Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Duuh, sijui hili ni tatizo wanaJF?
Yaani mi nikiwa kwenye majambo na mke wangu nikimaliza tu, baada ya kama dakika mbili napata usingizi wa kufa mtu.
Naamka baada ya kama lisaa limoja hivi.
Napenda kuuliza, hili ni tatizo au ni jambo la kawaida?
Yaani mi nikiwa kwenye majambo na mke wangu nikimaliza tu, baada ya kama dakika mbili napata usingizi wa kufa mtu.
Naamka baada ya kama lisaa limoja hivi.
Napenda kuuliza, hili ni tatizo au ni jambo la kawaida?