Nikisema sera ya kubana matumizi ni sera hewa, nitakuwa nakosea?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,011
144,371
Ni takribani mwaka mmoja sasa tunaimba sera ya kubana matumuzi sera ambayo kiuhalisia mimi naona haijleta tofauti yoyote ya kimaisha kwa mwananchi wa kawaida kiasi kwamba naitafsiri ni kama sera hewa tu.

Wewe unaetetea sera hii hebu nipe faida tulizozipata kama Taifa tangu sera hii ianze mwaka jana mwishoni.

Tutajieni mambo tulioweza kuyaboresha au kuya-achieve kupitia sera hii ya kubana matumizi ambayo hatukuweza kuyapata katika utawala uliopita.

Iko wapi tofauti inayoonekana ya kubana matumizi na kuongeza mapato katika awamu hii ukilinganisha na awamu iliyopita?

Labda niulize,sera hii inahijati muda gani mpaka iweze kuji-reflect machoni pa watu?

Ni kweli tunabana matumizi au tumebadili tu style ya matumizi?

Sera hii ya kubana matumizi ni kweli ipo/inaishi?

Huu wimbo kwakweli mimi umenichosa kabisa!
 
nimekua mbio nikijua tumepata madawa na ajira zimefunguliwa pamoja na mshahara kupanda.

swissme
 
Utasemaje unabana matumizi wakati unanunua kipangaboi na mda huohuo hamna dawa/kinga ya tetenasi hospitalini...na mda huo huo ajira watu hawana!!??
Hata kuajiri sekta nyeti tu na kulipa malimbikizo ya watu imekuwa shida alafu tunaambiwa tumebana matumizi na kuongeza mapato?Hata madawa?!
 
Kwani wewe mtoa mada ulitakaje?
Unataka pesa zitumike ktk matumizi yasiyo ya lazima?
Kwa mfano ukawa na ndugu asiyejua kupangilia matumizi yake utamfikilia vipi?
Mfumo wa serikali kutapanya mali ktk matumizi yasiyo ya lazima ulisababisha ukanunua magari na nyumba ngapi? Halafu hapohapo Tandale ulipopahama baada ya kupiga madili uliwaacha na hali gani? Naamini wewe ni muumini wa dini,je dini yako inaruhusu kutumia mali bila uangalifu tena kwa kumnyang'anya asiyenacho na kumjazia tajiri? Chama chako hakina ofisi,je ni kwa ajili ya sera ya kubana matumizi au pesa hakuna?
Nijibu kwanza hayo maswali tuendelee
 
Naomba kuuliza.,kuna malipo yoyote kwa wanaoanzisha threads nyingi kwa siku?.,au zawadi inayotolewa kila mwisho wa mwaka kwa walioanzisha threads nyingi?.........................................??
 
Naomba kuuliza.,kuna malipo yoyote kwa wanaoanzisha threads nyingi kwa siku?.,au zawadi inayotolewa kila mwisho wa mwaka kwa walioanzisha threads nyingi?.........................................??
Naomba kuuliza ni sahihi kupokea ujira kwa kutetea ujinga na kusaliti wananchi wenzako mitandaoni ili tu kulinda tumbo lako?
 
Ni takribani mwaka mmoja sasa tunaimba sera ya kubana matumuzi sera ambayo kiuhalisia mimi naona haijleta tofauti yoyote ya kimaisha kwa mwananchi wa kawaida kiasi kwamba naitafsir ni kama sera hewa tu.

Wewe unaetetea sera hii hebu nipe faida tulizozipata kama Taifa tangu sera hii ianze mwaka jana mwishoni.

Tutajieni mambo tulioweza kuyaboresha au kuya-achieve kupitia sera hii ya kubana matumizi ambayo hatukuweza kuyapata katika utawala uliopita.

Iko wapi tofauti inayoonekana ya kubana matumizi na kuongeza mapato katika awamu hii ukilinganisha na awamu iliyopita?

Labda niulize,sera hii inahijati muda gani mpaka iweze kuji-reflect machoni pa watu?

Ni kweli tunabana matumizi au tumebadili tu style ya matumizi?

Sera hii ya kubana matumizi ni kweli ipo/inaishi?

Huu wimbo mimi kwakweli mimi umenichosa kabisa!
Ni takribani mwaka mmoja sasa tunaimba sera ya kubana matumuzi sera ambayo kiuhalisia mimi naona haijleta tofauti yoyote ya kimaisha kwa mwananchi wa kawaida kiasi kwamba naitafsir ni kama sera hewa tu.

Wewe unaetetea sera hii hebu nipe faida tulizozipata kama Taifa tangu sera hii ianze mwaka jana mwishoni.

Tutajieni mambo tulioweza kuyaboresha au kuya-achieve kupitia sera hii ya kubana matumizi ambayo hatukuweza kuyapata katika utawala uliopita.

Iko wapi tofauti inayoonekana ya kubana matumizi na kuongeza mapato katika awamu hii ukilinganisha na awamu iliyopita?

Labda niulize,sera hii inahijati muda gani mpaka iweze kuji-reflect machoni pa watu?

Ni kweli tunabana matumizi au tumebadili tu style ya matumizi?

Sera hii ya kubana matumizi ni kweli ipo/inaishi?

Huu wimbo mimi kwakweli mimi umenichosa kabisa!
Ubora WA sera hii ni
1. Imepandisha bei ya sukari kuliko miaka yote
2. Maisha ya mwananchi wa chini yamezidi kudidimia
3. Vijana wengi waliohitimu kutokuajiriwa kabisa, hata wale waliojitolea kusoma wamefukuzwa na kuitwa vilaza..... Endeleza!
 
Kwani wewe mtoa mada ulitakaje?
Unataka pesa zitumike ktk matumizi yasiyo ya lazima?
Kwa mfano ukawa na ndugu asiyejua kupangilia matumizi yake utamfikilia vipi?
Mfumo wa serikali kutapanya mali ktk matumizi yasiyo ya lazima ulisababisha ukanunua magari na nyumba ngapi? Halafu hapohapo Tandale ulipopahama baada ya kupiga madili uliwaacha na hali gani? Naamini wewe ni muumini wa dini,je dini yako inaruhusu kutumia mali bila uangalifu tena kwa kumnyang'anya asiyenacho na kumjazia tajiri? Chama chako hakina ofisi,je ni kwa ajili ya sera ya kubana matumizi au pesa hakuna?
Nijibu kwanza hayo maswali tuendelee
Ina maana kununua dawa za hospitalini si matumizi ya lazima???
 
Kwani wewe mtoa mada ulitakaje?
Unataka pesa zitumike ktk matumizi yasiyo ya lazima?
Kwa mfano ukawa na ndugu asiyejua kupangilia matumizi yake utamfikilia vipi?
Mfumo wa serikali kutapanya mali ktk matumizi yasiyo ya lazima ulisababisha ukanunua magari na nyumba ngapi? Halafu hapohapo Tandale ulipopahama baada ya kupiga madili uliwaacha na hali gani? Naamini wewe ni muumini wa dini,je dini yako inaruhusu kutumia mali bila uangalifu tena kwa kumnyang'anya asiyenacho na kumjazia tajiri? Chama chako hakina ofisi,je ni kwa ajili ya sera ya kubana matumizi au pesa hakuna?
Nijibu kwanza hayo maswali tuendelee
Unapobana matumizi tija ni utumie ile pesa kwenye mambo ya msingi,sasa sisi mbona hata hayo ya msingi hakuna lililowezekana? dawa shida,mishahara mipya hamna,ajira hamna,nk
 
hujakosea uko sahihi kabisa yaani!hakuna kubana matumizi wala nn!!

ni roho mbaya tu iliyomjaa mkulu wetu na visasi vyake!!

anahisi anatukomoa kumbe anajikomoa mwenyewe!!

anapenda kick tuu za ajabu ajabu!

Ila mi ndo nafurahi hvyoo!!

Yaani huu ugumu umpate mpk muuza nyanya anayeuza ndoo ya nyanya kwa elfu moja hahaaaaa!!
 
Ni sera hewa Mkuu wala hujakosea kabisa. Ni kivipi unabana matumizi halafu ndani ya miezi 7 tu tangu uingie madarakani unaongeza deni la Taifa kwa trilioni 24 ambayo ni sawa na 55.8% ya deni la Taifa lililokuwa 43 Trillioni? Kumbuka Mkuu bajeti yetu ya Taifa mwaka 2015/2016 ilikuwa ni 22 trilioni na mwaka huu wa fedha 2016/2017 ni trillion 29. Matumizi gani yaliyobanwa katika hali kama hii Mkuu?

Ni takribani mwaka mmoja sasa tunaimba sera ya kubana matumuzi sera ambayo kiuhalisia mimi naona haijleta tofauti yoyote ya kimaisha kwa mwananchi wa kawaida kiasi kwamba naitafsir ni kama sera hewa tu.

Wewe unaetetea sera hii hebu nipe faida tulizozipata kama Taifa tangu sera hii ianze mwaka jana mwishoni.

Tutajieni mambo tulioweza kuyaboresha au kuya-achieve kupitia sera hii ya kubana matumizi ambayo hatukuweza kuyapata katika utawala uliopita.

Iko wapi tofauti inayoonekana ya kubana matumizi na kuongeza mapato katika awamu hii ukilinganisha na awamu iliyopita?

Labda niulize,sera hii inahijati muda gani mpaka iweze kuji-reflect machoni pa watu?

Ni kweli tunabana matumizi au tumebadili tu style ya matumizi?

Sera hii ya kubana matumizi ni kweli ipo/inaishi?

Huu wimbo mimi kwakweli mimi umenichosa kabisa!
 
Kwani wewe mtoa mada ulitakaje?
Unataka pesa zitumike ktk matumizi yasiyo ya lazima?
Kwa mfano ukawa na ndugu asiyejua kupangilia matumizi yake utamfikilia vipi?
Mfumo wa serikali kutapanya mali ktk matumizi yasiyo ya lazima ulisababisha ukanunua magari na nyumba ngapi? Halafu hapohapo Tandale ulipopahama baada ya kupiga madili uliwaacha na hali gani? Naamini wewe ni muumini wa dini,je dini yako inaruhusu kutumia mali bila uangalifu tena kwa kumnyang'anya asiyenacho na kumjazia tajiri? Chama chako hakina ofisi,je ni kwa ajili ya sera ya kubana matumizi au pesa hakuna?
Nijibu kwanza hayo maswali tuendelee
Kubalini ukweli Tanzania hakuna kubana matumizi kuna kubanwa raia!! Nikiasi gani cha pesa kilitumika kuzungusha askari kona hadi kona mnapambana na UKUTA, mlishindwa hata kuelewa UKUTA nifikra, mkawaweka tunaowalipa kwa kodi zetu wakaandamana bila wao kujua kuwa ukuta ni fikra!! Ubanaji wamatumizi uko wapi??
 
Ni takribani mwaka mmoja sasa tunaimba sera ya kubana matumuzi sera ambayo kiuhalisia mimi naona haijleta tofauti yoyote ya kimaisha kwa mwananchi wa kawaida kiasi kwamba naitafsir ni kama sera hewa tu.

Wewe unaetetea sera hii hebu nipe faida tulizozipata kama Taifa tangu sera hii ianze mwaka jana mwishoni.

Tutajieni mambo tulioweza kuyaboresha au kuya-achieve kupitia sera hii ya kubana matumizi ambayo hatukuweza kuyapata katika utawala uliopita.

Iko wapi tofauti inayoonekana ya kubana matumizi na kuongeza mapato katika awamu hii ukilinganisha na awamu iliyopita?

Labda niulize,sera hii inahijati muda gani mpaka iweze kuji-reflect machoni pa watu?

Ni kweli tunabana matumizi au tumebadili tu style ya matumizi?

Sera hii ya kubana matumizi ni kweli ipo/inaishi?

Huu wimbo mimi kwakweli mimi umenichosa kabisa!
Kuna ubanaji Wa gharama Wa kibaili wakiswazi.huu aunaga maana unaweza kuta mtu anaanguka kwa njaa na kiu huku ana hela mfukoni.kisa amebania anunue tv nayeye awe ameendelea .alafu kuna economy hii ndio yenye maana kila kitu kinapangiwa muda na kiasi chake bila kuadhiri upande mwingine sio unijiua au unijipa vidonda vya tumbo kisa tv.kwahiyo utaona economy ni kupanga na kuchagua,ukurupukaji Sijui mwendokasi avina nafasi hapo.au ukiviona vinachukua nafasi basi jua ni ubahili ambao unaweza letea watoto utapia mlo na kwashakooo kisa unataka jenga choo cha kisasa .choo cha shimo kinakufanya uonekane ujaendelea
 
Back
Top Bottom