee barabarani wananiuliza "umepangiwa wapi," "siku hizi unakazi gani" yaani wanaamimini kwa vyovyote vile nitakua nimepata kazi tu, dah

Kazi hii ya bodaboda inaanza kuwa ngumu Sana kwangu, mfano Leo Kuna wadada wamenikuta kijiweni nimepaki , wanabaki kushangaa tu, "yule si Fulani" Yani unaamua kuzuga na kuondoka unaekt Kuna sehem unawahi.

Juzi Kuna abiria kaja ana dharau kweli, we "boda nimesema huku" Hata anavyonielekeza kwake anaelekeza kwa dharau, ukimuuliza wapi anakaa kimya mdada ana nyodo hatari

Kingine kinachoniumiza kichwa ni Hali ya hapa nyumbani, maisha yamekua ni magumu Sana, sometimes najitegemea kwa chakula kwa kula mgahawani, naogopa Hata kumwambia yule mama Kama Kuna msosi alipika, naweza kaa na njaa tu kisa kuogopa kuuliza, Mana sipendi Sana.

Nilinunua kitanda na godoro nilipokua chuo na kuvisafirisha Hadi home ili nije nipange lakini Bei ya pango ni kubwa mno sh 40 kwa mwezi nimeshindwa kulipa kwa miezi 3 120k Kwan hela nayopata inaishia kwenye chakula tu.

Rafiki zangu tuliosoma nao wakafeli Wana maisha mazuri wengi wameoa na wamejenga,m wapo mbali kimaendeleo sana
Nafikiria kivipi nitaweza pata hela nipambane na haya maisha ya mtaani

Kwa yeyote mwenye connection ya kazi yoyote halali mkoa wowote naomba anisaidie, nitaifanya kwa uaminifu na upendo kwani huku napokaa jamii inashindwa kunielewa.
Bado una umri mdogo acha kukata tamaa kijana
 
47 Reactions
Reply
Back
Top Bottom