nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Sasa na hiki kitochi you tube ntaingiaje?
Mh, nyumba kubwa hii inavutia, lakini wanaotumia simu hawataona kitu....labda ungembatanisha na maelezo kidogo kuhusu hii link...
Lakini nachelea kusema wapo watakaokuja na kusema ni kinyume na mafundisho ya dini zao............
Mie nimeangalia.
Ni baba anapiga gitaa na binti yake wa miaka nadhani mitano anaimba huku akisaidiwa chorus na baba yake, ni wimbo mzuri wa miondoko ya POP kama sikosei.. (Uzee huu bana... hata sijui aina ya miondoko ya kisasa, sie tulizoea salsa na charanga)
nyumba kubwa hebu niache, naogopa kuchomewa nyumba mie........LOLDini gani tena Mtambuzi...
Ni nzuri NN,
Ila mbona ni ya kawaida sana hii??
Au kuna kitu cha ziada ulitaka kutueleza!
Babu DC!!
nyumba kubwa hebu niache, naogopa kuchomewa nyumba mie........LOL
Si ya kawaida ndio maana imekuwa na viewers 22 milioni...si wa baba wote wanaweza kufanya kitu serious na watoto wao wadogo wa umri huo...
Ndio maana nikasema huu ndio mfano wa baba anaeympenda mtoto wake.
Labda mie ndo nina tatizo,
Mbona tunafanya mengi dada yangu?
Babu DC!!
Ni nzuri NN,
Ila mbona ni ya kawaida sana hii??
Au kuna kitu cha ziada ulitaka kutueleza!
Babu DC!!
sema wenzetu wana access ya kuweka hadharani wanayowafanyia watoto wao
huku hakuna access hiyo, ila silent heros wapo tele.
Sema 'nafanya mengi' siyo 'tunafanya mengi'
Kuna watu wakitoka kwenye pombe watoto wakisikia gari basi wanatawanyika kwenda kulala hata kama hawana usingizi....wanamwachia mama msalaba wake...
sema wenzetu wana access ya kuweka hadharani wanayowafanyia watoto wao
huku hakuna access hiyo, ila silent heros wapo tele.