Nikipewa Karatasi ya Kusahihisha Swali la Marais waliovivaa vyema Viatu vya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere haya ndiyo Majibu yangu

Magufuli alistahili hiyo 75 ya Mzee Mkapa. Huyu bwana wa chato Amngemaliza miaka 10 Tanzania tungekuwa mbali sana kimaendeleo.

Kuna mambo mengi Aliyafanya Magufuli kwa miaka 5 Mambo Ambayo hata mwalimu Alishindwa kuyafanya kwa miaka 20 aliyotuongoza.

Hivyo Magufuli anastahili kupigiwa mfano kabisa katika history ya nchi yetu.

FB_IMG_16320594694023029.jpeg
 
Unaweweseka na operation kimbunga?! JK ndiye aliyefurusha wale vibaka wenu M23 na bado alimpa za uso jamaa yako akae na wapinzani wake mezani, jamaa akanuna na kutafuta sympath ya "jenosaidi".

Chuki dhidi ya JK haitakusaidia lolote.
 
Huwa najiuliza mno huyu Mtu kaifanyia nini Jema Tanzania ndani na nje mpaka Watanzania wanampenda na Kumkubali wakati Kwangu Mimi GENTAMYCINE naona Tanzania tulikuwa na bahati mbaya zaidi Kuongozwa nae na sishangai ndiyo maana Kipindi chake Tanzania ilidharaulika nasi Watanzania tukadharaulika pia.

Ukweli wangu huu ukikuuma na Kuchukia mtafute Mgonjwa wa CORONA ( Covid-19 ) mwambie akuambukize kwa Makusudi Ufe upesi tu.
We ni mnyarwandwa bila shaka...!! Itakuwa umeumizwa na kile JK alichomfanyia PK kule mpakani na nchini Kongo..!! Pole sana!!
 
We ni mnyarwandwa bila shaka...!! Itakuwa umeumizwa na kile JK alichomfanyia PK kule mpakani na nchini Kongo..!! Pole sana!!
Siyo tu ni Mnyarwanda pia natokea Kabila lililobarikiwa Akili Afrika nzima na tunafanana na Wayahudi na Wazanaki tu pekee la Watutsi ( Tutsi ) na najivunia hilo Kabila na Rais wangu Mchapakazi, Mwerevu, Shujaa, Makini na Jemedari Paul Kagame.
 
Mwinyi 35% ( Alifeli )

Mkapa 75% ( Alifaulu )

Kikwete 5% ( Alifeli vibaya )

Magufuli 50% ( Alifaulu )

Samia nitampima rasmi ifikapo 2025

ANGALIZO

Mtazamo wangu huu Uheshiimiwe na kama kuna unayempenda mno hapo na Amefeli halafu Umechukia tafuta Sumu ya Panya hapo ulipo Korogea Unywe ili upotee mazima.

Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere tunakukumbuka sana Baba ( Babu ) na Watanzania, Waganda, Wanyarwanda, Wasumbiji, Wazimbabwe, Waburundi Wabotswana, Wanamibia, Wakongo ( zamani Zaire ), Wanaijeria, Waghana na JamiiForums Members wenye Akili ( Great Thinkers ) wote kwa pamoja wanakukumbuka ( tunakukumbuka ) sana.

Roho yako izidi Kulala mahala pema Peponi Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ila huku nyuma sasa yale uliyoyakemea kama Rushwa, Ukabila, Mmomonyoko wa Maadili, Elimu Duni inayozidi tu Kuzalisha Mipumbavu ( Mipopoma ) mingi sasa ndiyo yameshamiri.
Kwangu:
1. Nyerere
2. Mkapa
3. Kikwete
4. Mwinyi
5. Samia
6. Magufuli
 
Kwa hiyo unasema kikwete alikuwa hamn kitu zaidi ya kuiba hela na kusafiri tu kila siku??
 
Siyo tu ni Mnyarwanda pia natokea Kabila lililobarikiwa Akili Afrika nzima na tunafanana na Wayahudi na Wazanaki tu pekee la Watutsi ( Tutsi ) na najivunia hilo Kabila na Rais wangu Mchapakazi, Mwerevu, Shujaa, Makini na Jemedari Paul Kagame.
Acha kudhalilisha watu mzee!! Yaani Myahudi awe na hako kaakili?
 
Mwinyi 35% ( Alifeli )

Mkapa 75% ( Alifaulu )

Kikwete 5% ( Alifeli vibaya )

Magufuli 50% ( Alifaulu )

Samia nitampima rasmi ifikapo 2025

ANGALIZO

Mtazamo wangu huu Uheshiimiwe na kama kuna unayempenda mno hapo na Amefeli halafu Umechukia tafuta Sumu ya Panya hapo ulipo Korogea Unywe ili upotee mazima.

Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere tunakukumbuka sana Baba ( Babu ) na Watanzania, Waganda, Wanyarwanda, Wasumbiji, Wazimbabwe, Waburundi Wabotswana, Wanamibia, Wakongo ( zamani Zaire ), Wanaijeria, Waghana na JamiiForums Members wenye Akili ( Great Thinkers ) wote kwa pamoja wanakukumbuka ( tunakukumbuka ) sana.

Roho yako izidi Kulala mahala pema Peponi Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ila huku nyuma sasa yale uliyoyakemea kama Rushwa, Ukabila, Mmomonyoko wa Maadili, Elimu Duni inayozidi tu Kuzalisha Mipumbavu ( Mipopoma ) mingi sasa ndiyo yameshamiri.
Nani ataheshim upumbavu hayawan wew
 
Mtazamo wako ni finyu. ....ila ngoja tuuheshimu. ....

Kwakuingeza tu nadhani ungempa mwinyi 85% kwasababu zifuatazo



Hayo ni machache tu. .....

Mara nyingi naona hakina Rais anaonewa na kubwezwa kama mwinyi. Ingawa yeye ndoalikua jembe kweli kweli
Ni kweli watu ambao hawajui Mzee Mwinyi alikuwa kiongozi mzuri ni wale ambao hawajafanya kazi na viongozi wa awamu zote hizo. Binafsi wa kwanza ni Mwalimu kisha anafuata Mzee Mwinyi. Wengi waliofuata ama hawakujua utawala au hawakuwa waadilifu au hawakuweza kusahihisha makosa yao walipogundua kuwa wamekosea. Wote wamefanya mambo kadhaa mazuri lakini si kwa mpangilio huo unaoneshwa hapo. Kiongozi anayejitambua ana mapungufu huendesha utawala shirikishi. Mzee Mwinyi was very smart on this na hakuwahi kumfanyia hiana mwananchi ye yote kwa makusudi. Pia ingawa Mzee Mwinyi siyo dini yangu namtambua kwa dhati kuwa ni mcha Mungu. Siku Watanzania wengi watapotambua mchango wa uongozi wa Mzee Mwinyi tutakuwa tumemtendea haki. Sasa kachoka tusimtegemee wala tusimpime kwa sasa. Mwenyezi Mungu ampe maisha marefu azidi afurahie maisha yake yaliyobaki bila maradhi.
 
Siyo tu ni Mnyarwanda pia natokea Kabila lililobarikiwa Akili Afrika nzima na tunafanana na Wayahudi na Wazanaki tu pekee la Watutsi ( Tutsi ) na najivunia hilo Kabila na Rais wangu Mchapakazi, Mwerevu, Shujaa, Makini na Jemedari Paul Kagame.
Hiyo akili ya Kiyahudi kama kuna kitu kama hicho mmeipata hapa Tanzania! Siyo Israel, Ulaya wala Urusi.
 
Mawazo yako yaheshimiwe.

Lakini ukijipa nafasi ya kupitia nyaraka na kumbukumbu mbalimbali. Hujamfahamu Mwalimu Nyerere.

Katika viongozi wote waliomfuatia Mwalimu, hakuna hata mmoja aliyemfikia hata 50% kwenye ujumla wake.

Naweka nukuu ya mwanaJF - Achimwene wa Makete, ili uone kama kuna anayemsogelea hata mmoja:
Mambo usioyajua kuhusu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Sasa wacha nikufahamishe;-

1.Alizaliwa tarehe 13/04/1922 Butiama na kufariki tarehe 14/10/1999 kule London.Ni Raisi wa kwanza Afrika kuachia madaraka kwa hiari yake mwenyewe.

2.Ni Raisi wa kwanza kuhama Ikulu na kwenda kuishi kwenye nyumba aliyoijenga kwa mkopo akiwa bado Raisi.

3.Ni kati ya Raisi aliyekuwa analipwa mshahara mdogo duniani na pengine kati ya raisi aliyewahi kulipwa mshahara mdogo barani Afrika mpaka sasa.

4. Ni Mtanganyika wa kwanza kusoma chuo kikuu nchini Uingereza na Muafrika wa pili kupata Degree nje ya Afrika, akisomea English, Political Economy, Social Anthropology, British History, Economic History, Constitutional Law, and Moral Philosophy.

5. Ni kiongozi aliyeisaidia China kuingia Umoja wa Mataifa na hotuba yake maarufu akisema
kwamba,"Umoja wa Mataifa si serikali ya dunia bali ni sehemu ambayo dunia nzima inakutana,
kwahiyo kumtoa China katika umoja wa mataifa ni kumtoa kuwa sehemu ya dunia".

6. Ndio mwanzilishi wa harakati za kupinga ubaguzi wa rangi Afrika ya Kusini- Anti Apartheid Movement mwaka 1959 pamoja na Trevor Huddleston nchini Uingereza.

7. Ni mmoja kati ya waanzilishi wa Umoja wa Afrika, 1963.

8. Amezisaidia nchi nyingi za Afrika kupata uhuru kuliko mtu mwingine yoyote katika historia ya ukoloni, nchi hizo ni Zambia (1964), Malawi (1964), Botswana (1966), Lesotho (1966), Mauritius (1968), Swaziland (1968) and Seychelles (1976) na baadae 1975 (Mozambique), (Angola), 1980 (Zimbabwe), 1990
(Namibia) na 1994 (South Africa).

9. Mwaka 2009 alitajwa na raisi wa mkutano mkuu wa Umoja wa Mataifa kama "World Hero of Social Justice".

10. Amepokea shahada mbalimbali kutoka, University of Edinburgh (UK), Duquesne University (USA), University of Cairo (Egypt), University of Nigeria (Nigeria), University of Ibadan (Nigeria), University of Liberia (Liberia), University of Toronto (Canada), Howard University (USA), Jawaharlal Nehru University (India), University of Havana (Cuba), National University of Lesotho, University of the Philippines, Fort Hare University (South Africa),Sokoine University of Agriculture (Tanzania), and Lincoln University (PA, USA).

11. Alipokea Tuzo ya Order of José Marti Cuba 1975, Order of the Aztec Eagle (Collar) Mexico 1975, Order of Amílcar Cabral Guinea Bissau 1976, the Nehru Award for International Understanding in 1976, the Third World Prize in 1982, Order of Eduardo Mondlane
Mozambique 1983, the Nansen Medal for outstanding services to Refugees in 1983, Order of Agostinho Neto Angola 1985, Sir Seretse Khama SADC Medal 1986, Joliot-Curie Medal of Peace 1988, the Lenin Peace Prize in 1987, the International Simón Bolívar Prize in
1992, and the Gandhi Peace Prize in 1995, Statesman of the 20th century by the Chama Cha Mapinduzi 2000, Order of the Companions of O. R. Tambo (Gold) South Africa 2004, Royal Order of Munhumutapa Zimbabwe 2005, Most Excellent Order of the Pearl of Africa (Grand Master) Uganda 2005, Order of Katonga Uganda 2005, National Liberation Medal Rwanda 2009, National Liberation Medal Rwanda 2009, Campaign Against Genocide Medal Rwanda 2009, Order of the Most Ancient Welwitschi Mirabilis Namibia 2010, Tanzania Professional Network Award 2011, Order of Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Tanzania 2011, National Order of the Republic (Grand Cordon) Burundi 2012 and Order of Jamaica, Jamaica.

12. Mwaka 2007 Rais Yoweri Museveni wa Uganda alimpa tuzo ya Katongo, Medali ya juu kuliko zote ya Jeshi la Uganda kwa heshima ya upinzani wake dhidi ya ukoloni na serikali ya Idi Amin.

13. Mitaa, barabara, majengo, vituo, shule, vyuo na vitu vilivyopewa jina lake; Daraja la Nyerere Kigamboni,Julius Nyerere University of Kankan, in Kankan, Guinea, Nyerere Drive,Gaborone (1.6 km) in Botswana, Nyerere Avenue, Mombasa (1.5 km)
and Nyerere Road, Kisumu (2 km) in Kenya, Julius Nyerere Street, Windhoek (1.1 km) in Namibia, Julius Nyerere Street, Durban (0.5 km) in South Africa, Nyerere Road, Kitwe (1.4 km) in Zambia, Julius Nyerere Way, Harare (1 km) in Zimbabwe, Julius Nyerere International Airport, Julius Nyerere International Convention Centre, Nyerere Day- Public Holiday 14/10, Nyerere Cup, Nyerere Road, Unguja, Zanzibar (6.5 km), Nyerere Secondary School in Mwanga District and J.K. Nyerere Secondary School in Moshi, Kilimanjaro Region, Mwalimu J. K. Nyerere Secondary School in Mbozi District, Mbeya Region, Nyerere Memorial School in Korogwe, Tanga Region, Nyerere High School Migoli in Iringa Region, Nyerere Secondary School in Unguja, Zanzibar, Mwalimu Nyerere Foundation, Mwalimu Nyerere Museum Centre and Mwalimu Nyerere Memorial Academy- Tanzania.

14. Baadhi ya vitabu alivyoviandika ni, Freedom and Unity (Uhuru na Umoja), Freedom and Socialism (Uhuru na Ujamaa), The Arusha
Declaration, Education for self-reliance, The varied paths to socialism, The purpose is man, Socialism and development, Freedom and Development (Uhuru Na Maendeleo), Ujamaa, Crusade for Liberation, Education for Self-Reliance, na Uongozi na Hatima ya Tanzania.

15. Pamoja na kujulikana kama - Baba wa Taifa la Tanzania, Nchi za Kusini mwa Afrika zinamtambua kama baba wa Ukombozi wa Nchi za Kusini.

16. Pamoja na kujua lugha ya Kiswahili na Kiingereza kwa Ufasaha - pia alikuwa akifahamu lugha ya Kigiriki na Kilatini.

17. Julius Nyerere ameandikwa kwenye kitabu cha Enyclopia kama mtu pekee duniani katika historia ya karne ya 21, aliyeweza kuwafanya watu wa makabila, dini, asili na historia tofauti kujiona kama watu wamoja.
Umemuelezea vizuri mpaka umewakela wajinga
 
Nyerere ni only 40%
Mwinyi 30%
Mkapa 45%
Kikwete 50%
Magufuli 10%
Samia 60%
Sio kuvaa viatu vya Nyerere ni kusukuma Taifa mbele Kwa utulivu Na furaha.
Nyerere alikua muongo Sana zaidi ya umoja mengine yote alifeli sana.
Magufuli aliua Taifa na utaifa. Adhabu ya Sabaya ni ya Magufuli. Ukitaka kumpiga mzazi Mpigie mtoto.
Ila sababu Genta ni Sukuma gang kaa Na mawazo yako.
 
23 Reactions
Reply
Back
Top Bottom