Nikioa nitazama uvinza!!.

Asante kwa elimu mwenye macho haambiwi tazama...kama ungeweza kuambatisha na picha ya muathirika ingekuwa vema captain.
Ondoa dhana kwamba HPV inakuwa transmitted kwa oral sex pekee pia acha kupotosha watu. Either uwe umezama chumvini ama umemtia vidole or umezamisha machine yako HPV utapata tu ila si kusema kwamba wanaopata HPV wote ni wazama chumvini HELL NO.
 

Attachments

  • circles_hpv-male.jpg
    circles_hpv-male.jpg
    9.8 KB · Views: 11
  • hpv-in-the-mouth.jpg
    hpv-in-the-mouth.jpg
    31.8 KB · Views: 12
  • close-up-of-a-hand-with-warts-16x9.jpg
    close-up-of-a-hand-with-warts-16x9.jpg
    13 KB · Views: 11
Sina stim kbs since naanza mapenz sikua napenda...ss nilipojua rafiki ako anasmoke ikawa ntolee...huwa hamu inakata kbs...kila mtu ana ugonhwa wake jaman..mm hayo hapana
Kwani kusmoke na hicho kitu vina uhusiano gani? Ina maana kila saa yeye yupo high?
Ni kwamba tu hupendi au hujapata wa kukupiga deki kisawasawa 🏃🏃🏃🏃
 
utatamani kuendelea kudeki k kwa ulimi
Narudia tena HPV haiko transmitted kwa kudeki k kwa ulimi, hata dick yako haiko salama vilevile. alafu hili ni gonjwa hatari nashangaa wewe unataka kuaminisha watu wanaopata HPV ni wazama uvinza tu wakati wote hatuko salama. Kwa mantiki hiyo tafuta mwanamke mwenye HPV kamtie kama unavyotiaga bila kudeki bahari uone kama hupati. ACHA KUPOTOSHA WATU.
 
Mm sijapotosha kwani kuna ulazina gani wa kuzama chumvin?
Narudia tena HPV haiko transmitted kwa kudeki k kwa ulimi, hata dick yako haiko salama vilevile. alafu hili ni gonjwa hatari nashangaa wewe unataka kuaminisha watu wanaopata HPV ni wazama uvinza tu wakati wote hatuko salama. Kwa mantiki hiyo tafuta mwanamke mwenye HPV kamtie kama unavyotiaga bila kudeki bahari uone kama hupati. ACHA KUPOTOSHA WATU.
 
Kwani kusmoke na hicho kitu vina uhusiano gani? Ina maana kila saa yeye yupo high?
Ni kwamba tu hupendi au hujapata wa kukupiga deki kisawasawa 🏃🏃🏃🏃


Ah wap shogangu ..kila mtu ana jiugonjwa lake .ugonjwa wangu naujua..tena usinifanye nikashindwa kufanya kazi ...lol..yaan ukitaka ushindwe kns kusex na mm lazimisha hayo mambo..napoa kbs..alafu nakuaga na nguv kbs za kuondoka...!ht ubembelezje nakuwa niko off tayar..hapana aisee
 
sawa mkuu, ila hayo ya kansa afie mbali maana sababu za kamsa mpaka leo hazijulikani ila zinahisiwa hisiwa tuu, maswaya ya kitaalamu sipendi mtu anieleze kirahisi hivyo
Unataka uelezwe vipi labda kwa mfano? Ina maana hujui watu wanakufa kwa cancer za aina mbalimbali? na nani kakwambia source ya cancer kwa mwili wa binadamu haijulikani?
 
Ah wap shogangu ..kila mtu ana jiugonjwa lake .ugonjwa wangu naujua..tena usinifanye nikashindwa kufanya kazi ...lol..yaan ukitaka ushindwe kns kusex na mm lazimisha hayo mambo..napoa kbs..alafu nakuaga na nguv kbs za kuondoka...!ht ubembelezje nakuwa niko off tayar..hapana aisee
Hapo nimekuelewa. Ila usihusishe mmea na kutopenda kwako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom