mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,379
- 3,826
Hebu chunguza wale wote wanaokutwa na corona walikuwa wanaumwa? Wachezaji soka tunasikia wanakutwa na korona lakini hawaumwi.Kumbuka.
"Man without God can not, and God without man will not"
"Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe"
Kama kuna nyakati Mungu alishawahi kuzungumuza na watanzania kwa namna isiyoyakawaida kupitia kiongozi wa kitaifa naamini Mara hii amezungumza na tz nakila mtu bila shaka hakuna ambaye hakumwelewa labda tu kwa wale wanaopinga kila mtu.
Ukijaribu tu kufikiria kama bwana yule angekuwa ndiyo yeye mkuu wa nchi sjui tungekuwa vipi Leo na janga hilo.
Ifike mahali tujue kuwa kuna watu wanakuja kwa wakati na majira sahihi tuwaache watimize makusudi ya Mungu aliyowawekea mioyoni mwao.
Nakumbuka Yesu aliulizwa swali fulani akajibu "Kwa ajili ya haya nalikuja"
Tufike mahala tukubali kuwa kuna watu huja kwa specific issue
Kwa hiyo tunamshukuru Mungu kwa sababu hatuumwi na si kwa sababu virusi hakuna.
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app