Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 8,264
- 19,094
Hapana, kufanya tendo la ndoa sio lazima lengo liwe kupata mtoto pekee. Malengo/sababu/kanuni ya tendo la ndoa ni:Kwahy tuseme mwanaume kulala na mkewe ni hadi wawe na hitaji la kupata mtoto? Mana wakilala kikawaida hiv ni onanistic act
01: Kuendeleza uumbaji
02: Kuleta umoja (muungano) baina ya wanandoa
03: Usafi wa roho na mwili; kwa maana tendo hili liendane na mpango wa Mungu.
04: Lifuate sheria ya maumbile ya asili (natural law).
Tendo hili litumie viungo alivyoviumba Mwenyezi Mungu kwa ajili ya tendo hili. Lisifanyike kinyume na maumbile, n.k.
Onanism ni pale tu coitus interruptus inapotokea basi.
Soma kitendo alichokifanya Onan kwenye Kitabu cha Mwanzo 38:9