Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,301
- 2,076
Nipo hapa kata ya Ukaoni, tarafa ya Kibosho, jimbo la Moshi (V). Nimewasomea vijana hii thread pakaharibika. Wamenigeukia utadhan ni maneno yangu. Wanalalamika jamaa alichakachua kwenye kura za maoni wakaamua kumtosa kwenye uchaguzi nako akachakachua. Ila wanasema kwamba safari hii watapiga kura na kuzilinda. Natamani mngekijua kikibosho ndio mngeelewa hasira zao! Chaaa!?
Ni kweli hata mie wakati wa uchaguzi nilikuwa huko jamaa hasa vijana wengi hawampendi na nilishangaa alivyokwepa viunzi vyao,