Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Nyumba Kubwa = NN?
Samahani mkuu NN...Nilitaka kuandika NK,
Hope iko sawa sasa,
Babu DC!!
Nyumba Kubwa = NN?
Du! Niliiona sana nikaipotezea; naona mtambo wako ume ku alert kuwa umetajwa humu.
Kuna wanaume wengi sana ambao nimeshuhudia kuwa wanakuwa karibu na watoto wao na hata kwenye public kuliko wake zao.
Siku hizi wanaumwa wanaocheza na watoto wao games, kufanya nao homeworks na kutembea nao kwenye maeneo ya watoto kucheza ni wengi sana.
Labda tuanze kutengeneza video!!
Babu DC!!
mzee mzima upo?
Heshima yako.
Naona mzee mwenzio mtambuzi kawa kijana, bado natafakari kama anafaa kuingia sokoni.
Ndo hivo tengeneza clip unaweza ukatoka...Lol.
Ila this is more than doing homework together au kutembea kwenye zoo pamoja;
Ukiiangalia vizuri utagundua nachosema.
Nakubaliana na wewe NK,
Ila kwenye post yako ya kwanza hukutueleza ujumbe wako ulikuwa upi...
Ndo maana wengine tukashangaa kwamba mbona kile tunachoweza hata kama ni kucheza mpira wa matambara twacheza??
Naomba uendelee kutupatia basi reflection yako ili na sie tupate shule,....!
Babu DC!!
Babu DC kumsaidia mtoto homework ni kitu cha lazima...lakini siyo enjoyable kwa watoto wengi; including mwanangu. Na akiwezi kusema kinaongeza ukaribu kati ya mtoto na baba...zaidi kinaongeza power distance.
Zile za 'zima katoon hiyo njoo ufanye homework'...mtoto unadhani anapenda hata kama ni for his/her own good?
Emu muangalie huyu mtoto alivyojengewa confidence ya kusimama mbele za watu kibao na kuongea huku akihoji juu.
Sorry NK,
Mbona naona kama huyu jamaa na binti yake wako kikazi zaidi?
Nahisi kama naona kile ambacho niliwahi kusimuliwa kuhusu mzee Williams na binti zake Serena & Venus,
Babu DC!!
nyumba kubwa tuko wengi bana. Cheki hiyo video ya Dark City akiyarudi na mwane siku ya harusi yangu. Baada ya hapo ilibidi nikachukue dancing lessons fasta!
Hata kama yuko kikazi...kumtrain mwanao kwenye kitu chochote ambacho ni funny doing kunaongeza ukaribu kuliko kusema um-train kuwa say doctor...si unaona hata kina Serena wako close na daddy wao.
Mimi hawa nimeona walianza kuimba tu kama baba na mtoto...wakaona they can do more...ndio hivyo tena wanatoka sasa.
Mbona kuna wengi tu wana clips You tube...lakini hazina ile chemistry tunayo iona kwa hawa wawili.
nyumba kubwa tuko wengi bana. Cheki hiyo video ya Dark City akiyarudi na mwane siku ya harusi yangu. Baada ya hapo ilibidi nikachukue dancing lessons fasta!
NK,
Kuna fani nyingine ni burudani na zinavutia sana watoto....Ndo maana kwenye hili imekuwa rahisi baba kumnasa mwanae.
Hivi kama mie ni plumber.....naweza kumvutia mwanangu tukafanye naye kazi hata kama tuna chemistry ya kutoka sayari nyingine??
Babu DC!!
Muwege na extracurricular activities...ambazo zitakuwa fun kwa watoto pia...sio fundi muashi ukitoka hapo Bar...
Cheza basket ball na wanao, imba, cheza nao foot ball etc.
Ikishindikana basi chezeni hata karata.
mimi wanangu huwa tunafanya modelling na kutengeneza nguo za midoli!kuna wakati nacheza nao rede na mdako!my girls are my shostis kwa kweli!Muwege na extracurricular activities...ambazo zitakuwa fun kwa watoto pia...sio fundi muashi ukitoka hapo Bar...
Cheza basket ball na wanao, imba, cheza nao foot ball etc.
Ikishindikana basi chezeni hata karata.
Mbona nimeshakwambia kuwa tunacheza nao au kama hatujui kucheza tunafanya nao matembezi ya kuchangamsha mwili...Au kuendesha baiskeli...Hiyo haitoshi?
Babu DC!!
mimi wanangu huwa tunafanya modelling na kutengeneza nguo za midoli!kuna wakati nacheza nao rede na mdako!my girls are my shostis kwa kweli!
nice thread!
sisi watoto wetu wamejikuta au siju tumejikuta tumegawana yule mkubwa yupo karibu sana na baba yake,yu can imagine hata chupi ikimbana alikuwa anamwambi baba chupi imenibana,mdogo yupo sana kiziwanda na mama pembeni,ila still wen it cums to ishu kama mnataka kwenda sehemu flani na baba au na mama wanakimbilia na baba!Vipi kuhusu baba yao;
Maana najua mara nyingi watoto wa kike wana chemistry zaidi na baba zao; wa kiume na mama zao...
Mfano mi wanangu nawaona kabisa wana pay attention kwangu zaidi kuliko kwa baba yao...kwa kuwa wote ni wa kiume;
Nikiwafokea wananikimbilia...baba yao akiwafokea bado wananikimbilia mimi...am a friend they trust.