bakarikazinja
Senior Member
- Nov 9, 2009
- 177
- 8
1.mimi na matatizo ya presure wakati mwingine inakuwa juu wakati mwingine chini na tumia vidonge vya la six ambavyo kwa siku masharti yake lazima ni tumie ndizi moja je siwezi kula tunda jingine kusaidia
dawa hizo au kupunguza madhara vilevile ni madhara gani nitakayopata nisipo kula hilo tunda
2.tatizo lingine ni ganzi mikononi na miguuni
dawa hizo au kupunguza madhara vilevile ni madhara gani nitakayopata nisipo kula hilo tunda
2.tatizo lingine ni ganzi mikononi na miguuni