Nikikipata hiki nitatulia na kuoa

Jurrasic Park

JF-Expert Member
Sep 13, 2013
3,776
6,722
Habari za siku

mwaka unaisha sasa lakini nataka kuoa. kinachonishangaza pamja na uchakaramu wangu wa kuzunguka huku na huku lakini nimekikosa hichi

Tangia nibalehe na nianza kuwinda wanawake sijawahi kupata BIKRA au NISWATI kabisa. Mara ya mwisho nilitulia na demu wangu tangu nikiwa advance lakini nikakuta ashatumika. Mwingine nilimpata tukafikia hatua ya kumtamulisha nyumbani nikiamini nitafunga naye ndoa kumbe ana mahusiano na yule aliyemdungua. yaaani na shida tupu. sasa nataka kutulia lakini roho inaniambia nimpate yule QUEEN NISWATI ndo nitulie.

nilichoamua ni bora niendelee tu kumtauta nikimpata basi ndo nitaacha uzinzi na kuoa na kuutangazia ulimwengu sasa nimeacha uasherati
 
Habari za siku

mwaka unaisha sasa lakini nataka kuoa. kinachonishangaza pamja na uchakaramu wangu wa kuzunguka huku na huku lakini nimekikosa hichi

Tangia nibalehe na nianza kuwinda wanawake sijawahi kupata BIKRA au NISWATI kabisa. Mara ya mwisho nilitulia na demu wangu tangu nikiwa advance lakini nikakuta ashatumika. Mwingine nilimpata tukafikia hatua ya kumtamulisha nyumbani nikiamini nitafunga naye ndoa kumbe ana mahusiano na yule aliyemdungua. yaaani na shida tupu. sasa nataka kutulia lakini roho inaniambia nimpate yule QUEEN NISWATI ndo nitulie.

nilichoamua ni bora niendelee tu kumtauta nikimpata basi ndo nitaacha uzinzi na kuoa na kuutangazia ulimwengu sasa nimeacha uasherati

Hao unaowadungua nao watapata wapi bikira? Bikra wa kweli anapata bikra mwenzake
 
Inamana usipopata demu mwenye bikra HAUOWI.....si ndiyo....?....au kama kungekuwa na sheria inasema kila mwanaume aoe demu aliyemtoa kizinda(bikra) basi wewe ungekuwa bachela hadi kufa...?....kwa taarifa yako sio mademu wote wanatolewa bikra wengine bikra zao hutoka kutokana na shughuli kama mazoezi ya kuchana misamba,kupanda mitini,kuendesha baiskeli nakadhalika...usifikiri maduu wote walibikiriwa kwa DUSHE.....
 
Habari za siku

mwaka unaisha sasa lakini nataka kuoa. kinachonishangaza pamja na uchakaramu wangu wa kuzunguka huku na huku lakini nimekikosa hichi

Tangia nibalehe na nianza kuwinda wanawake sijawahi kupata BIKRA au NISWATI kabisa. Mara ya mwisho nilitulia na demu wangu tangu nikiwa advance lakini nikakuta ashatumika. Mwingine nilimpata tukafikia hatua ya kumtamulisha nyumbani nikiamini nitafunga naye ndoa kumbe ana mahusiano na yule aliyemdungua. yaaani na shida tupu. sasa nataka kutulia lakini roho inaniambia nimpate yule QUEEN NISWATI ndo nitulie.

nilichoamua ni bora niendelee tu kumtauta nikimpata basi ndo nitaacha uzinzi na kuoa na kuutangazia ulimwengu sasa nimeacha uasherati
Mbona wewe mwenyewe tayari ni used, unatafutaje brand new? Huna haki hiyo.
 
Blaza unaweza usioe kwa mtindo huo, afu huwa hazitafutwi hizo zinakujaga zenyewe kwa bahati tuu, tena zinakuja ukiwa umeshampata wa kuoa japo sio mwenye bikra lakini unakuwa ushasema huyu ndio nitaoa, na ushaanza na tararibu za awali za kujipanga........hamadiiiiiiii .......kitu hiki hapa. Blaza songa mbele wacha kuwaza kufunua wadada wa watu kutafuta hicho unachotafuta utaangukia kwenye ukimwi.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom