BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 4,769
- 8,427
Habari wakuu mbali mbali?
Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Nimekuwa natumia sigara kama matibabu ya mafua endapo nikiugua na huwa napona siku hiyo hiyo ,lakini ifahamike mimi sio mtumiaji wa Sigara.
Je kuna siri gani hapo wakuu mbali mbali.
NB:Sihamasishi uvutaji wa sigara . Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako.
Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Nimekuwa natumia sigara kama matibabu ya mafua endapo nikiugua na huwa napona siku hiyo hiyo ,lakini ifahamike mimi sio mtumiaji wa Sigara.
Je kuna siri gani hapo wakuu mbali mbali.
NB:Sihamasishi uvutaji wa sigara . Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako.