Sina ujuzi sana na hili, ila chukulia mifano hai ya wale wakamatwao let say south africa, hukamatwa kule wakawekwa lupango na baadae husafirishwa na wafikapo hapa hupelekwa mahakamani na kuhukumiwa kwa utoro.Hapo ukikamatwa unahukumiwa mara mbili?
Kote ni kosa ila Huko unakoenda ndio una balaaHabari wandugu. Hivi eti nikitoka hapa na kwenda labda Zambia. Sina cha passport wala cha Visa, nakuwa nimetenda kosa kwa nchi gani, Tanzania au Zambia?
Zambia unaweza kwenda kwa passport ya karatasi kwa nini uitafute jela kizembe hivyo Mkuu nenda uhamiaji wakupe mchelemchele huo Zambia ni wakali kuhusu vibali kuliko maelezo...Habari wandugu. Hivi eti nikitoka hapa na kwenda labda Zambia. Sina cha passport wala cha Visa, nakuwa nimetenda kosa kwa nchi gani, Tanzania au Zambia?
Hiyo passport si ndiyo nasikia ina bonge la mlolongo kuipata?Zambia unaweza kwenda kwa passport ya karatasi kwa nini uitafute jela kizembe hivyo Mkuu nenda uhamiaji wakupe mchelemchele huo Zambia ni wakali kuhusu vibali kuliko maelezo...
Kama unaenda Nakonde hakuna kosa isizidi kilomita kumiHabari wandugu. Hivi eti nikitoka hapa na kwenda labda Zambia. Sina cha passport wala cha Visa, nakuwa nimetenda kosa kwa nchi gani, Tanzania au Zambia?
Yaani passport isiwe na mlolongo tena lazima vigezo na masharti vizingatiwe kwanza si hata msomali atakua nayo...ila unapata tuuHiyo passport si ndiyo nasikia ina bonge la mlolongo kuipata?
Utapigwa tena ban ya muda mrefuHabari wandugu. Hivi eti nikitoka hapa na kwenda labda Zambia. Sina cha passport wala cha Visa, nakuwa nimetenda kosa kwa nchi gani, Tanzania au Zambia?
Kama umejianda kwa kujilipua sidhani unashida kwa upande unaotoka au unakikwenda.Habari wandugu. Hivi eti nikitoka hapa na kwenda labda Zambia. Sina cha passport wala cha Visa, nakuwa nimetenda kosa kwa nchi gani, Tanzania au Zambia?
Wengi wanaorudishwa huwakujipanga kwani utaishi ktk Nchi za watu ueleweki mpango wakoSina ujuzi sana na hili, ila chukulia mifano hai ya wale wakamatwao let say south africa, hukamatwa kule wakawekwa lupango na baadae husafirishwa na wafikapo hapa hupelekwa mahakamani na kuhukumiwa kwa utoro.
Kinachowakamatisha hawa Waethipia ni kwamba wao waenda South wakati Documents zao hazipo kamiliKwa uelewa wangu na uzoefu, nchi uliyoingia kinyemela inatakiwa ikufanyie deportation ili ukashtakiwe kwenye home country. Nchi yetu haijazingatia hili ndio maana mahabusu wa kiethiopia wamejazana Segerea bila kurudishwa kwao ilhali nchi kama S.A huwa zina wa deport wabongo na huwa wanafikia Kisutu. Kulingana na utaratibu wa nchi yetu, ni wazi kabisa kuwa justice system haiwatendei haki mahabusu wa kihabeshi.