Albert Magesa
New Member
- Jul 25, 2021
- 4
- 2
Ninapolala hasa nikilalia upande wa ubavu wa kushoto nahisi maumivu sehemu ya Kati ya mbavu na tumbo.
Mgongoni hasa maeneo ya kiuno huuma nanapokaa muda mrefu au kuonana
Napata haha kubwa ngumu.
Je, ni dalili ya ugonjwa gani?
Mgongoni hasa maeneo ya kiuno huuma nanapokaa muda mrefu au kuonana
Napata haha kubwa ngumu.
Je, ni dalili ya ugonjwa gani?