Mdanganywa
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 620
- 342
Sina uelewa sana kuhusu mambo ya wosia. Ila niliona Rais Aboud Jumbe ilitarifiwa kwamba aliandika wosia kuelekeza namna gani angependa kuzikwa.
KWenye ukoo wetu kumekuwa na ubishi wa kugmbania msiba na hata mazishi. Mimi niataka nikomeshe huu ubishi kwa kuandika wosia unaoelekeza nikifa nizikwe wapi na msiba ufanyikie wapi na vipi.
Siyo kwamba ninakaribia kufa bali ni kutokana na ukweli kwamba siijui siku yangu ya kufa kama ni kesho, mwaka kesho au decade ijayo.
Sitaki ndugu wachukue nafasi ya kutokuwepo wosia ili kugombania kupata umaarufu wa msiba wangu wakati wengine tulishakosana miaka 20 iliyopita halafu eti nikifa waje warundikane na kugombania mazishi yawe wanapopata wao.
Kuna mahala na namna ambavyo ningependa msiba wangu na mazishi yangu viwe ninavyotaka mimi, tena kimaandishi.
Je, hilo linawezekana, na kama linawezekana nichukue taratibu zipi?
Je, na nikiishafanikiwa kuurasimisha huo wosia kisheria, je ninapaswa kuusambaza kwenye ukoo wangu kumaliza ubishi na kiburi cha wanaukoo?
KWenye ukoo wetu kumekuwa na ubishi wa kugmbania msiba na hata mazishi. Mimi niataka nikomeshe huu ubishi kwa kuandika wosia unaoelekeza nikifa nizikwe wapi na msiba ufanyikie wapi na vipi.
Siyo kwamba ninakaribia kufa bali ni kutokana na ukweli kwamba siijui siku yangu ya kufa kama ni kesho, mwaka kesho au decade ijayo.
Sitaki ndugu wachukue nafasi ya kutokuwepo wosia ili kugombania kupata umaarufu wa msiba wangu wakati wengine tulishakosana miaka 20 iliyopita halafu eti nikifa waje warundikane na kugombania mazishi yawe wanapopata wao.
Kuna mahala na namna ambavyo ningependa msiba wangu na mazishi yangu viwe ninavyotaka mimi, tena kimaandishi.
Je, hilo linawezekana, na kama linawezekana nichukue taratibu zipi?
Je, na nikiishafanikiwa kuurasimisha huo wosia kisheria, je ninapaswa kuusambaza kwenye ukoo wangu kumaliza ubishi na kiburi cha wanaukoo?