Machame Juu
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 1,510
- 3,332
Siku Mungu akinibariki na utajiri nitaufariji moyo wangu kwa kuwa katili na muonevu. Watu wanadharau sana. Nikinunua gari nawafuta hukohuko kwa wapita njia nakuwagonga na side mirror viunoni mwao.
Nitakuwa na nyodo na dharau iliyopitiliza. Na nitakuwa mbabe na kuonyesha jeuri ya, pesa.
Maumivu ninayo sasa hivi yani na hasira nataka kulipiza kisasi kwa wote waliniumiza kunidharau na kunitukana.
Hakuna yeyote ataingia kwenye mjengo wangu na hakuna yeyote ataingia kwenye V8 yangu.
Nitapaki gari langu mbele zao nakukaa kwenye bonet nan shampein kibao
Nitakuwa na nyodo na dharau iliyopitiliza. Na nitakuwa mbabe na kuonyesha jeuri ya, pesa.
Maumivu ninayo sasa hivi yani na hasira nataka kulipiza kisasi kwa wote waliniumiza kunidharau na kunitukana.
Hakuna yeyote ataingia kwenye mjengo wangu na hakuna yeyote ataingia kwenye V8 yangu.
Nitapaki gari langu mbele zao nakukaa kwenye bonet nan shampein kibao