Nikiwa kama kijana ninasikitika na kuumia kwa kutokuwa na kipato cha kutosha kuendesha maisha. Nahisi kudharaulika na kila mtu

Law degree,graduated same year as you, mama wa kambo as you, unemployed, nmejitolea sana kwny firms nmeambulia chakula tu, Baba yangu mzazi sasa na sio mama wa kambo, Baba mzazi tu yeye ndio kaanza kunidharau na kuonyesha nje nje, sio mimi tu bali hadi hako ka degree kangu ka sheria, nmemaliza degree ya sheria miaka mi4 kwa mkopo so probably unaweza ona probability ya mimi kwenda law school kulipa 1.7 M kwa mkupuo mmoja sina tena, na Biashara yangu ya kiosk cha vinywaji nliofungua kwa kudunduiza Boom inaelekea kufa this month.. Bro tupambane, nafkri tunapitia magumu kwa sabab maalumu.. tutashinda
Bro naomba nikutafute asee
 
Back
Top Bottom