Maleven
JF-Expert Member
- Sep 8, 2019
- 622
- 2,769
Ikiwa mtu anajua fika kuwa huyo mwanaume anamtaka, kisha akampa namba, binafsi naichukulia kama nia ya wazi ya kusaliti in the near future
Je kumpiga chini ni uamuzi wa kukurupuka? Moja ya utetezi wake ni kua ameghafilika na hata mimi naweza kughafilika
Nilijaribu kumsamehe ila katika mazungumzo akaniuliza et je akirudia tena itakuaje, swali hili nimeshindwa hata kulijibu naona nimdump tu
Je nitakua nimechukua maamuzi ya haraka?
Je kumpiga chini ni uamuzi wa kukurupuka? Moja ya utetezi wake ni kua ameghafilika na hata mimi naweza kughafilika
Nilijaribu kumsamehe ila katika mazungumzo akaniuliza et je akirudia tena itakuaje, swali hili nimeshindwa hata kulijibu naona nimdump tu
Je nitakua nimechukua maamuzi ya haraka?