Kwa upande wa mziki wa bongo flavor huu wimbo unaweza ukawa wimbo bora.
Ni wimbo uliotulia kuanzia uimbaji hadi mapigo.Mwimbaji Amejaribu kubadilisha uimbaji tuliouzoea wa kwaya yaani mashairi na kiitikio na pia mapigo siyo kama ya miziki ya dance ya twanga pepeta.Ni mapigo ya aina yake ya kunesanesa.Halafu kama hauishi hamu kuusikiliza.
Nimejaribu kutoa maoni tu kwa wapenzi wa bongo flavour.
Week end na pasaka njema.
Ni wimbo uliotulia kuanzia uimbaji hadi mapigo.Mwimbaji Amejaribu kubadilisha uimbaji tuliouzoea wa kwaya yaani mashairi na kiitikio na pia mapigo siyo kama ya miziki ya dance ya twanga pepeta.Ni mapigo ya aina yake ya kunesanesa.Halafu kama hauishi hamu kuusikiliza.
Nimejaribu kutoa maoni tu kwa wapenzi wa bongo flavour.
Week end na pasaka njema.