Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,220
- 370
Wana JF,
Kwanza natanguliza samahani kwa wale ntakao kuwa nimewakwaza ila inanibidi nisema hili kwani linanigusa sana,
Moja Kabla ya Uchaguzi kulizuka sana minong'ono kuwa kuna UDINi basi hapo viongozi wa madhehebu mengi wakapiga vita kuuhusu ilo swala la UDINI na Kuhubili AMANI na wakasahau kuhubiri HAKI kwa hali na mali sasa baaada ya Uchaguzi kuisha basi hakuna tena wa kumshauri Rais Aliye Apishwa JK Mrisho kuwa sasa anatakiwa kuchagua baraza lake la Mawaziri kwa kuzingatia uadilifu wa viongozi atakao wateuwa kuwa mawaziri wasio na kashfa au tuhuma zozote eg UFISADI.
Pili viongozi hawa wa dini hawajamwambia Rais asimamie HAKI na usawa na ita leta AMANI.
Matokeo yake baada ya Rais kuapishwa basi Viongozi wote wa DINI kimya sijasikia hata mmoja akitoa tamko lolote kumweleza Rais.
Je huu ulikuwa ni unafki tuu wa kujikosha au ulikuwa ni uoga wa kutokea machafuko???? Sasa hapo nini wanacho tetea kwa wananchi katika serikali yao??
Kwanza natanguliza samahani kwa wale ntakao kuwa nimewakwaza ila inanibidi nisema hili kwani linanigusa sana,
Moja Kabla ya Uchaguzi kulizuka sana minong'ono kuwa kuna UDINi basi hapo viongozi wa madhehebu mengi wakapiga vita kuuhusu ilo swala la UDINI na Kuhubili AMANI na wakasahau kuhubiri HAKI kwa hali na mali sasa baaada ya Uchaguzi kuisha basi hakuna tena wa kumshauri Rais Aliye Apishwa JK Mrisho kuwa sasa anatakiwa kuchagua baraza lake la Mawaziri kwa kuzingatia uadilifu wa viongozi atakao wateuwa kuwa mawaziri wasio na kashfa au tuhuma zozote eg UFISADI.
Pili viongozi hawa wa dini hawajamwambia Rais asimamie HAKI na usawa na ita leta AMANI.
Matokeo yake baada ya Rais kuapishwa basi Viongozi wote wa DINI kimya sijasikia hata mmoja akitoa tamko lolote kumweleza Rais.
Je huu ulikuwa ni unafki tuu wa kujikosha au ulikuwa ni uoga wa kutokea machafuko???? Sasa hapo nini wanacho tetea kwa wananchi katika serikali yao??