Huyu mahondaw hawajui wanawake au anawasikia tuNishasema sana lakin wap
Huyu mahondaw hawajui wanawake au anawasikia tuNishasema sana lakin wap
Na ulale sebuleni? Suluhu ni kuwatii tuMmmhmmm ... Atakua Sikio la kufa sasa cha kufanya ukitoka kazini pitia huko unyweeeeeeee ukirudi muda umeenda unakuta chakula tayari nayeye kafyumu hatariiiiii !
Na ndo nataka nikuwowe..😂Acha gubu mbona hilo swali halina ubaya kabisa
Maana vyakula ni kubadilisha basi uwe unamuwahi unasema leo nataka kula chakula flan
Acha gubu nyau wee
Nin kimekukuta mkuuUnatoka kazini jioni umechoka, unataman ukifika home ukaoge ukute chakula mezani, lakin ile unafika mtu ndio anaanza kupika chakula, mpaka kuiva masaa mawil mbele dah!
kazini kwako wakufuruge kichwaa,hata bebi akufuruge ubongo BEER TAMUUU ,Nikupitia Bar tu ..........Ila Cha msingi tuwavumilieni hayo Ni madhaifu yapUnatoka kazini jioni umechoka, unataman ukifika home ukaoge ukute chakula mezani, lakin ile unafika mtu ndio anaanza kupika chakula, mpaka kuiva masaa mawil mbele dah!
Kwani mlilazimishwa kuoa? Vuneni mlichopanda na pambaneni na hali zenu. Ndio wanawake wa leo walivyo ivyo. Na ukifulia hata nyumbani ukirudi hautamkuta.Unatoka kazini jioni umechoka, unataman ukifika home ukaoge ukute chakula mezani, lakin ile unafika mtu ndio anaanza kupika chakula, mpaka kuiva masaa mawil mbele dah!
Kwani mlilazimishwa kuoa? Vuneni mlichopanda na pambaneni na hali zenu. Ndio wanawake wa leo walivyo ivyo. Na ukifulia hata nyumbani ukirudi hautamkuta.Changamoto za ndoa.
Kwani mlilazimishwa kuoa? Vuneni mlichopanda na pambaneni na hali zenu. Ndio wanawake wa leo walivyo ivyo. Na ukifulia hata nyumbani ukirudi hautamkuta.bora ww m nkifka ndio naweza amua kusonga ugal la svyo ntakula sa tano
Hakuna mke wa kuoa siku izi. Hasa kwa sisi tunaopenda warembo.. wanajikuta sana hao watu..🤣🤣 hivi mbona mnatutisha ambao hatujaoa! Kumbe hizo ndo kila rangi mnazoona..!! Dah! Maisha haya hatari sana.
Kwani mlilazimishwa kuoa? Vuneni mlichopanda na pambaneni na hali zenu. Ndio wanawake wa leo walivyo ivyo. Na ukifulia hata nyumbani ukirudi hautamkuta.bora hivyo anaanza kupika
Wangu ndo kwanza anakuuliza tupike nini MUMEWANGU
Amna swali linaloniudhi kama hilo Tupike nini mumewangu
huwa sijibu natoka zangu nje tu kupunga upepo na anifati tena 7bu anajua kashanivuruga
lakini cha kushangaza baada siku 2 anarudia tena hvyohvyo
Nishasema weee nimechoka
Kwani amemtaja jina? Na yeye si anonymous? Ni vizuri watu ku-share changamoto kama hizi ili watu wajifunze kwa wengine.Ni mwanaume asiyejielewa pekee anaweza kuanika udhaifu wa mke wake mtandaoni
Tujifunze, siri za ndani hazifai hata kufika sebuleni, tuzimalize ndani kwa ndani
Wanawake ni waelewa sana ukienda nao kwanza kwa kuwatibu kisaikolojia. Nenda nae taratibu, mweleweshe atakuelewa. Yamkini tabia hii alijijengea mwanzo mlipooana/kuanza kuishi pamoja na hukuikemea, akachukulia kama ndo lifestyle unayopendezwa nayo
Jifunze ulikosea wapi, then rekebisha makosa yako/Yenu
Tena hapa kwa sababu tupo mwisho wa mwaka, pangeni pamoja mipango yenu ya mwaka kesho, na hilo liwe moja ya ajenda yenu
Ova
Sasa ww na mtu ambaye hajaoa mna tofauti gani?Anza haka kamfumo kangu. Anza kula utokako. Ukifika oga lala mpaka kitapoanza kuwahishwa
Ndio wanawake wa leo walivyo ivyo. Na ukifulia hata nyumbani ukirudi hautamkuta.Enzi za shule uteseke kama hivyo unarudi zako shule unanjaa unapita jikoni unakuta hakuna dalili ya kuni kupasuliwa na majivu yamepoa kabisa, ukiuliza una ambiwa hapa ni kwako! 😀😀😀
Halafu kwenye ndoa unakutana na same experience!
Wanawake wa siku hizi, atakutetemekea ivyo kama una $$$ nzuri kweli kweli. Ama sivyo, sheria zako anaziona za kizuzu tu. Na ukimletea za kuleta, anakutaftia mume mwenza asiyemwekea sheria kali kama zako.Mkuu mzoea unayaweka wewe,, weka sheria mkuu Kama unatoka kazini target yako nyumbani ufike saa mbili usiku,, inabidi uweke sheria kuwa ikifika saa mbili kamili unataka chakula kiwepo mezani hivyo yaani maana bila sheria hawawatu saingine wanajifanya filamu ni ya muhimu kuliko Mume