Nikipata kazi yoyote kwa msaada wako wewe Utafaidika kwa 50% ya.....

Professional Trader

JF-Expert Member
Apr 5, 2016
1,220
1,113
Ni kijana mwenye umri wa miaka 22
Mwenye taaluma ya general agriculture level ya diploma na uzoefu katika kufanya mambo ya sales

kwasasa niko Dar es salam ...

Natafuta kazi yoyote ya halali ambayo inaweza fundishika au iusiane na taaluma yangu .....itakua vyema sana

Offer yangu ....Mtu yeyote atakayenifanikishia nikapata kazi yeyote yenye ujira wa kuanzia laki 5 na kuendelea nitakubali na kukubaliana naye kuwa atakuwa akipokea 50% ya mshahara wangu kwa muda wa miezi 3 baada ya apo itabidi kila mmoja apambane na hali yake ...

Napenda kuwasilisha kwenu waheshimiwa ombi langu

Onyo: Kama unaisi ujaelewa elewa au hii thread haikuusu tafadhali usichangie ....
 
Ni kijana mwenye umri wa miaka 22
Mwenye taaluma ya general agriculture level ya diploma na uzoefu katika kufanya mambo ya sales

kwasasa niko Dar es salam ...

Natafuta kazi yoyote ya halali ambayo inaweza fundishika au iusiane na taaluma yangu .....itakua vyema sana

Offer yangu ....Mtu yeyote atakayenifanikishia nikapata kazi yeyote yenye ujira wa kuanzia laki 5 na kuendelea nitakubali na kukubaliana naye kuwa atakuwa akipokea 50% ya mshahara wangu kwa muda wa miezi 3 baada ya apo itabidi kila mmoja apambane na hali yake ...

Napenda kuwasilisha kwenu waheshimiwa ombi langu

Onyo: Kama unaisi ujaelewa elewa au hii thread haikuusu tafadhali usichangie ....
Bahati mbaya kazi unataka ya laki 5 ya million vipi
 
Ni kijana mwenye umri wa miaka 22
Mwenye taaluma ya general agriculture level ya diploma na uzoefu katika kufanya mambo ya sales

kwasasa niko Dar es salam ...

Natafuta kazi yoyote ya halali ambayo inaweza fundishika au iusiane na taaluma yangu .....itakua vyema sana

Offer yangu ....Mtu yeyote atakayenifanikishia nikapata kazi yeyote yenye ujira wa kuanzia laki 5 na kuendelea nitakubali na kukubaliana naye kuwa atakuwa akipokea 50% ya mshahara wangu kwa muda wa miezi 3 baada ya apo itabidi kila mmoja apambane na hali yake ...

Napenda kuwasilisha kwenu waheshimiwa ombi langu

Onyo: Kama unaisi ujaelewa elewa au hii thread haikuusu tafadhali usichangie ....
Kijana Unaweza Fafanua zaidi kwenye hili uliolisema hapa...

  • Mwenye taaluma ya general agriculture level ya diploma na uzoefu katika kufanya mambo ya sales
Ukinifafanulia nitashukuru
 
Kijana Unaweza Fafanua zaidi kwenye hili uliolisema hapa...

  • Mwenye taaluma ya general agriculture level ya diploma na uzoefu katika kufanya mambo ya sales
Ukinifafanulia nitashukuru
Okay, apo ujuzi niliosomea ni General agriculture na level niliyofikia ni diploma na pia nikaongezea kuwa nakauzoefu cha mambo ya sales

Ivyo ndivyo nilivyoweza fafanua kiongozi kama bado nitarudia

Thank you
 
Okay, apo ujuzi niliosomea ni General agriculture na level niliyofikia ni diploma na pia nikaongezea kuwa nakauzoefu cha mambo ya sales

Ivyo ndivyo nilivyoweza fafanua kiongozi kama bado nitarudia

Thank you
Kwa hiyo huna utalaamu wa Kulima Mchicha, Mihogo, Mahindi, Maharage, Mapapai, Maembe, Maua, Pilipili au hata kuandaa Shamba, au Kutumia Mbolea ya Asili au ya Kiwandani.

Yaani You totally Dully kwenye kitu chochote ambacho kinaweza kukutambulisha kama muhitimu wa hiyo Diploma ya Kilimo.
 
Kwa hiyo huna utalaamu wa Kulima Mchicha, Mihogo, Mahindi, Maharage, Mapapai, Maembe, Maua, Pilipili au hata kuandaa Shamba, au Kutumia Mbolea ya Asili au ya Kiwandani.

Yaani You totally Dully kwenye kitu chochote ambacho kinaweza kukutambulisha kama muhitimu wa hiyo Diploma ya Kilimo.
Ndio ninao kiongoz
 
Mi kwa ushauri wng usitafute kazi ya kuajiriwa bali tafuta mtaji halafu utumie taaluma yako hyohyo ulonayo ya kilimo naimani utausahau umasikini ndani ya muda mchache sn.
nchi yetu bado ina ardhi kubwa sn na haina wa kuitumia
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom