DocJayGroup
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 1,654
- 3,327
👌👌Duh pole Sana kumbe watu wana changamoto katika majumba yao ila wanaume bwana tuna Siri sana
👌👌Duh pole Sana kumbe watu wana changamoto katika majumba yao ila wanaume bwana tuna Siri sana
Sisi tunapenda wanawake warembo haswaa. Na sasa hao ndio wako namna hiyo. Na kama si mrembo, binafsi hata sina hamu ya penzi.. na sitaki kuoa mke ambaye sina hamu na penzi lake.Huaga siamini haya niyaskiayo, yaan mtu ameshnda home tangu kumekucha na haumw lkn hapiki mpka unaporudi!? Inashangaza mnooo, sjawah kuliamini hili swala. Na pesa ya chakula umetoa na bado mtu hapiki............mnawapataga wap hao wake zenu 🤔🤔🤔🤔
Wanaolewa ili wapate mtu mwenye uwezo wa kumsaidia kifedha ila wavivu sana.Wengine wanapenda kuolewa ila kupika kwao nimtihani Sana,
👌👌Sasa msaada wake kwa Mume ni nini mtu aina hiyo?
Hilo si la kudumu maisha yote ya ndoa mwanamke anayejielewa atarekebisha ratiba. Hakuna mwanamke anayependa mwanaume asile chakula anachoandaa.Sasa ww na mtu ambaye hajaoa mna tofauti gani?
Nani kasema marobots. Ni msaidizi wako. Ila siku izi wamekuwa ni wavurugaji badala ya kusaidia. Bora mtu ambaye haujaoa kuliko waliooa.Hivi mnafikiri wanawake wao ni maroboti eee
Sio kweli. Tena siku izi ni house girls ndio wanaofanya kazi zote pamoja na kupika na kulea watotoHilo si la kudumu maisha yote ya ndoa mwanamke anayejielewa atarekebisha ratiba. Hakuna mwanamke anayependa mwanaume asile chakula anachoandaa.
Mbona wanaachana kila kukicha. Mimi siku hizi hata michango ya harusi sitoi tena. Ndoa ni wiki kadhaa, miezi kadhaa, yani hazidumu tenaMuache basi 😂😂
Siku izi ukiweka sheria, wanasema unawaonea. Wanasema haki za wanawake..Zamani wazee wetu waliweka sheria na ndoa zikadumu lakini saivi tunaenda kienyeji ukija hujui baba nani mama nani wote wamevaa mibano na kuvaa hereni heshima itatoka wapi?
Na sio kweli kwamba kwenye ndoa zote wanaoandaa chakula ni dada wa kazi. Wapo wanawake ambao licha ya udhaifu wao kama binadamu hawapendi dada wa kazi aandae chakula cha waume zaoSio kweli. Tena siku izi ni house girls ndio wanaofanya kazi zote pamoja na kupika na kulea watoto
Na ndio maana ndoa hazidumu kabisa. Yani watu waliooa ni ma-stress kila siku. Ni wa kuhurumia kweli kweli.Ndio umuhimu wa makungwi na manyakanga unapokuja. Zamani kulikua na "semina elekezi" za kiasili kabda ya ndoa ili kuwapa wanandoa watarajiwa shule kuhusu maadili, majukumu, haki na wajibu wao katika ndoa
Siku hizi watu wamekua wajuaji sana. Zile taratibu za wazee wetu zinaonekana zimepitwa na wakati! Mume anaweza kurudi kutoka kazini anaingia ndani mkewe utakuta kakaa anaendelea na kazi zingine au anapiga soga tu
Toka mdogo nakua nikiona baba akirudi home bi mkubwa hata kama alikua na shughuli gani lazima ataacha na kumfuata mshua ndani
Huko kuchelewa kupika nako ni kero nyingine kubwa. Na bahati mbaya pamoja na stlye ya maisha (wakati mwingine utakuta labda both ni wafanyakazi wanarudi late wich is understandable) vinavyowachelewesha ni uvivu au tamthilia za kina Kurfi, Artuglu na nini sijui! Tena wanajua kabisa kua unakereka😀😀😀
Wachache sana wako hivyo siku izi. Hiki kizazi cha facebook, insta, tiktok na youtube.. watashinda huko mitandaoni zaidiNa sio kweli kwamba kwenye ndoa zote wanaoandaa chakula ni dada wa kazi. Wapo wanawake ambao licha ya udhaifu wao kama binadamu hawapendi dada wa kazi aandae chakula cha waume zao
Mnyang'anye smartiphoni atastaarabikaUnatoka kazini jioni umechoka, unataman ukifika home ukaoge ukute chakula mezani, lakin ile unafika mtu ndio anaanza kupika chakula, mpaka kuiva masaa mawil mbele dah!
Sasa ulimwoa wa nini?Kila siku chelewa kurudi kula huko mgahawani ataelewa show
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hujakosea. WAKO WENGI SANA SIKU HIZI. NA NDIO MAANA WATU TUMEGOMA KUOA..Hongera. Lakini ukweli ni huu,kuna wanawake ni afdhali uishi na kuku. Maana kuku hujali sana ratiba ya kuingia na kutoka bandani au juu ya mti.
Muda wa mwanaume kutoka kazini, yeye atakuwa saloon kwa rafiki yake wanagonga story. Ndo kwanza anamsaidia rafikiye kuchagua mchele ampikie mumewe wakati kwake kumenuna.
Wanawake wa aina hii wako wengi sana. Nj siri za wanaume ndizo huwafanya waonekane wanawake.
Atapata mtu wa kumnunulia tena kali zaidi. Na cha moto utakionaMnyang'anye smartiphoni atastaarabika
Unasisitiza kauli yako unazani unaingea point mwenyewe kumbe upumbavuKwani mlilazimishwa kuoa? Vuneni mlichopanda na pambaneni na hali zenu. Ndio wanawake wa leo walivyo ivyo. Na ukifulia hata nyumbani ukirudi hautamkuta.
Sisi tunapenda wanawake warembo haswaa. Na sasa hao ndio wako namna hiyo. Na kama si mrembo, binafsi hata sina hamu ya penzi.. na sitaki kuoa mke ambaye sina hamu na penzi lake.
Mbona haya mambo ni ya kuongea tu?bora hivyo anaanza kupika
Wangu ndo kwanza anakuuliza tupike nini MUMEWANGU
Amna swali linaloniudhi kama hilo Tupike nini mumewangu
huwa sijibu natoka zangu nje tu kupunga upepo na anifati tena 7bu anajua kashanivuruga
lakini cha kushangaza baada siku 2 anarudia tena hvyohvyo
Nishasema weee nimechoka