Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuujua Uimara na Uongozi bora na Uliotukuka kwa Tanzania hii aliokuwa nao Hayati Rais Mstaafu unahitaji uwe na Akili sana na siyo kama Wewe ambaye bahati mbaya huna ( hauna )Mkapa 75%? Mkapa ni mmoja wa maraisi wa hovyo Sana
Katika awamu yake nchi iliingia mikataba ya ajabu sana
Mkwapwa alimnyoa kisa alikataa asiongezewe muda wa uchekeshaji joti .ila beni sa mbili alipiga yeye kwa mkono wakeHivi hili swala la mwenda peke yake kumpiga risasi benkakolnyeri kwa mkono wake ni kweli au mastori ya town.
Kwakuwa tu nimempa 5% huyo JMK au?Wejamaa unajionaga una akili lakini ww ni bonge moja la kilaza.
Kumbe Wapumbavu bado ni wengi TZ?Mkwapwa alimnyoa kisa alikataa asiongezewe muda wa uchekeshaji joti .ila beni sa mbili alipiga yeye kwa mkono wake
Si mm tu jaman ,alimpigia karibu na tausi paleKumbe Wapumbavu bado ni wengi TZ?
Kiko motoniKumbe Wapumbavu bado ni wengi TZ?
HuyubYaani magufuli amzidi kikwete??we utakuwa kwenye ubongo wako Ile sehemu ya kufikiri imeoza
Huyu jamaa ni Mtusi na pandikizi la kagame! Sasa ana chuki na Kikwete baada ya kuwatimua warudi kwao! Na ameshaanza kimuandama mama. Lakini Muda utafika tutamaliza Kazi ya kikwete na kuifanya Tanzania Tusi free!Yaani magufuli amzidi kikwete??we utakuwa kwenye ubongo wako Ile sehemu ya kufikiri imeoza
Kiwende alisema ilikuwa bado mapema ,membe alisema hakuwahi kutoka ccm hahahaKumbe Wapumbavu bado ni wengi TZ?
Huwa ninapenda mno Watu very Brainy kama Wewe na ambao huwa mna Akili za Kunielewa GENTAMYCINE kwa haraka Threads zangu hapa JamiiForums ambazo kwa 100% huwa ni 'Philosophical' tupu zinazopelekea wenye Akili fupi au wasiokuwa nazo Kutonielswa na kubakia Kunichukia.Kuna watu mmeshindwa kumwelewa pole I
Sishangai Pro kagame na Mnyarwanda kumchukia KikweteMwinyi 35% ( Alifeli )
Mkapa 75% ( Alifaulu )
Kikwete 5% ( Alifeli vibaya )
Magufuli 50% ( Alifaulu )
Samia nitampima rasmi ifikapo 2025
ANGALIZO
Mtazamo wangu huu Uheshiimiwe na kama kuna unayempenda mno hapo na Amefeli halafu Umechukia tafuta Sumu ya Panya hapo ulipo Korogea Unywe ili upotee mazima.
Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere tunakukumbuka sana Baba ( Babu ) na Watanzania, Waganda, Wanyarwanda, Wasumbiji, Wazimbabwe, Waburundi Wabotswana, Wanamibia, Wakongo ( zamani Zaire ), Wanaijeria, Waghana na JamiiForums Members wenye Akili ( Great Thinkers ) wote kwa pamoja wanakukumbuka ( tunakukumbuka ) sana.
Roho yako izidi Kulala mahala pema Peponi Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ila huku nyuma sasa yale uliyoyakemea kama Rushwa, Ukabila, Mmomonyoko wa Maadili, Elimu Duni inayozidi tu Kuzalisha Mipumbavu ( Mipopoma ) mingi sasa ndiyo yameshamiri.
Pole huyu wa viii eiterreeHuwa ninapenda mno Watu very Brainy kama Wewe na ambao huwa mna Akili za Kunielewa GENTAMYCINE kwa haraka Threads zangu hapa JamiiForums ambazo kwa 100% huwa ni 'Philosophical' tupu zinazopelekea wenye Akili fupi au wasiokuwa nazo Kutonielswa na kubakia Kunichukia.
Naona pamoja na Kustaafu Kwake hivi sasa mmemuongezea Ulinzi wake tena mkubwa kama ule aliokuwa nao alipokuwa Rais.Huyu jamaa ni Mtusi na pandikizi la kagame! Sasa ana chuki na Kikwete baada ya kuwatimua warudi kwao! Na ameshaanza kimuandama mama. Lakini Muda utafika tutamaliza Kazi ya kikwete na kuifanya Tanzania Tusi free!
Kama mtu anazingua atapewa kinachostahili. Unaweza kuona kuua jambazi ni dhambi lakini ambaye alifikiwa na jambazi ataona kapeka kinachostahiliNyerere 20% aliua sana kuzidi wote magu anasubiri ,ila magu kwa mkono wake benyo alipiga bastola yeye mwenyewe vya fake phd,kikwete nampa 70 ila hakuwa serios na kodi drug lords na hakujua tz kujenga ridhwan kuwa rais haipo haitatokea wala january (kidogo huyu karekebishwa na kuwa harassed na magu (mi chawa wake) ila aache umjini
Mwinyi 35% ( Alifeli )
Mkapa 75% ( Alifaulu )
Kikwete 5% ( Alifeli vibaya )
Magufuli 50% ( Alifaulu )
Samia nitampima rasmi ifikapo 2025
ANGALIZO
Mtazamo wangu huu Uheshiimiwe na kama kuna unayempenda mno hapo na Amefeli halafu Umechukia tafuta Sumu ya Panya hapo ulipo Korogea Unywe ili upotee mazima.
Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere tunakukumbuka sana Baba ( Babu ) na Watanzania, Waganda, Wanyarwanda, Wasumbiji, Wazimbabwe, Waburundi Wabotswana, Wanamibia, Wakongo ( zamani Zaire ), Wanaijeria, Waghana na JamiiForums Members wenye Akili ( Great Thinkers ) wote kwa pamoja wanakukumbuka ( tunakukumbuka ) sana.
Roho yako izidi Kulala mahala pema Peponi Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ila huku nyuma sasa yale uliyoyakemea kama Rushwa, Ukabila, Mmomonyoko wa Maadili, Elimu Duni inayozidi tu Kuzalisha Mipumbavu ( Mipopoma ) mingi sasa ndiyo yameshamiri.
Mwambieni M23 wameshazaliana sana.Sishangai Pro kagame na Mnyarwanda kumchukia Kikwete
Stori za mtaa wa wapi izo?Mwambieni M23 wameshazaliana sana.