Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,670
Sijui ni mimi tu pekee au kuna na wengine?, Naomba nipate Uzoefu wenu. Mimi huwa nikitoka kufanya mapenzi huwa nakula kama mchwa. Nakula mara mbili ya kile chakula nilichokuwa nakula kabla na njaa huwa inaniuma mara kwa mara.
Sasa sijui tatizo ni nini wakuu.
Sasa sijui tatizo ni nini wakuu.