Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,026
- 15,316
Enzi hiizo wakati bado kijana naishi getto, alinipigia Sim "Dem" wangu akaniambia beby Jmosi nakuja kukufulia Nguo.
Doooh nilisema hii ni neema hasa ukizingatia wanaume wengi ni mtihani suala la kufua nguo.
Nikaenda kucheki kwanza hizo nguo chafu zina hali gani. Dooooo hizo nguo zilikuwa ni chafu balaa yani hazifai kufuliwa na mtu. Nguo za kuvaa mara mbilimbili nimezivundika kwenye Tenga.
Nikaona sasa hii itakuwa aibu kwa huyo mwanamke wangu. Basi nikaamua nizifue.
Nikadamka asubuhi nikazifua zotee zikawa safi. Baada ya kukauka nikazirudisha kwenye kikapu cha nguo chafu.
Yule dem alivyokuja akazichukua na kuanza kuzifua tena hadi akamaliza.
Muda alipomaliza kufua akat anapika, akawa ananisifiiii bebeee we unavaa nguo vizuri hata hauchafui nguo. You are the kind of smart Men.
Mm nikamuangalia, nikasema Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ( in Anco Magu voice) Angejua izo nguo zilivyokuwa wala asinge sema
Toka siku hiyooo Ndipo nilipoacha uvivu wa kufua Nguo.
Doooh nilisema hii ni neema hasa ukizingatia wanaume wengi ni mtihani suala la kufua nguo.
Nikaenda kucheki kwanza hizo nguo chafu zina hali gani. Dooooo hizo nguo zilikuwa ni chafu balaa yani hazifai kufuliwa na mtu. Nguo za kuvaa mara mbilimbili nimezivundika kwenye Tenga.
Nikaona sasa hii itakuwa aibu kwa huyo mwanamke wangu. Basi nikaamua nizifue.
Nikadamka asubuhi nikazifua zotee zikawa safi. Baada ya kukauka nikazirudisha kwenye kikapu cha nguo chafu.
Yule dem alivyokuja akazichukua na kuanza kuzifua tena hadi akamaliza.
Muda alipomaliza kufua akat anapika, akawa ananisifiiii bebeee we unavaa nguo vizuri hata hauchafui nguo. You are the kind of smart Men.
Mm nikamuangalia, nikasema Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ( in Anco Magu voice) Angejua izo nguo zilivyokuwa wala asinge sema
Toka siku hiyooo Ndipo nilipoacha uvivu wa kufua Nguo.