Mimi ni mtumiaji wa pombe kwa muda wa miaka 26 hivi kwa muda wote nimekuwa nikinywa castle lager kama pombe niipendayo na mara chache sana pombe kali na wine wakati nasoma O-Level nilikuwa nakunya mara chache weekend na siku ya shughuli nyumbani au shule, nilipo kwenda A-Lavel Mazengo sec kidogo intake iliongezeka kwani weekend karibia zote nilikuwa nakunywa na mara chache katikati ya wiki nilipokwenda chuo pale DIT nakumbuka siku nisipo kumywa nakuwa kama mjinga na mbaya sana nilikuwa siwezi kufanya mtihani bila ya kupata kidogo nakumbuka ikifika ijumaa nilikuwa nakuwa kama mwenda wazimu kama nikiwa sina hela
Baada ya kumaliza chuo nakumbuka niliamua kupunguza kunywa baada ya kuobwa sana na familia na nilipunguza kwa kiasi kikubwa sana kiasi hata week mbili au mwezi ulikuwa unapita bila kunywa wakati huo nafanya kazi.
Tatizo la lunywa kila siku lilianza tena muda mfupi kabla ya kuoa na mpaka sasa naweza kunywa castle lager 15 nikanchanganya na konyagi lakini silewi zaidi ya kuchamka kidogo basi.
Baada ya kumaliza chuo nakumbuka niliamua kupunguza kunywa baada ya kuobwa sana na familia na nilipunguza kwa kiasi kikubwa sana kiasi hata week mbili au mwezi ulikuwa unapita bila kunywa wakati huo nafanya kazi.
Tatizo la lunywa kila siku lilianza tena muda mfupi kabla ya kuoa na mpaka sasa naweza kunywa castle lager 15 nikanchanganya na konyagi lakini silewi zaidi ya kuchamka kidogo basi.