Huu ndo ulikuwa utetezi wa dr,chami kwa wabunge wa ccm katika kikao chao cha huko dodoma, yeye chami anaamini wapiga kura wa moshi vijijini wataendelea kumchagua kwa kuwa ataendelea kubaki kwenye baraza la mawaziri.
Ukweli ni huu?
Source ni mbunge wa ccm aliyehudhuria hicho kikao
Ukweli ni huu?
Source ni mbunge wa ccm aliyehudhuria hicho kikao