gasto genaro
JF-Expert Member
- Oct 15, 2014
- 780
- 554
Wakuu,
Me ni kilaza wa sheria.
Ni wazi kwamba, binti wa miaka 20 tayari ni mtu mzima anayejielewa kabisa na hata kuolewa anaweza kuolewa
Sasa kwa mfano, binti aliyechelewa kuanza shule, na miaka 20+ imemkuta akiwa bado secondary school,, na mimi nikajipigia na kumpa mimba, nitafungwa miaka 30?
If yes, kwanini nifungwe akati huyo ni mtu mzima kabisa nimempa mimba?
Na kama sheria inaruhusu mtu kufungwa kwa kosa kama hilo, hakuna haja ya kuibadilisha?
Ngoja kwanza nivuke hili eneo la bweni la wanafunzi wa kike narudi muda si mrefu..
Me ni kilaza wa sheria.
Ni wazi kwamba, binti wa miaka 20 tayari ni mtu mzima anayejielewa kabisa na hata kuolewa anaweza kuolewa
Sasa kwa mfano, binti aliyechelewa kuanza shule, na miaka 20+ imemkuta akiwa bado secondary school,, na mimi nikajipigia na kumpa mimba, nitafungwa miaka 30?
If yes, kwanini nifungwe akati huyo ni mtu mzima kabisa nimempa mimba?
Na kama sheria inaruhusu mtu kufungwa kwa kosa kama hilo, hakuna haja ya kuibadilisha?
Ngoja kwanza nivuke hili eneo la bweni la wanafunzi wa kike narudi muda si mrefu..