Nikimaliza kidato cha nne nifanye kazi gani?

humu watu watakukatisha tamaa aseeeee maana wengi ni wanaume au mboo zao zinanjaa hatareeee




mimi nakushauri fanya kwanza mtihani then ukimaliza fanya hata kulima nyanya vitunguu maana vina soko kulingana na eneo ulipo
 
Sikushauri ufanye kazi yoyote, kwa mazingira yetu ya kutegemeana ukianza kushika pesa wewe hutojali kitu, Bado mapema sana
Kasomee ufundi/taaluma yoyote, kwa ngazi ya cheti, kama matokeo yakisoma vibaya panda mpaka diploma, naamini utakuwa japo na ukomavu wa kimajukumu na fikra.

Kisha Uje kushukuru J.F baada ya miaka mitano hapa.
 
Ngoja nikushauri mdogo wangu, sijajua umeuliza hili swali ukifikiria nini...namaanisha sijui hali ya familia yenu kiuchumi. Nitakushauri mambo matatu.
La kwanza, unaweza jiendeleza kielimu kama utapata mdhamini...hii namaanisha unaweza jiandaa na pre form five na ukasoma pia computer course ili shule ikianza uwe unajiweza. Usiidharau shule.
La pili, unaweza jifunza ujasiriamali maana sa hivi watu wengi wanafundisha...hapa ni kama utakuwa hutaki shule au ada imekata, jifunze tengeneza sabuni za maji, mafuta, mishumaa, makorokocho mengi yanafundishwa sikuhizi...
La tatu, kama kwenu kuna fridge unaweza anza tengeneza barafu (lamba lamba) kwa ajili ya watoto...hii itakusaidia kupata hata ela ya kununua vocha, mafuta etc...kama hakuna fridge waweza anza tengeneza vitafunwa na kuuza (ingawa inahitaji ujasiri)
Cha mwisho, mdogo wangu usidanganyike na hizi suruali!! Hawa watu watakurudisha nyuma.
 
Safi mkuu umemshauri vizuri sana
Ngoja nikushauri mdogo wangu, sijajua umeuliza hili swali ukifikiria nini...namaanisha sijui hali ya familia yenu kiuchumi. Nitakushauri mambo matatu.
La kwanza, unaweza jiendeleza kielimu kama utapata mdhamini...hii namaanisha unaweza jiandaa na pre form five na ukasoma pia computer course ili shule ikianza uwe unajiweza. Usiidharau shule.
La pili, unaweza jifunza ujasiriamali maana sa hivi watu wengi wanafundisha...hapa ni kama utakuwa hutaki shule au ada imekata, jifunze tengeneza sabuni za maji, mafuta, mishumaa, makorokocho mengi yanafundishwa sikuhizi...
La tatu, kama kwenu kuna fridge unaweza anza tengeneza barafu (lamba lamba) kwa ajili ya watoto...hii itakusaidia kupata hata ela ya kununua vocha, mafuta etc...kama hakuna fridge waweza anza tengeneza vitafunwa na kuuza (ingawa inahitaji ujasiri)
Cha mwisho, mdogo wangu usidanganyike na hizi suruali!! Hawa watu watakurudisha nyuma.
 
Nakushauri chaguo lako la kwanza lisiwe kwenda from 5 & 6.
Chagua college kama unasoma physics kama hujachukua physics usiache kujaza form za upolisi kama bado udahili unafanyika mashuleni. Na ukijaza form wakati wa usaili nenda kafanye usaili usijidanganye na Advance.
 
Ngoja nikushauri mdogo wangu, sijajua umeuliza hili swali ukifikiria nini...namaanisha sijui hali ya familia yenu kiuchumi. Nitakushauri mambo matatu.
La kwanza, unaweza jiendeleza kielimu kama utapata mdhamini...hii namaanisha unaweza jiandaa na pre form five na ukasoma pia computer course ili shule ikianza uwe unajiweza. Usiidharau shule.
La pili, unaweza jifunza ujasiriamali maana sa hivi watu wengi wanafundisha...hapa ni kama utakuwa hutaki shule au ada imekata, jifunze tengeneza sabuni za maji, mafuta, mishumaa, makorokocho mengi yanafundishwa sikuhizi...
La tatu, kama kwenu kuna fridge unaweza anza tengeneza barafu (lamba lamba) kwa ajili ya watoto...hii itakusaidia kupata hata ela ya kununua vocha, mafuta etc...kama hakuna fridge waweza anza tengeneza vitafunwa na kuuza (ingawa inahitaji ujasiri)
Cha mwisho, mdogo wangu usidanganyike na hizi suruali!! Hawa watu watakurudisha nyuma.
Safi sana
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom