Uchaguzi 2020 Nikikumbuka janga la Corona, Watanzania tusipomchagua Dkt. Magufuli bila shaka Mungu atatushughulikia kivingine

Kumbuka.

"Man without God can not, and God without man will not"

"Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe"

Kama kuna nyakati Mungu alishawahi kuzungumuza na watanzania kwa namna isiyoyakawaida kupitia kiongozi wa kitaifa naamini Mara hii amezungumza na tz nakila mtu bila shaka hakuna ambaye hakumwelewa labda tu kwa wale wanaopinga kila mtu.

Ukijaribu tu kufikiria kama bwana yule angekuwa ndiyo yeye mkuu wa nchi sjui tungekuwa vipi Leo na janga hilo.

Ifike mahali tujue kuwa kuna watu wanakuja kwa wakati na majira sahihi tuwaache watimize makusudi ya Mungu aliyowawekea mioyoni mwao.

Nakumbuka Yesu aliulizwa swali fulani akajibu "Kwa ajili ya haya nalikuja"

Tufike mahala tukubali kuwa kuna watu huja kwa specific issue
Kiongozi gani anyejibu hoja kwa mtutu. Kaua, kateka, kababikiza wate kesi, kaumiza na kujeruhi watu, kafisadi kodi zetu kwa miradi ya kifisadi inayomnufaisha yeye na wapambe wake
 
Kumbuka.

"Man without God can not, and God without man will not"

"Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe"

Kama kuna nyakati Mungu alishawahi kuzungumuza na watanzania kwa namna isiyoyakawaida kupitia kiongozi wa kitaifa naamini Mara hii amezungumza na tz nakila mtu bila shaka hakuna ambaye hakumwelewa labda tu kwa wale wanaopinga kila mtu.

Ukijaribu tu kufikiria kama bwana yule angekuwa ndiyo yeye mkuu wa nchi sjui tungekuwa vipi Leo na janga hilo.

Ifike mahali tujue kuwa kuna watu wanakuja kwa wakati na majira sahihi tuwaache watimize makusudi ya Mungu aliyowawekea mioyoni mwao.

Nakumbuka Yesu aliulizwa swali fulani akajibu "Kwa ajili ya haya nalikuja"

Tufike mahala tukubali kuwa kuna watu huja kwa specific issue
Miungu ya Gamboshi ishapitwa na wakati
 
Kumbuka.

"Man without God can not, and God without man will not"

"Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe"

Kama kuna nyakati Mungu alishawahi kuzungumuza na watanzania kwa namna isiyoyakawaida kupitia kiongozi wa kitaifa naamini Mara hii amezungumza na tz nakila mtu bila shaka hakuna ambaye hakumwelewa labda tu kwa wale wanaopinga kila mtu.

Ukijaribu tu kufikiria kama bwana yule angekuwa ndiyo yeye mkuu wa nchi sjui tungekuwa vipi Leo na janga hilo.

Ifike mahali tujue kuwa kuna watu wanakuja kwa wakati na majira sahihi tuwaache watimize makusudi ya Mungu aliyowawekea mioyoni mwao.

Nakumbuka Yesu aliulizwa swali fulani akajibu "Kwa ajili ya haya nalikuja"

Tufike mahala tukubali kuwa kuna watu huja kwa specific issue
FREEDOM IS EVERYTHING
 
Kumbuka.

"Man without God can not, and God without man will not"

"Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe"

Kama kuna nyakati Mungu alishawahi kuzungumuza na watanzania kwa namna isiyoyakawaida kupitia kiongozi wa kitaifa naamini Mara hii amezungumza na tz nakila mtu bila shaka hakuna ambaye hakumwelewa labda tu kwa wale wanaopinga kila mtu.

Ukijaribu tu kufikiria kama bwana yule angekuwa ndiyo yeye mkuu wa nchi sjui tungekuwa vipi Leo na janga hilo.

Ifike mahali tujue kuwa kuna watu wanakuja kwa wakati na majira sahihi tuwaache watimize makusudi ya Mungu aliyowawekea mioyoni mwao.

Nakumbuka Yesu aliulizwa swali fulani akajibu "Kwa ajili ya haya nalikuja"

Tufike mahala tukubali kuwa kuna watu huja kwa specific issue
Mexicana Mungu hana fungamano lolote na wanadamu, sisi ni kama viumbe wingine juu ya hii ardhi. Tofauti yetu ni kuna viumbe wema na waovu. Wema wengi huteseka lakini waovu wengi hudhalilika. Tunahitaji kiongozi wa nchi mwenye kujali wananchi wake, Magufuli kafanya mazuri nchini, lakini kuna mahali alikosea ndiyo maana uchaguzi huu ni mgumu si kwa CCM bali kwa mwenyekiti wa chama. Wahenga wanasema linapoadimika jema basi baya huwa jema.
 
Kumbuka.

"Man without God can not, and God without man will not"

"Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe"

Kama kuna nyakati Mungu alishawahi kuzungumuza na watanzania kwa namna isiyoyakawaida kupitia kiongozi wa kitaifa naamini Mara hii amezungumza na tz nakila mtu bila shaka hakuna ambaye hakumwelewa labda tu kwa wale wanaopinga kila mtu.

Ukijaribu tu kufikiria kama bwana yule angekuwa ndiyo yeye mkuu wa nchi sjui tungekuwa vipi Leo na janga hilo.

Ifike mahali tujue kuwa kuna watu wanakuja kwa wakati na majira sahihi tuwaache watimize makusudi ya Mungu aliyowawekea mioyoni mwao.

Nakumbuka Yesu aliulizwa swali fulani akajibu "Kwa ajili ya haya nalikuja"

Tufike mahala tukubali kuwa kuna watu huja kwa specific issue
HIVI NANI ANAPASWA KUSHUHUDIA UKUU WA MUNGU KATI YA ALIYE SIMAMA NA KUSEMA KORONA HAIPO TZ NA YULE ALIYE HUISHWA KUTOKA UMAUTI WA KUPIGWA RISASI 16.....
 
HIVI NANI ANAPASWA KUSHUHUDIA UKUU WA MUNGU KATI YA ALIYE SIMAMA NA KUSEMA KORONA HAIPO TZ NA YULE ALIYE HUISHWA KUTOKA UMAUTI WA KUPIGWA RISASI 16.....
Hata majambazi huwa yananusirika kufa,Mungu hapendi mwenye dhambi afe bali wote waifikilie toba
 
The conduct of the upcoming elections in Tanzania has important consequences not only for Tanzania, but for the entire East African region. Tanzania’s history of peaceful multi-party elections stretching back 25 years has made it a model on the continent.

The United States government reaffirms unequivocally that it does not support any specific candidate or party in Tanzania’s upcoming elections. The United States supports the democratic process itself. We support a genuinely free, fair, transparent, and peaceful electoral process, before, during, and after election day. This includes ensuring the safety of all contestants, respect for the rule of law, and the absolute impartiality of the authorities in charge of managing the elections.

The United States, along with other democratic nations, will be paying close attention to actions of individuals who interfere in the democratic process or instigate violence against the civilian population before, during, or after the elections. We will not hesitate to consider consequences for those found to be responsible for election-related violence or undermining the democratic process.

We welcome the calls by the leading candidates for a peaceful and transparent electoral process, and we urge them and their supporters to take measures to decrease tensions and avoid inciteful rhetoric.

By U.S. Embassy Dar es Salaam | 1 October, 2020 | Topics: Press Releases
Hii ndio kauli wanayotakiwa kukumbushwa wagombea wato wa Uraisi
 
Kumbuka.

"Man without God can not, and God without man will not"

"Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe"

Kama kuna nyakati Mungu alishawahi kuzungumuza na watanzania kwa namna isiyoyakawaida kupitia kiongozi wa kitaifa naamini Mara hii amezungumza na tz nakila mtu bila shaka hakuna ambaye hakumwelewa labda tu kwa wale wanaopinga kila mtu.

Ukijaribu tu kufikiria kama bwana yule angekuwa ndiyo yeye mkuu wa nchi sjui tungekuwa vipi Leo na janga hilo.

Ifike mahali tujue kuwa kuna watu wanakuja kwa wakati na majira sahihi tuwaache watimize makusudi ya Mungu aliyowawekea mioyoni mwao.

Nakumbuka Yesu aliulizwa swali fulani akajibu "Kwa ajili ya haya nalikuja"

Tufike mahala tukubali kuwa kuna watu huja kwa specific issue
Nenda zako kuzimu na miungu watu wako.
 
mkuu amemalizaje corona? mara ya mwisho takwimu kutolewa ilikuwa mwezi wa nne sasa tupe ushahidi wa kusema corona hakuna
 
Kama alikuja kwa hiyo specific issue si imeshaisha? Basi kamaliza kazi yake.
 
Kumbuka.

"Man without God can not, and God without man will not"

"Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe"

Kama kuna nyakati Mungu alishawahi kuzungumuza na watanzania kwa namna isiyoyakawaida kupitia kiongozi wa kitaifa naamini Mara hii amezungumza na tz nakila mtu bila shaka hakuna ambaye hakumwelewa labda tu kwa wale wanaopinga kila mtu.

Ukijaribu tu kufikiria kama bwana yule angekuwa ndiyo yeye mkuu wa nchi sjui tungekuwa vipi Leo na janga hilo.

Ifike mahali tujue kuwa kuna watu wanakuja kwa wakati na majira sahihi tuwaache watimize makusudi ya Mungu aliyowawekea mioyoni mwao.

Nakumbuka Yesu aliulizwa swali fulani akajibu "Kwa ajili ya haya nalikuja"

Tufike mahala tukubali kuwa kuna watu huja kwa specific issue
Acha upumbavu Mungu atakuadhibu wewe uaminie katika mtu, Pombe huyu ambae watu wanatekwa na kuuliwa huku yuko kimywa,mtu anae waambia watu wa Kagera yeye hajaleta mafuriko kwa hiyo hatoi msaada wowote huyu mwenye ubaguzi wa hali ya juu ya kupeleka maendeleo kwa upendeleo wa chama chake ndio umwaminie kweli kazi ipo.

Tanzania haijakumbwa na Covid 19 kwa kuwa Watanzania wengi kipindi kile hawajasafiri na waliokuwa nje ya nchi walikuwa wachache sana na walizuiwa kutoka kule walipo na serikali za nchi husika kutokana na kufunga mipaka na kusitisha usafiri wa ndege pia hali ya hewa Tanzania sehemu nyingi ni za joto so Virus vya Covid 19 sio rahisi kuishi na sio Pombe ati Mungu alimsikia acha acha upuuzi huu.
 
Kumbuka.

"Man without God can not, and God without man will not"

"Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe"

Kama kuna nyakati Mungu alishawahi kuzungumuza na watanzania kwa namna isiyoyakawaida kupitia kiongozi wa kitaifa naamini Mara hii amezungumza na tz nakila mtu bila shaka hakuna ambaye hakumwelewa labda tu kwa wale wanaopinga kila mtu.

Ukijaribu tu kufikiria kama bwana yule angekuwa ndiyo yeye mkuu wa nchi sjui tungekuwa vipi Leo na janga hilo.

Ifike mahali tujue kuwa kuna watu wanakuja kwa wakati na majira sahihi tuwaache watimize makusudi ya Mungu aliyowawekea mioyoni mwao.

Nakumbuka Yesu aliulizwa swali fulani akajibu "Kwa ajili ya haya nalikuja"

Tufike mahala tukubali kuwa kuna watu huja kwa specific issue
Wote wanakuja kwa jina Mungu

Mmoja yeye ndo kaponyesha Corona


Mwingine Ameokolewa na Mungu kutoka katika Kifo na risasi 16.


Hata ungekua wee ungemchagua nani??


Mimi kura yangu kwa Lissu.


Magufuli kama anajifanya ndio kaponyeshe Corona, basi aponyeshe Ngoma, Kansa , Kisukari n.k
 
Kumbuka.

"Man without God can not, and God without man will not"

"Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe"

Kama kuna nyakati Mungu alishawahi kuzungumuza na watanzania kwa namna isiyoyakawaida kupitia kiongozi wa kitaifa naamini Mara hii amezungumza na tz nakila mtu bila shaka hakuna ambaye hakumwelewa labda tu kwa wale wanaopinga kila mtu.

Ukijaribu tu kufikiria kama bwana yule angekuwa ndiyo yeye mkuu wa nchi sjui tungekuwa vipi Leo na janga hilo.

Ifike mahali tujue kuwa kuna watu wanakuja kwa wakati na majira sahihi tuwaache watimize makusudi ya Mungu aliyowawekea mioyoni mwao.

Nakumbuka Yesu aliulizwa swali fulani akajibu "Kwa ajili ya haya nalikuja"

Tufike mahala tukubali kuwa kuna watu huja kwa specific issue
Tumeshughukikiwa kwa miaka 5 ya Magufuli, aliyekuwemo na asiyekuwemo wote tunaonja shubiri ya awamu hii. Jamani sijuwi tuseme kwa lugha gani mpate kuelewa, MAGUFULI HATUFAI!!
Hebu nikuulize kidogo, hivi unaamini kabisa kuwa hatuwezi kujenga SGR bila kutekana???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom