Naam, jee nikinunua king'amuz aina ya dvb t2 cha antenna kingamuz cha antenna kutoka nchi ya china au usa huku tz nitapata local channel bure???maana huku bongo local channel mpk ulipie
Wako wapWanakuja.
t2 iko improved in baud speed, sawa na S4 na S5 samsungDvb t1 ni aina gani??jee tofaut na dvb t2 ni.ipi??
dvb t ni kwa terrestrial mzee sio za dish(satelite), antenna ya kawaida (vhf) inapiga mzigoCm 90 dish jee
Hapo nimeulizia kwa dvb ts mkuu asante kwa elimudvb t ni kwa terrestrial mzee sio za dish(satelite), antenna ya kawaida (vhf) inapiga mzigo
ukitaka weka dish inabidi liwe la 10m uko kudaka frequency ndogo za terrestrial
Mkuu hiyo antena nimeipenda vipi inashika chanel fresh??zinapatikana wapi na bei yakeHapo nimeulizia kwa dvb ts mkuu asante kwa elimu
Cheki hiyo antenna ya kibake hommade View attachment 819793
Hapo makumbusho.Wako wap
Mkuu dvb ts si cha dishi? ??halafu nikinunua dvb ts nataka nitumie na dish dogo la KU-BAND mimi sio mpenzi wa madishi makubwakwanini ujifungie kwenye DVB-T2 pekee tafuta chenye DVB-S2 pia ili uwe kote kote, tofauti ya bei wala sio kubwa pengine dola 5 tu.