MpiganiaUhuru
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 777
- 911
Acha kumsingizia shetani wala Mungu, haya ni ya kibinadamu, mpaka hatua hii anafahamu 'mema na mabaya', muache afanye maamuzi!Ujue shetani anakutafuta ili uupate ukimwi ufie mikononi mwake. Lakini tambua MUNGU ANAKUPENDA NI VEMA UKAMPA YESU MAISHA YAKO